Uchaguzi 2020 Kwanini Lissu atashinda kwa kishindo?

Uchaguzi 2020 Kwanini Lissu atashinda kwa kishindo?

Yericko Nyerere, utauficha wapi uso wako baada ya matokeo kutangazwa!!? Umeshakuwa na jina kubwa epuka sana kutoa hoja ambazo mwisho wa siku zitakupunguzia kuaminiwa kwako na jamii. Mwisho.
 
All in all, kumpigia kura Magu yataka moyo.

Ipo mingi sanaaaaaaa
Ya kumpigia iliyo na upendo, hekima, busara na maarifa n.k.

Leo nawaonea huruma ewooooo.. poleni.. majibu yako nakuambiaga kutumbuliwa majibu na wenzako mkaweka hasira.. mumeona haziwapeleki popote.. musipende kudokoa vya za Umma.. eboo.. mufanye kazi hata kuanza na kibali za 20K

💚💛💚💛💚
 
Hata uwe huru na wa HAKI Haiwezekani hata kidogo unajua maana ya asilimia 93 maana yake MAGUFULI apate na vyama vingine vigawane 7 ... sasa mtu wa hivyo kweli ni mchambuzi au shabiki maandazi tu
Takwimu mufilisi hizi
 
Ni siku Mpya ikiwa na Tumaini jipya, tarehe 29 Oktoba saa 11:44 Asubuhi tukafanye yale tuliyoyaimba kwa miaka mitano sasa. AMANI IDUMU
 
Twende taratibu, Leo baada ya kukamilisha zoezi la kampeni kwa muda wa miezi miwili, naomba nitoe upembuzi wa kiutafiti kwanini Tundu Lissu atamshinda kwa mbali John Magufuli. Iwe kwa tume hiihii ya ccm au vyovyote lakini Lissu atashinda na atatangazwa na kuwa Rais wa Tanzania.

Tanzania katika jiografia ya kisiasa hugawanywa mapande matano makuu. Kanda ya Ziwa, Kanda ya Kaskazini, Kanda ya Pwan, Kanda ya Kati, Kanda ya Kusini na Kanda ya Nyanda za Juu Kusini.

Kanda ya Ziwa, Kanda ya Kati na Kanda ya Kusini ni eneo ambalo kwa chaguzi tano zilizopita zilisimama kama ngome muhimu za ccm, Na hata uchaguzi uliopita wa 2015 eneo hili ndiko CCM ilipata kura nyingi, na kumfanya Magufuli kuwa Rais ingawa kulikuwa na udanganyifu mkubwa wa matokeo.

Katika mzio huohuo huku Chadema ikidhibiti kanda ya Kaskazini, kanda ya Pwani, na Kanda ya Nyanda za Juu Kusini. Lakini udhibiti huu haukuwa wa kiwango kikubwa lakini ndiko ambako kijiografia Upinzani una nguvu sana.

Mwaka 2015 kulikuwa na vituo vya kupigia kura 60,000 nchi nzima, Chadema hakuwa na mtandao wa kudhibiti vituo vyote vya kupigia kura hali hiyo ilijidhihirisha katika ukusanyaji wa matokeo na utangazaji vituoni humo.

Uchaguzi wa mwaka huu umekuwa tofauti, Zilizokuwa ngome za CCM sasa katika kampeni tumeona zimekuwa ngome za Chadema, Hili halijaja kama muujiza tu, kwanza lilitanguliwa na kampeni ya Mwenyetiki Mh Freeman Mbowe iliyoitwa Bamboo Tree, hii ilikuwa ni kampeni ya Chadema ni msingi ambayo ilifanikisha kusimika Chama hadi ngazi ya chini kabisa ya vitongoji na kupata viongozi wa chama kila msingi kila mtaa na katika hilo chama kikafika nchi nzima yaani kila kitongoji kuna chadema ni msingi, na kila msingi una wanachama wasiopungua 30.

Hili lilikuwa zoezi la kimyakimya, na Magufuli alipokuja kustua alikuwa ameshachelewa ndio pigo hilo lililomfanya Magufuli aogope uchaguzi wa serikali za mitaa akauvuruga, lakini mtandao wa chama ukaendelea kusukwa kwa nguvu zote. Kosa kubwa la Magufuli ambalo linamuondoa madarakani ni yeye kuamini Katika nguvu ya kidola (ujeshi), yeye kama Mwenyekiti na Rais kapora shughuli za chama na kuzipeleka ikulu. Kwa mara ya kwanza ccm kama chama hakijashiriki uchaguzi hakina meneja kampeni wala mjibu propaganda, badala yake Rais kama taasisi ndio walioratibu na kushiriki kampeni. Magufuli akawa kampeni meneja na Mgombea yeye.

