Wkt nafanya biashara yangu ya kiduka,sehem nilipokuwa nafanya bizinesi nilikuwa Sina mpinzani kivilee so nilikuwa nauza sana,so nikaanza kuongeza vitu kila nilipokuwa napata faida,zaidi nilikuwa nalipa Kodi na ghalama zingine ambazo zilikuwa zinahusiana na biashara na Mimi pia,xo nikawa na malengo ya kupanua zaidi biashara yangu kwa kuongeza bidhaa zaidi Ila Sasa gafla watu walivyoona dogo dizaini napata Sana wakaanza kufungua na wao mtaa huo huo,nikaanza kupambana Ila kadri siku zinaenda nikaona mauzo na faida inapungua kadri siku zinaenda,hapo muhuni Sina hata shamba ni Mimi na duka langu tu Yani ikitokea siku duka linaungua Sina kitu naanza ziro,mtaji ukaanza kupanda na kushuka dizaini TRA,manisipaa na mazaga mengine nikaona hapa mtaji utaisha alafu nitakuwa sijafanya kitu hapa,nikaanza kununua mashamba kwanza maana uwezo kwa kununu kiwanja center uongo,gafla mzee ikatokea Corona virusi nilijifunza Soma gum Sana kuwa Kuna siku itatokea nitabaki na pum** zangu mbili tu 😄, biashara ya bongo nyoso Sana kati ya sehem nilizopata nikasema sehem gani nitaweza Jenga hata kibanda Cha chumba na sebure na baada ya miaka kadhaa naweza fanya kitu,nikona sehem moja ipo barabarani na mtembeo wa dakika tatu Kuna zahanati na shule ya msingi nikafanya hivyo nikapiga bati sahiz nimetulia ni sehem ambayo mpaka leo japo sijamaliza Ila inanipa matumaini ktk kipindi kigum ninachopitia,lengo kubwa ni kuweka ka frem kamoja na kufanya ufagaji