Kwanini kuchukiana hata kuuana kugombea dini za Mungu wakati Mungu mwenyewe tunaaminishwa ana nguvu za ajabu?

Kwanini kuchukiana hata kuuana kugombea dini za Mungu wakati Mungu mwenyewe tunaaminishwa ana nguvu za ajabu?

Father of All

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
7,672
Reaction score
9,039
Zamani huko Ulaya, ukipinga ukiristo unapatilizwa chini ya kile kilichoitwa inquisition.

Kwenye uislam, ukiupinga chini ya dhana ya jihad unauawa.

Huwa nashangaa.

Kwanini kupigania dini ya 'Mungu' kana kwamba Mungu hana uwezo wa kuipigania dini yake?

Tunapigania dini ya Mungu au maslahi binafsi kama siyo matokeo ya uzwazwa wa imani?

Leo ukimtukana Yesu au Mohamed, utakipata cha moto. Kwanini kupigana juu ya viumbe waliotoweka zamani?

Kwanini kupigania viumbe wa Mungu wakati Mungu tunaambwa yupo siku zote?

Yeye atafanya kazi gani? Leo hii ukimtukana mtume, wapo watakaojitoa mhanga kukuulia mbali.

Ajabu ukiwatukana hata kuwapiga wazazi wao wanakimbilia kituo cha polisi.

Wana akili timamu na sawa sawa hawa kweli?

Je wanajua wanachofanya?

Je hawahitaji msaada?

Je tuwasaidieje?
 
Zamani huko Ulaya, ukipinga ukiristo unapatilizwa chini ya kile kilichoitwa inquisition.
Kwenye uislam, ukiupinga chini ya dhana ya jihad unauawa.
Huwa nashangaa.
Kwanini kupigania dini ya 'Mungu' kana kwamba Mungu hana uwezo wa kuipigania dini yake?
Tunapigania dini ya Mungu au maslahi binafsi kama siyo matokeo ya uzwazwa wa imani?
Leo ukimtukana Yesu au Mohamed, utakipata cha moto. Kwanini kupigana juu ya viumbe waliotoweka zamani? Kwanini kupigania viumbe wa Mungu wakati Mungu tunaambwa yupo siku zote?
Yeye atafanya kazi gani? Leo hii ukimtukana mtume, wapo watakaojitoa mhanga kukuulia mbali.
Ajabu ukiwatukana hata kuwapiga wazazi wao wanakimbilia kituo cha polisi.
Wana akili timamu na sawa sawa hawa kweli?
Je wanajua wanachofanya?
Je hawahitaji msaada? Je tuwasaidieje?
Acha waangamie kwa kukosa maarifa kwasababu kila mtu anadai dini yake ndio ya Mungu wa kweli na pia kumuambia mtu ukweli kuwa mungu wa hizo dini zote hayupo anaona unakufuru basi hapo ni kuwaacha waendelee kuunywa mvinyo wa dini zao mpaka siku watakapoamka na kuyaona madhaifu ya dini zao.
 
Dawa ni kuokoka na kurudi kwa Yesu Kristo. Tumpe Yesu Kristo maisha tupate amani isiyo kuwepo mahali popote pale.
 
IF YOU DON'T LOVE JESUS, WHO THE FAKIN HELL WILL YOU LOVE?
 
Dawa ni kuokoka na kurudi kwa Yesu Kristo. Tumpe Yesu Kristo maisha tupate amani isiyo kuwepo mahali popote pale.
Huyo yesu wenu nae muhuni tu, kwanza aliletwa Afrika kwa njia haramu, yaani maelfu ya waafrika waliuliwa kisa kulazimishwa kumkubali huyo Miungu wenu yesu ambaye mnasema ni mwenye upendo na huruma, Sasa iweje dini yake na injili yake iletwe kwa njia za kishetani?

Yesu sio njia ya wokovu, Bali njia ya kukubali ushetani wa mzungu na kuukana Uafrika na uhalisia wa mtu mweusi.

Dunia Ina maelfu ya Miungu, je mnauhakika gani kuwa hao Miungu wa dini zenu ndie sahihi?

Dunia Ina maelfu ya miaka tangu iwepo, lkn hizo stories za dini zenu tangu kuumbwa kwa hao watu wenu wa mwanzo akina adamu, stories zao hazifiki hata miaka 8000, ingalipo dunia Kuna jamii zilishakuwapo zaidi ya miaka 20,000, je huu sio mkanganyiko?

Acheni kuamini ujinga
 
Huyo yesu wenu nae muhuni tu, kwanza aliletwa Afrika kwa njia haramu, yaani maelfu ya waafrika waliuliwa kisa kulazimishwa kumkubali huyo Miungu wenu yesu ambaye mnasema ni mwenye upendo na huruma, Sasa iweje dini yake na injili yake iletwe kwa njia za kishetani?

Yesu sio njia ya wokovu, Bali njia ya kukubali ushetani wa mzungu na kuukana Uafrika na uhalisia wa mtu mweusi.

Dunia Ina maelfu ya Miungu, je mnauhakika gani kuwa hao Miungu wa dini zenu ndie sahihi?

Dunia Ina maelfu ya miaka tangu iwepo, lkn hizo stories za dini zenu tangu kuumbwa kwa hao watu wenu wa mwanzo akina adamu, stories zao hazifiki hata miaka 8000, ingalipo dunia Kuna jamii zilishakuwapo zaidi ya miaka 20,000, je huu sio mkanganyiko?

Acheni kuamini ujinga
Yesu Kristo ndio aliyetuumba na ndiye aliyeumba vitu vyote vilivyopo hapa duniani na huko mbinguni.
 
Hatugombei dini - tunagombea madaraka na ndiyo maana watu wanatekwa na kupotea na watawala kimyaa.
 
Back
Top Bottom