kibori nangai
JF-Expert Member
- Jan 14, 2015
- 1,430
- 2,130
Ndugu wana Jamvi !
Mimi nimevuka salama kabisa
Please wale wafuasi wa Lissu na kama Lisu upo himu mwenyewe
Jibu hilo swalii.
Kwanini kila siku umekuwa unalalama kuhusu uchaguzi unayogombea.
Mboye nayeye anagombea kama wewe
Na wanotoa ushind ni wajumbe
Sasa kwanini unakuwa na wasiwasi kila mara.
Majibu yangu ni kwamba hata CHADEMA NI MAMAFIA KWENYE UCHAGUZI KAMA CCM .
Kama ndivyo kwanini usijitoe kugombea KAMA UNAHISI UCHAGUZI HAUKO HURU.
JIBUNI WAFUASI WA LISU /LISU
Mimi nimevuka salama kabisa
Please wale wafuasi wa Lissu na kama Lisu upo himu mwenyewe
Jibu hilo swalii.
Kwanini kila siku umekuwa unalalama kuhusu uchaguzi unayogombea.
Mboye nayeye anagombea kama wewe
Na wanotoa ushind ni wajumbe
Sasa kwanini unakuwa na wasiwasi kila mara.
Majibu yangu ni kwamba hata CHADEMA NI MAMAFIA KWENYE UCHAGUZI KAMA CCM .
Kama ndivyo kwanini usijitoe kugombea KAMA UNAHISI UCHAGUZI HAUKO HURU.
JIBUNI WAFUASI WA LISU /LISU