Idrissou02
JF-Expert Member
- Jul 31, 2018
- 354
- 656
Habari wakuu
Naomba niwasilishe hii hoja kwenu.
Kima cha chini cha mshahara wa deiwaka kilichowekwa kisheria ni tsh 4400 kwa siku hapa nchini kwetu Tanzania. Kwa mkoa wa dar es salaam, mtu ukimlipa hela iyo kwa siku ni kumuonea kulingana na kazi ngumu wanazofanya.
Lakini mshahara huo sio hoja kubwa, hoja kubwa ni kwamba hawa deiwaka huwa hawana mkataba na waajiri, hivyo wakipatwa na suala lolote kazini, mwajiri hatoshurutishwa kisheria kumuudumia uyo kibarua aliepatwa na tatizo kwani kuna sheria za kulinda haki za wafanyakazi wenye mikataba tu.
Sasa kwa hali hii, inakuaje serikali inaruhusu utumikaji wa vibarua wakati hawajatengeneza chombo chochote cha kuwatetea. Au ndo kwasababu wana shida kwaio wanakua hawana haki?
Asikwambie mtu ndugu zangu, viwanda hapa bongo vinakua na kuendeshwa na hawa vibarua, kazi wanayofanya ni kazi ambayo walistahili angalau tsh 15,000 kwa siku. Angalia jinsi wenzetu katika nchi zilizoendelea wanalipa deiwaka. Nimefatilia nchi ya Canada nimeona deiwaka wengi wanalipwa kwanzia dola 64 kwa siku, sawasawa na 148,000 za kitanzania.
Wanasema nchi imepata uhuru lakini ukweli ni kwamba uhuru huu wanao wenye hela tu sio watu wenye hali ya chini!!!!!! Kufanyishwa kazi ngumu kwa sh 4,000 kwa masaa 12 na kutokua na huduma yeyote ya kukulinda ukiwa kazini huo ni utumwa kabisa.
Maoni yenu tafadhali!!.
Naomba niwasilishe hii hoja kwenu.
Kima cha chini cha mshahara wa deiwaka kilichowekwa kisheria ni tsh 4400 kwa siku hapa nchini kwetu Tanzania. Kwa mkoa wa dar es salaam, mtu ukimlipa hela iyo kwa siku ni kumuonea kulingana na kazi ngumu wanazofanya.
Lakini mshahara huo sio hoja kubwa, hoja kubwa ni kwamba hawa deiwaka huwa hawana mkataba na waajiri, hivyo wakipatwa na suala lolote kazini, mwajiri hatoshurutishwa kisheria kumuudumia uyo kibarua aliepatwa na tatizo kwani kuna sheria za kulinda haki za wafanyakazi wenye mikataba tu.
Sasa kwa hali hii, inakuaje serikali inaruhusu utumikaji wa vibarua wakati hawajatengeneza chombo chochote cha kuwatetea. Au ndo kwasababu wana shida kwaio wanakua hawana haki?
Asikwambie mtu ndugu zangu, viwanda hapa bongo vinakua na kuendeshwa na hawa vibarua, kazi wanayofanya ni kazi ambayo walistahili angalau tsh 15,000 kwa siku. Angalia jinsi wenzetu katika nchi zilizoendelea wanalipa deiwaka. Nimefatilia nchi ya Canada nimeona deiwaka wengi wanalipwa kwanzia dola 64 kwa siku, sawasawa na 148,000 za kitanzania.
Wanasema nchi imepata uhuru lakini ukweli ni kwamba uhuru huu wanao wenye hela tu sio watu wenye hali ya chini!!!!!! Kufanyishwa kazi ngumu kwa sh 4,000 kwa masaa 12 na kutokua na huduma yeyote ya kukulinda ukiwa kazini huo ni utumwa kabisa.
Maoni yenu tafadhali!!.