Sasa Uchaguzi huu wa 2020 kuna vituo vya kupigia kura 80,000 kwamjibu wa Tume ya Uchaguzi Tanzania, na vituo hivi vinaenda sambamba na idadi ya vitongoji ambavyo Chadema ndiko ina wanachama 30 kila kitongoji wanaotambuliwa kwa jina la Msingi.
Kwakutumia watu hao 30 kila msingi ambao ndio Kituo cha kupigia Kura, Chadema inakura za wanachama wa msingi 2.4M, Hawa wanachama 30 wanatakiwa kila mmoja kwenda na wapigakura 10. Hii inamaana kuwa kila msingi utakuwa na wanachama si chini ya 300.

Kwenye sayansi ya siasa tunaamini tabia ya mpiga kura hubadilika kila baada ya dakika 30 kulingana na mambo yanayomzunguka. Hivyo tunaamini wanachama 200 kati ya 300 waliopatikana katika kila msingi wataipigia kura Chadema.

Kwa nadharia hiyo itakuwa ni: Watu 200 x Vituo 80,000 = Jumla ni Kura 16,000,000. Hivyo hadi sasa kabla ya U Chadema ina jumla ya Kura za Wanachama wake halisi 16,000,000.

Na makadirio ya Tume ni kuwa na wapiga kura 29,000,000 sasa kwa nadharia tu ile ya wanachadema wa misingi 16,000,000 wanabaki watu 13,000,000 ambao tutagawana na ccm. Kwa msingi huo Chadema inakadiriwa kupata kura 6,000,000 kwenye hizo 13,000,000 wanazogawana na ccm na hivyo Jumla Chadema itakuwa na kura 22,000,000 zitakazofanya washinde uchagizi sawa na 93%

Kesho kila mmoja mwenye sifa ya kupiga kura akampigie kura Tundu Lissu, Zile kelele za ccm kwamba wameleta maendeleo kwa umoja wetu tuwajulishe kuwa mabarabara, Fly-overs na ndege hazipigi kura. Kura zinapigwa na Watumishi wa umma ambao kwa miaka mitano hawajapngezewa mishahara yao, Kura zinapigwa na watu wenye njaa, Kura zinapigwa na watu wasio na ajira, Kura zinapigwa na watu waliobomolewa nyumba zao bila fidia, Kura zinapigwa na watu waliotumbuliwa na kukosa haki zao, Kura zinapigwa na watu walipotelewa na ndugu zao kwakuuawa na wengine kutekwa nakupotea hadi leo.

Na Yericko Nyerere

View attachment 1613947
Sijaona hata sababu moja ya kumfanya Lissu kupigiwa kura ya ndio, Lissu atapata kura chache Sana kuliko unavyo dhani,

Lissu amesikilizwa na wengi ila wengi zaidi ya walio msikiliza waliishia kutokumuelewa na wengine kumdhara,

Lissu hawezi kuchaguliwa wala kuendelea zaidi ya hapo Tanganyika Peckers hapo ndio alihitimishia kila kitu chake kisiasa hasa alipo malizia kwa kuwadanganya watu eti karusha chopa kimabavu bila kibari
 
Twende taratibu, Leo baada ya kukamilisha zoezi la kampeni kwa muda wa miezi miwili, naomba nitoe upembuzi wa kiutafiti kwanini Tundu Lissu atamshinda kwa mbali John Magufuli. Iwe kwa tume hiihii ya ccm au vyovyote lakini Lissu atashinda na atatangazwa na kuwa Rais wa Tanzania.

Tanzania katika jiografia ya kisiasa hugawanywa mapande matano makuu. Kanda ya Ziwa, Kanda ya Kaskazini, Kanda ya Pwan, Kanda ya Kati, Kanda ya Kusini na Kanda ya Nyanda za Juu Kusini.

Kanda ya Ziwa, Kanda ya Kati na Kanda ya Kusini ni eneo ambalo kwa chaguzi tano zilizopita zilisimama kama ngome muhimu za ccm, Na hata uchaguzi uliopita wa 2015 eneo hili ndiko CCM ilipata kura nyingi, na kumfanya Magufuli kuwa Rais ingawa kulikuwa na udanganyifu mkubwa wa matokeo.

