RugambwaYT
JF-Expert Member
- Jan 11, 2014
- 1,397
- 1,899
Engines common ni hizo alizotaja mkuu Offshore Seamen. Hizo Tdi za four cylinder ni nyingi. Pia kuna kipindi walitumia engine ya BMW ya cc2800hivi land rover 110 zina cc ngapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Engines common ni hizo alizotaja mkuu Offshore Seamen. Hizo Tdi za four cylinder ni nyingi. Pia kuna kipindi walitumia engine ya BMW ya cc2800hivi land rover 110 zina cc ngapi?
Niliiona Soweto Mbeya hii chumaLandrover defender engine ya toyota Ihz [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1518991View attachment 1518992View attachment 1518993View attachment 1518994
Hahaha itakua haujui hata Range Rover inatengenezwa na wahindi mkuu wahindi wa TATA...waingereza walishauza share nyingi kwa TATANani kakuambia land rover ni no ya muhindi ? Rover deffender ni gari ya kiume sana
Hamna gari humo, matatizo tu! Practically an off-roader does not need so many cosmetics kama sedan ambayo ni gari ya kulia kuku tu.Hawamu hii sijui wamevurunda, sijui kama itakuwa imara kama ile ya kitambo ile. View attachment 1519311View attachment 1519312
Siku hizi barabara mbovu zinapotea.Mkuu, sasa Defender mpya 110 wametupia na air suspension, na umeme/computer kila kona. Likiroga huko porini sijui unalitoaje.
Kila jambo na wakati wake.Hawamu hii sijui wamevurunda, sijui kama itakuwa imara kama ile ya kitambo ile. View attachment 1519311View attachment 1519312
hivi 110 huwezi ukafanya modifications to kuongeza turbo?Hio V8 ya petrol ukiikuta kwenye Discovery 2 ina balaa ina mbio na muungurumo wa kibabe sana.
Habari ya mafuta unaweza ukasahau kila ukikanyaga peda ya mafuta unaposikia ngurumo ya simba dume.
Sasa hivi kachukua MhindiHivi ni Muingereza au Mhindi?
110 zina turbo mkuu, hiyo Td200/Td 300 ni turbo diesel labda ufanye mod nyingine.hivi 110 huwezi ukafanya modifications to kuongeza turbo?
nimekupata mzee110 zina turbo mkuu, hiyo Td200/Td 300 ni turbo diesel labda ufanye mod nyingine.
Land Cruiser mkonga ama Land Cruiser 105 series hizi kwangu ndio the best off road so far. Bila kusahau 80 seriesKwakweli twende mbele turudi nyuma Landcruiser mkonga ni mashine ya kiume. Hapa mjapani wagumu alitupa zawadi ya maisha
Toyota tundra ni gari nzuri na zimeteka soko la Marekani na Canada, shida ya hizi gari zina engine kubwa karibu zote ni 5.7 ltr V8 Petrol. Na pia ni left hand.Kuna mdudu TUNDRA pia naitamani sana hii garii sema bado nafanya utafiti nipate ya mkono wa kulia sio LHD
Mjapan mjanja sana. Anajua wateja wengi wa gari za off road wanapenda manual gearbox. Na hapo ndipo anawapiga na kuteka soko.Kwa kweli kwenye engine wamezingua. Na pia hawana option ya manual gearbox. Hapo pia wamechemka.
LC Series 70 kwa kweli sidhani kama kuna mpinzani.
Ni kweli. Kwenye hilo wako vizuri saana. Ndio maana 70 series zinauzika kila kukicha.Mjapan mjanja sana. Anajua wateja wengi wa gari za off road wanapenda manual gearbox. Na hapo ndipo anawapiga na kuteka soko.
Waasi wanazikubali sana LC hiz ni machine kweli kweliWaasi ni wateja wazuri wa magari ya Off Road.
Angalia Libya,Syria,Lebanon, Iraq wanavyonunua gari nyingi kama Hilux au Cruiser Hard Top. Kwa ajili ya shughuli zao za kila siku.
Mjapan mkombozi wa wanyonge. Fikiria unapata Nissan Xtrail kwa Bei robo ya BMW X3Hapa Moshi kila mwenye kampuni anapambania LandCruiser tu! Kuna wanaojitutumua kununua Landrover ila wachache mno. Nina hakika watarudi kwa Mjapan msimu wa mvua ukiisha
haina upambe hio ukizingua mjegejo tu🤣🤣🤣Waasi wanazikubali sana LC hiz ni machine kweli kweliView attachment 1544026
Tundra sio gari ya kichovuToyota tundra ni gari nzuri na zimeteka soko la Marekani na Canada, shida ya hizi gari zina engine kubwa karibu zote ni 5.7 ltr V8 Petrol. Na pia ni left hand.