hahaha always done
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 1,126
- 1,973
Mi ni mkristo, hii pia ni dhambi,usijihesabie hakiWakristo wanafunga kama ibada,wengine mnabadili ratiba ya msosi kama kanuni inavyowalazimu mnaita kufunga.
sisi tunafunga kujipa uimara wa kupokea majibu ktk maombi tuliyoomba