Kwanini kujenga nyumba imekuwa ni fashion kwa Watanzania?

Kwanini kujenga nyumba imekuwa ni fashion kwa Watanzania?

Risk ya biashara hapa kwetu ni kubwa kuliko kujenga nyumba..

biashara hazitabiriki hapa nchini so bora ujenge tu ujue pesa umeizika..
Hakuna risk kwenye biashara unayoifahamu zaidi ya miaka saba ni kipindi ambacho mtaji unao kazi kwako tu kukusanya faida maradufu na sio kuzika pesa kwenye ujenzi wa nyumba ya kuishi
 
Imekuwa ni jambo la kushangaza kwa watanzania wengi kuamua kujenga na kuendelea kuishi maisha yale yale

Unakutana fundi fenicha aliyefanya kazi miaka 15 anakuambia anamalizia ujenzi ukiangalia ufanyaji kazi bado wa kusubiri hela advance kwa mteja hafikirii kabisa kuwa na store kubwa utakayotoa faida kubwa zaidi kwa haraka zaidi kutokana na uzoefu wake.

Unakutana na dereva yeye miaka na miaka anaendesha gari za watu anakuja na habari njema amejenga ni vyema lakini kwanini asikilie kumiliki gari yake.

Unakutana na kijana kinyozi ana uzoefu wa miaka saba anakuambia nimejenga vyumba vitatu nataka nihamie kwangu ni jambo jema lakini hafikirii kama pesa hizo kama angetumia kufungua barbershop kubwa ambayo ingempa faida maradufu
Wengi watakubeza na wachache sana watakuelewa. Wabongo wengi wanajenga vibanda wanavyoita nyumba na wanaishi maisha duni sana sababu ya kukosa akili na kufikiria mambo kwa mkumbo.
 
Imekuwa ni jambo la kushangaza kwa watanzania wengi kuamua kujenga na kuendelea kuishi maisha yale yale

Unakutana fundi fenicha aliyefanya kazi miaka 15 anakuambia anamalizia ujenzi ukiangalia ufanyaji kazi bado wa kusubiri hela advance kwa mteja hafikirii kabisa kuwa na store kubwa utakayotoa faida kubwa zaidi kwa haraka zaidi kutokana na uzoefu wake.

Unakutana na dereva yeye miaka na miaka anaendesha gari za watu anakuja na habari njema amejenga ni vyema lakini kwanini asikilie kumiliki gari yake.

Unakutana na kijana kinyozi ana uzoefu wa miaka saba anakuambia nimejenga vyumba vitatu nataka nihamie kwangu ni jambo jema lakini hafikirii kama pesa hizo kama angetumia kufungua barbershop kubwa ambayo ingempa faida maradufu
Hakuna sela ya serikali na makazi ya kuwajengea.
Unategemea nini sasa
 
Kuna wakati maisha huyumba, kwa bahati mbaya yanaweza kuyumba ukiwa mtu mzima una watoto na mke alafu mwenye nyumba anataka kodi yake ukiikosa unatolewa vyombo nje.

Sasa tafakari wewe na familia yako mnatolewa vyombo nje. Piga picha hyo kichwani kwako
Unaweza kulia kama mtoto
 
Nyumba ni asset pia na wengi wana ndoto za kuishi kwenye nyumba zao kuepuka usumbufu wa kodi masharti ya wenye nyumba zao
Nyumba ya kukaa wewe kwenye economics ni asset ila in real sense nyumba ya kukaa si aset, sababu in real sense anything that puts money in your pocket ndio asset kama it takes money out of your pocket sio asset... Frame za biashara nyumba za kupangisha ndio asset hizi za kukaa unalipa kodi ya jengo, ardhi, umeme na maji wakati yenyewe haizalish kitu hapa ni tatizo tu na lenyewe
 
Imekuwa ni jambo la kushangaza kwa watanzania wengi kuamua kujenga na kuendelea kuishi maisha yale yale

Unakutana fundi fenicha aliyefanya kazi miaka 15 anakuambia anamalizia ujenzi ukiangalia ufanyaji kazi bado wa kusubiri hela advance kwa mteja hafikirii kabisa kuwa na store kubwa utakayotoa faida kubwa zaidi kwa haraka zaidi kutokana na uzoefu wake.

