true story braza, hasa hako ka Baby defender ka kisasa ndio katawatia nyongo watu maana kana umeme mwingi."Ukitaka kwenda porini, nenda na land rover ila ukitaka kwenda porini na kurudi nenda na Land cruiser"
Katika discovery nazokubali ni discovery 2 V8! Ile mashine ukiiwasha tu sound lake ni noma na nusu. I feel like its the best sounding v8 engine pamoja na ile ya Range Rover P38 4.6 HSEHio V8 ya petrol ukiikuta kwenye Discovery 2 ina balaa ina mbio na muungurumo wa kibabe sana.
Habari ya mafuta unaweza ukasahau kila ukikanyaga peda ya mafuta unaposikia ngurumo ya simba dume.
1PZ sijawahi kuzielewa kwa kweli ila 13B ni ya kibabe 😂😂😂!!!Hiyo Grenadier haitokuwa na jipya kwenye uwanja wa off road. Hawa gari zao wameweka injini za BMW ambapo mwenzao Land Rover Defender aliwahi kutumia na hazikufanya vizuri.
Pia wanaweka coil spring mbele na nyuma.Toyota muache auze maana Kwenye Series 70 ambayo ni Heavy Duty kwenye Off Road mabadiliko anafanya kijanja kwenye facelift,kuweka spring mbele na injini kuboresha.
L/Cruiser kwenye series 75/76/78/79 katumia 1HZ injini kama injini mama ingawa alijaribu kuweka 13B,1PZ na saizi kaitia 1VD baada ya kufanya vyema kwenye series 200.
Land Rover Defender katumia Td200 akaja Bmw, akaboresha Td200 ikaja T300 na hapo saizi matoleo ya mwisho katumia Td5.
The same to Toyota Sequoia. Zote zina engine kubwa sana! I prefer Toyota Tacoma Trd V6 nzuri sana hasa upate stick shiftTundra sio gari ya kichovu
Daah! Tuombe asifike huko. Au aamue kutoa LC automatic transmission sijui itakuaje Chief.1PZ sijawahi kuzielewa kwa kweli ila 13B ni ya kibabe 😂😂😂!!!
1HZ ndio mashine ya ndima kwa miaka na miaka na still anaendelea kuitumia tu hata kwenye matoleo ya 2020! Siku akikatisha production ya 70 series watu wengi tutaumia sana.
Nimefatana na Sequoia juzi liko kemchwa kemchwa namba C ila lina sticker ya V8! Ni noma sana lile dude sema zile gari ni kwa soko la US ndio maana yana engine za kibabe. US pesa ya mafuta sio ishu sana kwao.The same to Toyota Sequoia. Zote zina engine kubwa sana! I prefer Toyota Tacoma Trd V6 nzuri sana hasa upate stick shift
We nae toka lini land rover ni gari ya mhindi? Au umemaanisha nini?Mie naonaga hii gari ya Mhindi iko over rated.. Serikalini walizishibokea sana miaka hiyo ila wakaona zinakufa mapema kuliko Landcruser ya mkonga, wakazi diss!
Naskia anataka kutoa land cruiser 300 hybrid with no real chassis. Itakuwa Unibody design!Daah! Tuombe asifike huko. Au aamue kutoa LC automatic transmission sijui itakuaje Chief.
Off course US mafuta bei rahisi sana. Wanauza mafuta kwa gallon. Ambapo gallon yenye litre 4 ni kama dollar 2 tu.Nimefatana na Sequoia juzi liko kemchwa kemchwa namba C ila lina sticker ya V8! Ni noma sana lile dude sema zile gari ni kwa soko la US ndio maana yana engine za kibabe. US pesa ya mafuta sio ishu sana kwao.
Daah! Gari ngumu zote zinazidi kupotea sasa.Naskia anataka kutoa land cruiser 300 hybrid with no real chassis. Itakuwa Unibody design!
ile chuma hawawezi kuitia hybrid. Ni chuma ya kazi na ndio maana hawaziuzi US! Ni Australia, Uarabuni na Africa only ambako hamna mbwembwe za Exhaust gas Emission Policies.Daah! Gari ngumu zote zinazidi kupotea sasa.
Na hii system ya hybrid ndio imeharibu kabisa. Mwisho utasikia LC 70 series hybrid
Leo ndio nasikia defender ni ya mhindiMie naonaga hii gari ya Mhindi iko over rated.. Serikalini walizishibokea sana miaka hiyo ila wakaona zinakufa mapema kuliko Landcruser ya mkonga, wakazi diss!
ni kweli kabisa anamaanisha kampuni ya land rover imenunuliwa na wahindi hawa wanaomiliki TATALeo ndio nasikia defender ni ya mhindi
Hiyo Corolla 110 huwa inapaki Mabibo pembeni ya uwanja wa mpira, jamaa kaona apate ladha ya Alteza/Subaru kwenye Corolla.LC Inafikia mziki wa hio machine hapo mbele?hahahView attachment 1546400
hilo bomba la moshi kaweka ili iwejeHiyo Corolla 110 huwa inapaki Mabibo pembeni ya uwanja wa mpira, jamaa kaona apate ladha ya Alteza/Subaru kwenye Corolla.
uarabuni je? Ipo chini ya hapo bila shakaOff course US mafuta bei rahisi sana. Wanauza mafuta kwa gallon. Ambapo gallon yenye litre 4 ni kama dollar 2 tu.
vipi engine yake haisumbui kama td5?Katika discovery nazokubali ni discovery 2 V8! Ile mashine ukiiwasha tu sound lake ni noma na nusu. I feel like its the best sounding v8 engine pamoja na ile ya Range Rover P38 4.6 HSE
sema Landrover hakubase sana kutengeneza engine zenye cc kubwa kama cruiser.labda kwa discovery 3 and 4Hiyo Grenadier haitokuwa na jipya kwenye uwanja wa off road. Hawa gari zao wameweka injini za BMW ambapo mwenzao Land Rover Defender aliwahi kutumia na hazikufanya vizuri..