Katika mzio huohuo huku Chadema ikidhibiti kanda ya Kaskazini, kanda ya Pwani, na Kanda ya Nyanda za Juu Kusini. Lakini udhibiti huu haukuwa wa kiwango kikubwa lakini ndiko ambako kijiografia Upinzani una nguvu sana.

Mwaka 2015 kulikuwa na vituo vya kupigia kura 60,000 nchi nzima, Chadema hakuwa na mtandao wa kudhibiti vituo vyote vya kupigia kura hali hiyo ilijidhihirisha katika ukusanyaji wa matokeo na utangazaji vituoni humo.

Uchaguzi wa mwaka huu umekuwa tofauti, Zilizokuwa ngome za CCM sasa katika kampeni tumeona zimekuwa ngome za Chadema, Hili halijaja kama muujiza tu, kwanza lilitanguliwa na kampeni ya Mwenyetiki Mh Freeman Mbowe iliyoitwa Bamboo Tree, hii ilikuwa ni kampeni ya Chadema ni msingi ambayo ilifanikisha kusimika Chama hadi ngazi ya chini kabisa ya vitongoji na kupata viongozi wa chama kila msingi kila mtaa na katika hilo chama kikafika nchi nzima yaani kila kitongoji kuna chadema ni msingi, na kila msingi una wanachama wasiopungua 30.

Hili lilikuwa zoezi la kimyakimya, na Magufuli alipokuja kustua alikuwa ameshachelewa ndio pigo hilo lililomfanya Magufuli aogope uchaguzi wa serikali za mitaa akauvuruga, lakini mtandao wa chama ukaendelea kusukwa kwa nguvu zote. Kosa kubwa la Magufuli ambalo linamuondoa madarakani ni yeye kuamini Katika nguvu ya kidola (ujeshi), yeye kama Mwenyekiti na Rais kapora shughuli za chama na kuzipeleka ikulu. Kwa mara ya kwanza ccm kama chama hakijashiriki uchaguzi hakina meneja kampeni wala mjibu propaganda, badala yake Rais kama taasisi ndio walioratibu na kushiriki kampeni. Magufuli akawa kampeni meneja na Mgombea yeye.

Sasa Uchaguzi huu wa 2020 kuna vituo vya kupigia kura 80,000 kwamjibu wa Tume ya Uchaguzi Tanzania, na vituo hivi vinaenda sambamba na idadi ya vitongoji ambavyo Chadema ndiko ina wanachama 30 kila kitongoji wanaotambuliwa kwa jina la Msingi.
Kwakutumia watu hao 30 kila msingi ambao ndio Kituo cha kupigia Kura, Chadema inakura za wanachama wa msingi 2.4M, Hawa wanachama 30 wanatakiwa kila mmoja kwenda na wapigakura 10. Hii inamaana kuwa kila msingi utakuwa na wanachama si chini ya 300.

Kwenye sayansi ya siasa tunaamini tabia ya mpiga kura hubadilika kila baada ya dakika 30 kulingana na mambo yanayomzunguka. Hivyo tunaamini wanachama 200 kati ya 300 waliopatikana katika kila msingi wataipigia kura Chadema.

Kwa nadharia hiyo itakuwa ni: Watu 200 x Vituo 80,000 = Jumla ni Kura 16,000,000. Hivyo hadi sasa kabla ya U Chadema ina jumla ya Kura za Wanachama wake halisi 16,000,000.

Na makadirio ya Tume ni kuwa na wapiga kura 29,000,000 sasa kwa nadharia tu ile ya wanachadema wa misingi 16,000,000 wanabaki watu 13,000,000 ambao tutagawana na ccm. Kwa msingi huo Chadema inakadiriwa kupata kura 6,000,000 kwenye hizo 13,000,000 wanazogawana na ccm na hivyo Jumla Chadema itakuwa na kura 22,000,000 zitakazofanya washinde uchagizi sawa na 93%

Kesho kila mmoja mwenye sifa ya kupiga kura akampigie kura Tundu Lissu, Zile kelele za ccm kwamba wameleta maendeleo kwa umoja wetu tuwajulishe kuwa mabarabara, Fly-overs na ndege hazipigi kura. Kura zinapigwa na Watumishi wa umma ambao kwa miaka mitano hawajapngezewa mishahara yao, Kura zinapigwa na watu wenye njaa, Kura zinapigwa na watu wasio na ajira, Kura zinapigwa na watu waliobomolewa nyumba zao bila fidia, Kura zinapigwa na watu waliotumbuliwa na kukosa haki zao, Kura zinapigwa na watu walipotelewa na ndugu zao kwakuuawa na wengine kutekwa nakupotea hadi leo.

