Kwanini Kwaresma inaonekana haina uzito kuliko Ramadhani?

Kwanini Kwaresma inaonekana haina uzito kuliko Ramadhani?

8e1c8e2f6a17e303d9d9849a22c836ba.jpg

Ndio maana halisi ya Dini.
 
Anataka akuone umebabuka midomo,umejikunyata,unatia simanzi,unatematema mate na kusawijika kwa sonona kwa sura kukosa nuru ndiyo aamini upo katika kwaresma. Kwa ufupi UJIONESHE.
Mtoa mada kaifananisha ramadhani na kwaresma katika masuala ya kukutanisha watu kuftari pamoja, kusaidia wasiojiweza n.k
Hajafananisha kwa utofauti wa mounekano kwa aliefunga kiukweli na asiefunga kiukweli.

Hakuna kujionesha, kwetu sisi tunaanza kujizoesha kufunga tangu tukiwa wadogo labda from 10 years, hivyo tunakuwa na mazoea ya kufunga na hakuna ugumu wowote kwetu, hao unaoona wanapauka kwa kufunga basi hawana mazoea labda wameanza ukubwani.
kuna watu wanafunga kila wiki mara 2, wengine kila katikati ya mwezi mara 3 na wala hujui kama wamefunga wanapiga kazi zao fresh tu.

Tumefaradhishiwa kufunga ili kupata afya (unapofunga unakuwa huli ovyo ovyo) na pia kumcha Mwenyezimungu kwani kufunga sio kula na kunywa tu, kufunga ni kujizuilia mambo yote ya maasi....hivyo mtu akifunga na kuacha kufanya maasi anakuwa anajikurubisha na Mwenyezimungu.
 
Kufunga kupo kwa mtazamo wa kiimani na kiafya sasa wewe unazungumzia kufunga kiimani au kiafya? ili tuangalie hayo masaa na tija zake.
Kufunga ni ibada maalum ya kuombea jambo fulani, hilo ni swala la imani, na ndio mjadala tulionao.

Unaposema kuna kufunga kwa mtazamo wa kiafya nadhani hiyo ni mada nyingine isiyohusiana na mjadala huu.

Unaweza kuanzisha uzi wa kufunga kwa mtazamo wa kiafya wadau tutajadili.
 
Mtoa mada kaifananisha ramadhani na kwaresma katika masuala ya kukutanisha watu kuftari pamoja, kusaidia wasiojiweza n.k
Hajafananisha kwa utofauti wa mounekano kwa aliefunga kiukweli na asiefunga kiukweli.

Hakuna kujionesha, kwetu sisi tunaanza kujizoesha kufunga tangu tukiwa wadogo labda from 10 years, hivyo tunakuwa na mazoea ya kufunga na hakuna ugumu wowote kwetu, hao unaoona wanapauka kwa kufunga basi hawana mazoea labda wameanza ukubwani.
kuna watu wanafunga kila wiki mara 2, wengine kila katikati ya mwezi mara 3 na wala hujui kama wamefunga wanapiga kazi zao fresh tu.

Tumefaradhishiwa kufunga ili kupata afya (unapofunga unakuwa huli ovyo ovyo) na pia kumcha Mwenyezimungu kwani kufunga sio kula na kunywa tu, kufunga ni kujizuilia mambo yote ya maasi....hivyo mtu akifunga na kuacha kufanya maasi anakuwa anajikurubisha na Mwenyezimungu.
Umeeleza vema.Ni vema muendelee hivyohivyo. Na aliye tofauti na imani yenu awe huru kuenenda kwenye reli yake bila kupangiwa.
 
Kufunga ni ibada maalum ya kuombea jambo fulani, hilo ni swala la imani, na ndio mjadala tulionao.

Unaposema kuna kufunga kwa mtazamo wa kiafya nadhani hiyo ni mada nyingine isiyohusiana na mjadala huu.

