RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
Hivi Manzese kuna viwanja bado?Binafsi nimejenga nyumba mbili manzese. Na nimewekeza kwenye vitu vichache naelewa san faida ya kuwa na fixed assets. .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi Manzese kuna viwanja bado?Binafsi nimejenga nyumba mbili manzese. Na nimewekeza kwenye vitu vichache naelewa san faida ya kuwa na fixed assets. .
WATANZANIA KWA VICHWA VYAO SIO RAHISI KUKUELEWAImekuwa ni jambo la kushangaza kwa watanzania wengi kuamua kujenga na kuendelea kuishi maisha yale yale....
Nimenunua nyumba mbili nikavunja. Moja nimejenga nikamaliza Naishi na familia. Nyingine bado sijamaliza nishaezeka bado finishing tu ila plasta nimepiga na wiring nusu. Why umeuliza Manzese kama kuna viwanja?Hivi manzese kuna viwanja bado?
Kichwa cha habari cha huu uzi kinajieleza. Kama kujenga nyumba ni fasheni basi ni fasheni nzuri sana.Hujamuelewa mleta uzi hatakataa kujenga ila jenga ukiwa ushazungusha hela yako mara kadhaa yaani kama una biashara tayari ushazungusha faida hata mara kumi ndo uanze kujenga ili kukuza mtaji.
Kumiliki ardhi ni jambo la msingi ila kuanza kujenga ni risk Sana itakayokufanya usiishi maisha bora na usifikie kufikia ndoto zako kwa wakati Mimi ni kijana chini ya miaka 30 nimfanyabiahara ninamiliki ardhi na nimeona umuhimu wakumiliki ardhi lakini kujenga ni risk Sana pale ambapo hauna msingi wa kujenga nashauri Sana kwanini usianze kujenga vyumba kazaaHata kama unafanya biashara kumiliki ardhi na kujenga ni muhimu sana. Wajanja wote kwenye biashara wako mstari wa mbele kumiliki ardhi na kujenga.
Jambo jema Ila ungefanya mpango wa kumiliki ardhi tu ardhi inapanda thamani kila miaka kazaaWabongo wanapenda sana kujenga, kwao kujenga ndo mafanikio...kuna ndugu yangu majuzi ananishauri nijenge hata chumba na sebule, nikajisemea huyu mzima kweli ..sina kitega uchumi chochote cha maana naanzaje kujenga?
Majuzi zaidi ya 20m nimewekeza kwenye buashara ila ndo hivyo hata kiwanja sina [emoji3].
Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
Kwani hao ambao sasa hivi wanapanga hawapati misiba? Ulipopanga ndio kwako kwa kipindi uluchopanga iwe msiba au sherehe unafanyia hapo hapo.Sasa unataka tusijenge tuishi kama manyani kwenye miti? Unajua kero za Kodi wewe? Hivi ukitokea msiba na wewe mpangaji umefiwa utakaa wapi? Masuala mengine sio ya kuyaandika mbele za watu dogo.
Anza kununua hivyo viwanja vya maporini sasa hata kama hauna plan ya kujenga sasahv,utanikumbuka.Mimi pia nitachelewa sana kujenga nikisema nijenge now kwa hela yang nitajenga maporini sana acha nijikusanye
Bro unaishi TZ hii hiii?Imekuwa ni jambo la kushangaza kwa watanzania wengi kuamua kujenga na kuendelea kuishi maisha yale yale
Unakutana fundi fenicha aliyefanya kazi miaka 15 anakuambia anamalizia ujenzi ukiangalia ufanyaji kazi bado wa kusubiri hela advance kwa mteja hafikirii kabisa kuwa na store kubwa utakayotoa faida kubwa zaidi kwa haraka zaidi kutokana na uzoefu wake.
Unakutana na dereva yeye miaka na miaka anaendesha gari za watu anakuja na habari njema amejenga ni vyema lakini kwanini asikilie kumiliki gari yake.
Unakutana na kijana kinyozi ana uzoefu wa miaka saba anakuambia nimejenga vyumba vitatu nataka nihamie kwangu ni jambo jema lakini hafikirii kama pesa hizo kama angetumia kufungua barbershop kubwa ambayo ingempa faida maradufu
Risk ya biashara hapa kwetu ni kubwa kuliko kujenga nyumba..Imekuwa ni jambo la kushangaza kwa watanzania wengi kuamua kujenga na kuendelea kuishi maisha yale yale
Unakutana fundi fenicha aliyefanya kazi miaka 15 anakuambia anamalizia ujenzi ukiangalia ufanyaji kazi bado wa kusubiri hela advance kwa mteja hafikirii kabisa kuwa na store kubwa utakayotoa faida kubwa zaidi kwa haraka zaidi kutokana na uzoefu wake.
Unakutana na dereva yeye miaka na miaka anaendesha gari za watu anakuja na habari njema amejenga ni vyema lakini kwanini asikilie kumiliki gari yake.
Unakutana na kijana kinyozi ana uzoefu wa miaka saba anakuambia nimejenga vyumba vitatu nataka nihamie kwangu ni jambo jema lakini hafikirii kama pesa hizo kama angetumia kufungua barbershop kubwa ambayo ingempa faida maradufu
Akili za kushindwa hizi.Watu wengi wamempinga mleta maada sababu hawakutaka kushughurisha akili zao. Kiukweli kujenga nyumba while bado huna sehemu ya kukuingizia kipato, mfano biashara ni uoga wa maisha. Hili nilikuja kulielewa tayari nimeshachelewa acha tuishi humo humo. Ila kumbuka nyumba ya kuishi si Assets Otherwise ujenge upangishe
Imekuwa ni jambo la kushangaza kwa watanzania wengi kuamua kujenga na kuendelea kuishi maisha yale yale
Unakutana fundi fenicha aliyefanya kazi miaka 15 anakuambia anamalizia ujenzi ukiangalia ufanyaji kazi bado wa kusubiri hela advance kwa mteja hafikirii kabisa kuwa na store kubwa utakayotoa faida kubwa zaidi kwa haraka zaidi kutokana na uzoefu wake.
Unakutana na dereva yeye miaka na miaka anaendesha gari za watu anakuja na habari njema amejenga ni vyema lakini kwanini asikilie kumiliki gari yake.
Unakutana na kijana kinyozi ana uzoefu wa miaka saba anakuambia nimejenga vyumba vitatu nataka nihamie kwangu ni jambo jema lakini hafikirii kama pesa hizo kama angetumia kufungua barbershop kubwa ambayo ingempa faida maradufu