Kwanini kujenga nyumba imekuwa ni fashion kwa Watanzania?

Kwanini kujenga nyumba imekuwa ni fashion kwa Watanzania?

Jenga ukouko nje ya mji pangisha, ombea mkopo iyo nyumba uendeleze biashara rejesho unalipa Kwa Kodi na faida yako ktk biashara baada ya mda unakua umemaliza napia by that time kama familia nayo imekua unaweza amia kwenye nyumba yako !!
 
Ili maisha yawe rahisi unahitaji kutumia kidogo kuliko unacho ingiza. Uwekezaji unahitaji muda na mtaji, katika elimu ya biashara KUFILISIKA sio Jambo la ajabu mkasiriamali wa ukweli hata akifilisikaa anapambana na kuinvest Tena zaidi anajifunza kutokana na lile anguko.
Sasa kwenye ujenzi. Katika kutafuta maisha inatakiwa uishi KULINGANA na kipato chako,lakini pia ni muhimu kupunguza gharama za maisha hapa ndipolinapokuja swala la ujenzi kwa maisha ya mtanzania e.gmfsnyakazi mwenye kipato Cha 1 m kwa mwezi au mfanyabishara mwenye faida ya 5 m kwa mwezi. Au hata chini ya hapo mbinu rahisi ya kuishi KULINGANA na kipato chako ni kujenga nyumba. Kwanza familia inakuwa salama halafu ni rahisi KUPATA DIRE CTION mpya ya maisha. Mara nyingi viwanja vinapatikana nje ya mji huko ndio kunA fursa zaidi, Kwa mazingira ya Afrika kujenga ni kitu rahisi mno tofauti na uzunguni.
Halafu kwa kipimo Cha uvumilivu na kufocus mtu aliyeweza kununua kiwanja na kujenga hata vyumba viwili akikomaa anaweza ku invest tatizo ni exposure tu ishu ya kujiajiri au kukomaa ili ubadili mmfumo wa maisha unahitaji.
NB, MIMI NI SHABIKI MKUBWA WA ROBART KIYOSAKI RICH DAD...ILA KWA UPANDE WETU AFRIKA NINAONA KUNAUMUHIMU WA KUWA NA NYUMBA.
 
Nimenunua nyumba mbili nikavunja. Moja nimejenga nikamaliza Naishi na familia. Nyingine bado sijamaliza nishaezeka bado finishing tu ila plasta nimepiga na wiring nusu. Why umeuliza Manzese kama kuna viwanja?
Duh umejilipua kuishi uswahili maana manzese ni uswazi jamani kaaah
 
Duh umejilipua kuishi uswahili maana manzese ni uswazi jamani kaaah
Uswahili utake mwenyew niko ndani ya fence na mambo yangu. Ukitaka kufatilia ya nje lazima upate kaz. Alafu mbona kuzuri nyumba yangu iko Road near Sinza
 
Na siku mkeo atakapopigwa pu*mb na kashikaji fulani humohumo kwenye kachumba kako kamoja, ndio utajua kuwa watu hawatakiwi kujenga kwa kuogopa kupigiwa wake zao.

Hiyo haiwezi kuwa sababu makini ya kwanini mtu ajenge.
Nyumba za kupanga Ni manyanyaso Sana,,

Labda uwe bado kwenye nyumba ya urithi.

Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
 
Imekuwa ni jambo la kushangaza kwa watanzania wengi kuamua kujenga na kuendelea kuishi maisha yale yale

Unakutana fundi fenicha aliyefanya kazi miaka 15 anakuambia anamalizia ujenzi ukiangalia ufanyaji kazi bado wa kusubiri hela advance kwa mteja hafikirii kabisa kuwa na store kubwa utakayotoa faida kubwa zaidi kwa haraka zaidi kutokana na uzoefu wake.

Unakutana na dereva yeye miaka na miaka anaendesha gari za watu anakuja na habari njema amejenga ni vyema lakini kwanini asikilie kumiliki gari yake.

Unakutana na kijana kinyozi ana uzoefu wa miaka saba anakuambia nimejenga vyumba vitatu nataka nihamie kwangu ni jambo jema lakini hafikirii kama pesa hizo kama angetumia kufungua barbershop kubwa ambayo ingempa faida maradufu
Changamoto yako(siyo tatizo)una mawazo ya Kihindi.
 
Uloyoandika yana mantiki sana ila kwa vile wengi tumekariri tutakupopoa sana

Kiukwel ni vzur kuendeleza kile unachokifanya kabla ya kuanza ujenzi

Haipendezi kuwa kwenye nyumba kali wakati huo unapiga miayo ya njaa
 
Mmekuja na mihemko lakini point yangu ya msingi ilikuwa ni kwamba kwanini watu wanawaza kuanza kujenga kabla hawajamiliki uchumi mkubwa
Nyumba ni uchumi... Kwa sisi tuliozaliwa DSM Kwa mfano Sinza miaka ya 80's ilikuwa mashamba ya mpunga na mtu angeweza kupata eneo kirahisi. Leo kiwanja ni milioni 300-500.
 
Bora tu wejenga kulikoni mikodi na kero za kipuuzi

Ni vyema San kujenga ila isiwe kwa pupa mdg mdg pesamingi akeza kwenye mlbaiashara

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Wabongo wanapenda sana kujenga, kwao kujenga ndo mafanikio...kuna ndugu yangu majuzi ananishauri nijenge hata chumba na sebule, nikajisemea huyu mzima kweli ..sina kitega uchumi chochote cha maana naanzaje kujenga?
Majuzi zaidi ya 20m nimewekeza kwenye biashara ila ndo hivyo hata kiwanja sina [emoji3].

Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
Kosa kubwa Sana hakikisha tafuta kiwanja

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Ukikutana na mtu aliesomea Mambo ya Uhasibu,atakwambia kuwa asset,nikitu ambacho unakimiliki na kinakuingizia pesa
Nyumba inaweza kuwa assets na inewza kuwa liabilities. Inategemea na scenario
 
Back
Top Bottom