Pre GE2025 Kwanini Lissu analalama kila mara, kwanini usisubiri uchaguzi ushinde au ushindwe?

Pre GE2025 Kwanini Lissu analalama kila mara, kwanini usisubiri uchaguzi ushinde au ushindwe?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

kibori nangai

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2015
Posts
1,430
Reaction score
2,130
Ndugu wana Jamvi !

Mimi nimevuka salama kabisa

Please wale wafuasi wa Lissu na kama Lisu upo himu mwenyewe

Jibu hilo swalii.

Kwanini kila siku umekuwa unalalama kuhusu uchaguzi unayogombea.

Mboye nayeye anagombea kama wewe

Na wanotoa ushind ni wajumbe

Sasa kwanini unakuwa na wasiwasi kila mara.

Majibu yangu ni kwamba hata CHADEMA NI MAMAFIA KWENYE UCHAGUZI KAMA CCM .

Kama ndivyo kwanini usijitoe kugombea KAMA UNAHISI UCHAGUZI HAUKO HURU.

JIBUNI WAFUASI WA LISU /LISU
 
Ndugu wana Jamvi !

Mimi nimevuka salama kabisa

Please wale wafuasi wa Lissu na kama Lisu upo himu mwenyewe

Jibu hilo swalii.

Kwanini kila siku umekuwa unalalama kuhusu uchaguzi unayogombea.

Mboye nayeye anagombea kama wewe

Na wanotoa ushind ni wajumbe

Sasa kwanini unakuwa na wasiwasi kila mara.

Majibu yangu ni kwamba hata CHADEMA NI MAMAFIA KWENYE UCHAGUZI KAMA CCM .

Kama ndivyo kwanini usijitoe kugombea KAMA UNAHISI UCHAGUZI HAUKO HURU.

JIBUNI WAFUASI WA LISU /LISU

Bila shaka wewe ni mfuasi wa Lipumba wa kesho kama si CCM kindaki ndaki:

IMG_20250101_215657.jpg


Tulieni hivyo hivyo dawa iwaingie!
 
Lissu kaingia chumba cha sindano atibiwe ugonjwa wake, sasa badala asubiri daktari (uchaguzi), yeye analia machozi na kupaza sauti, mara ohhhoo, mbona sindano kubwa sana, mara ohooo, mbona daktari ana mikono kama ya baunsa, mara ohooo, daktari ana macho makali, mara ohooo, nilishakuwa na ugomvi naye
 
Lissu kaingia chumba cha sindano atibiwe ugonjwa wake, sasa badala asubiri daktari (uchaguzi), yeye analia machozi na kupaza sauti, mara ohhhoo, mbona sindano kubwa sana, mara ohooo, mbona daktari ana mikono kama ya baunsa, mara ohooo, daktari ana macho makali, mara ohooo, nilishakuwa na ugomvi naye
Huu ndio ukweli mchungu

Walio karibu naye wamuambie atulie

Wakati mwingine uanjidhalilisha
 
Kila nikimuwaza Zito, Kafulila, Lipumba, Msigwa na Lisu hawana tofauti. Kabla Msigwa hajaenda ccm rafiki yake mkuu alikuwa lisu. Msigwa hajawahi sema vibaya kuhusu lisu bali ni mbowe ndie humuandama. Natafakari tuu
 
Ndugu wana Jamvi !

Mimi nimevuka salama kabisa

Please wale wafuasi wa Lissu na kama Lisu upo himu mwenyewe

Jibu hilo swalii.

Kwanini kila siku umekuwa unalalama kuhusu uchaguzi unayogombea.

Mboye nayeye anagombea kama wewe

Na wanotoa ushind ni wajumbe

Sasa kwanini unakuwa na wasiwasi kila mara.

Majibu yangu ni kwamba hata CHADEMA NI MAMAFIA KWENYE UCHAGUZI KAMA CCM .

Kama ndivyo kwanini usijitoe kugombea KAMA UNAHISI UCHAGUZI HAUKO HURU.

JIBUNI WAFUASI WA LISU /LISU
Kuna kura za huruma
 
Back
Top Bottom