Kwanini Kwaresma inaonekana haina uzito kuliko Ramadhani?

Wajukuu wa moudy on freaky
 
Nakazia hapo kwenye kubadili ratiba ya msosi...

Badala ya Milo mitatu ya mchana inahamia USIKU

⛏️⛏️🔨🔨🔨🔨
 
Kwa hiyo kuna mashindano ya mfungo?!
Kwamba dini gani wanafunga zaidi,?!
 
Ufungaji wa wakristo siyo wa makelele kama ufungaji wa Muslims, Muslims huwa mnafunga kwa sheria na kulazimishwa, Christians wanafunga Kwa nia na si lazima iwe wakati wa Kwaresma tu
 
Kufunga kwaresma haihitaji matangazo wala kulazimisha watu kutokula hadharani wala kufuturisha watu kwa showoff. Funga iwe yako na Muumba wako.
wale wapuuzi wanadhani funga hii ni sawa na yao ya kujitangaza
 
Ramadhani unamaanisha badala ya kula mchana unakula usiku

Unafahamu maana ya kwaresma ?Kwaresma sio kushinda njaa au kubadili milo na kula usiku

Kwaresma ya katoliki na wao ndio wahusika wanaongelea matendo ya huruma ,kusaidia wahitaji na wana shirika linaitwa caritas linafanya kazi kila siku halisubiri kwaresma kuelekea Pasaka

Halafu hata pasaka kwa wakatoliki ni kila jumapili ni pasaka wanaadhimisha pale mbele kufa na kufufuka kila jumapili

Kwaresma ni endelevu haishi siku ya Pasaka,Wakatoliki kwao kwaresma ni kila siku

Matendo ya huruma ni kila siku yaani mpende jirani yako
 
Mifungo yote haina maana yo yote iwe Kwaresma au Ramadhani! Zinafungwa kidini si kwa maana halisi ya kutubu dhambi na Kuacha!
Wakimaliza mifungo wanaendelea na kufanya uovu na dhambi za kila namna!
Machoni pa Mungu, ni kujitesa kwa njaa tu!
funga zote hizo mbili ni za kipuuzi na Mungu hazitambui, watu wanajitaabisha kwa ujinga wao
 
we mshenzi nini? Sasa hata kama dunia nzima iwe ya kiislamu ndio unadhani Mungu atakuwepo huko kuabudiwa? Umelewa tilatila mafundisho potofu ya dini yako unayoitetea
We kumer mayor Koma ukomae kama unavyoliwa rinda msenger mmoja wewe mafundisho potovu Si yenu nyinyi makafiri waabudu mtu na masanamu
 
Unajiita Mkristo wakati wakatoliki wao ndio waanzilishi wa ukristo mpaka Biblia wameandika wao

Sasa unabishana na mkatoliki aliyeandika biblia na kuisambaza

Bibilia yenyewe ni kubwa sana ,

Watu walipokimbia katoliki akina Martin luther wakapunguza vitabu

Acha kuchekesha watu mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…