Na Yericko Nyerere

View attachment 1613947
Huyo polisi mbona kuachia tabasamu hivyo? Atafutwa kazi huyu!
 
Twende taratibu, Leo baada ya kukamilisha zoezi la kampeni kwa muda wa miezi miwili, naomba nitoe upembuzi wa kiutafiti kwanini Tundu Lissu atamshinda kwa mbali John Magufuli. Iwe kwa tume hiihii ya ccm au vyovyote lakini Lissu atashinda na atatangazwa na kuwa Rais wa Tanzania.

Tanzania katika jiografia ya kisiasa hugawanywa mapande matano makuu. Kanda ya Ziwa, Kanda ya Kaskazini, Kanda ya Pwan, Kanda ya Kati, Kanda ya Kusini na Kanda ya Nyanda za Juu Kusini.

Kanda ya Ziwa, Kanda ya Kati na Kanda ya Kusini ni eneo ambalo kwa chaguzi tano zilizopita zilisimama kama ngome muhimu za ccm, Na hata uchaguzi uliopita wa 2015 eneo hili ndiko ccm ilipata kura nyingi, na kumfanya Magufuli kuwa Rais ingawa kulikuwa na udanganyifu mkubwa wa matokeo.

Katika mzio huohuo huku Chadema ikidhibiti kanda ya Kaskazini, kanda ya Pwani, na Kanda ya Nyanda za Juu Kusini. Lakini udhibiti huu haukuwa wa kiwango kikubwa lakini ndiko ambako kijiografia Upinzani una nguvu sana.

Mwaka 2015 kulikuwa na vituo vya kupigia kura 60,000 nchi nzima, Chadema hakuwa na mtandao wa kudhibiti vituo vyote vya kupigia kura hali hiyo ilijidhihirisha katika ukusanyaji wa matokeo na utangazaji vituoni humo.

Uchaguzi wa mwaka huu umekuwa tofauti, Zilizokuwa ngome za ccm sasa katika kampeni tumeona zimekuwa ngome za Chadema, Hili halijaja kama muujiza tu, kwanza lilitanguliwa na kampeni ya Mwenyetiki Mh Freeman Mbowe iliyoitwa Bamboo Tree, hii ilikuwa ni kampeni ya Chadema ni msingi ambayo ilifanikisha kusimika Chama hadi ngazi ya chini kabisa ya vitongoji na kupata viongozi wa chama kila msingi kila mtaa na katika hilo chama kikafika nchi nzima yaani kila kitongoji kuna chadema ni msingi, na kila msingi una wanachama wasiopungua 30.

Hili lilikuwa zoezi la kimyakimya, na Magufuli alipokuja kustua alikuwa ameshachelewa ndio pigo hilo lililomfanya Magufuli aogope uchaguzi wa serikali za mitaa akauvuruga, lakini mtandao wa chama ukaendelea kusukwa kwa nguvu zote. Kosa kubwa la Magufuli ambalo linamuondoa madarakani ni yeye kuamini Katika nguvu ya kidola (ujeshi), yeye kama Mwenyekiti na Rais kapora shughuli za chama na kuzipeleka ikulu. Kwa mara ya kwanza ccm kama chama hakijashiriki uchaguzi hakina meneja kampeni wala mjibu propaganda, badala yake Rais kama taasisi ndio walioratibu na kushiriki kampeni. Magufuli akawa kampeni meneja na Mgombea yeye.

Sasa Uchaguzi huu wa 2020 kuna vituo vya kupigia kura 80,000 kwamjibu wa Tume ya Uchaguzi Tanzania, na vituo hivi vinaenda sambamba na idadi ya vitongoji ambavyo Chadema ndiko ina wanachama 30 kila kitongoji wanaotambuliwa kwa jina la Msingi.
Kwakutumia watu hao 30 kila msingi ambao ndio Kituo cha kupigia Kura, Chadema inakura za wanachama wa msingi 2.4M, Hawa wanachama 30 wanatakiwa kila mmoja kwenda na wapigakura 10. Hii inamaana kuwa kila msingi utakuwa na wanachama si chini ya 300.

Kwenye sayansi ya siasa tunaamini tabia ya mpiga kura hubadilika kila baada ya dakika 30 kulingana na mambo yanayomzunguka. Hivyo tunaamini wanachama 200 kati ya 300 waliopatikana katika kila msingi wataipigia kura Chadema.

Kwa nadharia hiyo itakuwa ni: Watu 200 x Vituo 80,000 = Jumla ni Kura 16,000,000. Hivyo hadi sasa kabla ya U Chadema ina jumla ya Kura za Wanachama wake halisi 16,000,000.