Unaweza kuanzisha uzi wa kufunga kwa mtazamo wa kiafya wadau tutajadili.
Sasa kama kufunga kwa kiimani kinachoangaliwa ni kule kuacha kula na kukaa na njaa kwa imani hivyo haijalishi ni masaa 12 au masaa mawili, sasa haya kubadili ratiba ya kula sijui usiku unakula sana inatoka wapi?
 
Kubadilisha timetable ya kula nayo unataka iwe ligi. Waislam wengine mnapenda attention ndio maana kwenye mwezi huo mnataka kila mtu ajue mmefunga ilhali hio haina utofauti na unafki.
Funga kwa ajili yako na Mungu wako sio kwa ajili ya wanadamu.
Na hivi ndivyo inavyotakiwa, lakini usishangae maana kuna uislamu na waislamu, kuna waumini na waislam jina...
hatujaamrishwa tufunge halafutijitangazie hio inabadili maana ya swaumu na kamwe mtu wa namna hii hatopata fadhila ya ibada yake ya swaumu anayoitekeleza inakuwa hamna tofauti na anaekula.
Halafu....inaonekana kwa comments za wengi wenu humu mnareffer hao waislam wa Dar maana sehemu nyengine mbona hamna hayo mambo, kuwa mtu kafunga halafu anajitangazia, unakuta kufunga ni kitu cha kawaida kwao....watu wanafunga sana tu ishakuwa mazoea
 
Kwaresma ni kwa baadhi ya wakristo sio wote, wakristo wa makanisa kibao hawana habari nayo, Ramadhan ni kwa waislam wote.

Ramadhani huwa inapewa uzito hata na serikali, huwa kuna hafla kibao za iftar zinaandaliwa na viongozi wa serikali hata walio wakristo

Ramadhan inakutanisha waislam wengi bila kujali matabaka, hafla za kufungua watakutana pamoja mawaziri, wasanii, watu wenye ulemavu, wagonjwa, n.k.

Ramadhan utawaona waislam wenye uwezo kiuchumi wakigawa vyakula bure watoto wa mitaani, wenye shida, n.k.
siyo mpango wa Mwenyezi Mungu
 
waislamu mwezi wa Ramadan wanachukua likizo makazini wanaingia kwenye madeni makubwa kisa kula sana Shida kubwa inakuja kuvimbiwa chakula Cha kula usiku saa 10 tena umeshindilia Sana ili usisikie njaa mchana , ukikutana akicheua mavimbizi ni hatari
 
Punda angembeba mtume Muhammad waislamu wangemuheshimu sana punda tofauti na sisi wakristo
 
Kwaresma ni kwa baadhi ya wakristo sio wote, wakristo wa makanisa kibao hawana habari nayo, Ramadhan ni kwa waislam wote.

Ramadhani huwa inapewa uzito hata na serikali, huwa kuna hafla kibao za iftar zinaandaliwa na viongozi wa serikali hata walio wakristo

Ramadhan inakutanisha waislam wengi bila kujali matabaka, hafla za kufungua watakutana pamoja mawaziri, wasanii, watu wenye ulemavu, wagonjwa, n.k.

Ramadhan utawaona waislam wenye uwezo kiuchumi wakigawa vyakula bure watoto wa mitaani, wenye shida, n.k.
Kwaresma hakuna "MAJINI" wema.
 
Kwaresma ni kwa baadhi ya wakristo sio wote, wakristo wa makanisa kibao hawana habari nayo, Ramadhan ni kwa waislam wote.

Ramadhani huwa inapewa uzito hata na serikali, huwa kuna hafla kibao za iftar zinaandaliwa na viongozi wa serikali hata walio wakristo

Ramadhan inakutanisha waislam wengi bila kujali matabaka, hafla za kufungua watakutana pamoja mawaziri, wasanii, watu wenye ulemavu, wagonjwa, n.k.

Ramadhan utawaona waislam wenye uwezo kiuchumi wakigawa vyakula bure watoto wa mitaani, wenye shida, n.k.
Inategemea na miongozo ya dini husika.
 
Back
Top Bottom