Unakutana na dereva yeye miaka na miaka anaendesha gari za watu anakuja na habari njema amejenga ni vyema lakini kwanini asikilie kumiliki gari yake.

Unakutana na kijana kinyozi ana uzoefu wa miaka saba anakuambia nimejenga vyumba vitatu nataka nihamie kwangu ni jambo jema lakini hafikirii kama pesa hizo kama angetumia kufungua barbershop kubwa ambayo ingempa faida maradufu
Kapimwe mkojo
 
Wabongo wanapenda sana kujenga, kwao kujenga ndo mafanikio...kuna ndugu yangu majuzi ananishauri nijenge hata chumba na sebule, nikajisemea huyu mzima kweli ..sina kitega uchumi chochote cha maana naanzaje kujenga?
Majuzi zaidi ya 20m nimewekeza kwenye buashara ila ndo hivyo hata kiwanja sina [emoji3].

Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
Chai
 
Muacheni huyu mtoto na Uzi wake

Hivi uendeshe gari miaka 15 et unataka weka fedha ununue lori lako😁 hivi unajua mileage huwa wanalipwaga sh ngapi?

Wakati huo labda una mtoto wa miaka 15 ambae anaweza kuwa form 3 na mwengne labda 11yrs jinsia tofauti , we bado umepanga🤔 wanalala wapi hao WATOTO?
Ukifa msiba unafunga turubai wapi hizi nyumba za mjini za kupanga


Yani huyu jamaa anaishi bure Hana WATOTO Hana anachowaza toka unapoishi ukajitegemee
 
Wabongo wanapenda sana kujenga, kwao kujenga ndo mafanikio...kuna ndugu yangu majuzi ananishauri nijenge hata chumba na sebule, nikajisemea huyu mzima kweli ..sina kitega uchumi chochote cha maana naanzaje kujenga?
Majuzi zaidi ya 20m nimewekeza kwenye buashara ila ndo hivyo hata kiwanja sina [emoji3].

Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app

Uko na akili sana. Enzi za sifa kujenga zishaishaga kwa wazee wetu. Ukiwa na constant cash flows mbona nyumba unajenga mda mfupi sana.
 
Nyumba ya kukaa wewe kwenye economics ni asset ila in real sense nyumba ya kukaa si aset, sababu in real sense anything that puts money in your pocket ndio asset kama it takes money out of your pocket sio asset... Frame za biashara nyumba za kupangisha ndio asset hizi za kukaa unalipa kodi ya jengo, ardhi, umeme na maji wakati yenyewe haizalish kitu hapa ni tatizo tu na lenyewe
Kama nilikuwa nalipa Kodi 200,000/= nikajenga. Halafu gharama ya mwezi kuanzia maji, umeme haizidi 50,000/=

Hapo Nyumba inageuka Asset au Liability?
 
Kumiliki ardhi ni jambo la msingi ila kuanza kujenga ni risk Sana itakayokufanya usiishi maisha bora na usifikie kufikia ndoto zako kwa wakati Mimi ni kijana chini ya miaka 30 nimfanyabiahara ninamiliki ardhi na nimeona umuhimu wakumiliki ardhi lakini kujenga ni risk Sana pale ambapo hauna msingi wa kujenga nashauri Sana kwanini usianze kujenga vyumba kazaa
Hata usipojenga hakikisha unaiendeleza ardhi yako ili kuilinda dhidi ya wavamizi. Weka fensi au hata msingi ili kupunguza risk ya kudhulumiwa.
 
Back
Top Bottom