Na makadirio ya Tume ni kuwa na wapiga kura 29,000,000 sasa kwa nadharia tu ile ya wanachadema wa misingi 16,000,000 wanabaki watu 13,000,000 ambao tutagawana na ccm. Kwa msingi huo Chadema inakadiriwa kupata kura 6,000,000 kwenye hizo 13,000,000 wanazogawana na ccm na hivyo Jumla Chadema itakuwa na kura 22,000,000 zitakazofanya washinde uchagizi sawa na 93%

Kesho kila mmoja mwenye sifa ya kupiga kura akampigie kura Tundu Lissu, Zile kelele za ccm kwamba wameleta maendeleo kwa umoja wetu tuwajulishe kuwa mabarabara, Fly-overs na ndege hazipigi kura. Kura zinapigwa na Watumishi wa umma ambao kwa miaka mitano hawajapngezewa mishahara yao, Kura zinapigwa na watu wenye njaa, Kura zinapigwa na watu wasio na ajira, Kura zinapigwa na watu waliobomolewa nyumba zao bila fidia, Kura zinapigwa na watu waliotumbuliwa na kukosa haki zao, Kura zinapigwa na watu walipotelewa na ndugu zao kwakuuawa na wengine kutekwa nakupotea hadi leo.

Na Yericko Nyerere

View attachment 1613947

Yericko nilinunua kitabu chako na yaliyo andikwa humo ndani nilikuchulia kwa level nyingine na nilipenda sana kuona michango yako baada ya kusoma kitabu cha ili niweze kukufanyia synthesis analysis na nijue what personality are you made of ?

Asante sana nina majibu sasa.

Nimefanya study mbili na surveys mbili zote za kisiasa na kuwa funded The Bretton Woods Institution kama contribution yake kwa United Nations University, upande wa Evolution, Reform and Change. Ninao surveyors' contacts 35000 karibu kila kijiji nchi nzima.

Mpaka muda huu 12.30 PM, na contribute humu JF, mwenendo wa wapigaji kura ni kinyume mno na ulivyoandika. Leo nimetambua kelele za kuibiwa kura huanzia wapi?

Nipo Lyamungo Sinde, Machame, Hai Contituency. Nafanya Independent, Physical and Verifiable Audit ( Re Audit) for Predictive electoral voting surveys report findings.

Nitatoa majibu tarehe 30th October. Kwenye wiki la kwanza la Nov 2020 nita publish publicly, nitaku tag. .

Nilisoma novel Book na sio intellegece book from intellegent person Na kufikiri labda naweza kukitumia muda mwingine kama ref. book na kufanya hypothesis analysis na critical path management. Nakuomba usome Intellegene analysis,

1) A target centric approach, muandishi Robert M. Clerk/

2) Deception countered by Robert M. Clerk.

3) The Rise and fall of an Intellegence Discipline.
by www.cia.gov>studies>pgfs-

Pole sana umetuumiza sana tuliojaribu kuamini labda intellect yako ni nzuri sana kumbe unaweza kubahatisha na tuu.

ASANTE SANA , UKIANDIKA KITABU CHA KIUTAALAMU JIZUIE KUANDIKA VITU AMBAVYO MAJIBU YAKE HUNA UFAHAMU NAYO.
 
Yericko nilinunua kitabu chako na yaliyo andikwa humo ndani nilikuchulia kwa level nyingine na nilipenda sana kuona michango yako baada ya kusoma kitabu cha ili niweze kukufanyia synthesis analysis na nijue what personality are you made of ?

Asante sana nina majibu sasa.

Nimefanya study mbili na surveys mbili zote za kisiasa na kuwa funded The Bretton Woods Institution kama contribution yake kwa United Nations University, upande wa Evolution, Reform and Change. Ninao surveyors' contacts 35000 karibu kila kijiji nchi nzima.

Mpaka muda huu 12.30 PM, na contribute humu JF, mwenendo wa wapigaji kura ni kinyume mno na ulivyoandika. Leo nimetambua kelele za kuibiwa kura huanzia wapi?

Nipo Lyamungo Sinde, Machame, Hai Contituency. Nafanya Independent, Physical and Verifiable Audit ( Re Audit) for Predictive electoral voting surveys report findings.

Nitatoa majibu tarehe 30th October. Kwenye wiki la kwanza la Nov 2020 nita publish publicly, nitaku tag. .

Nilisoma novel Book na sio intellegece book from intellegent person Na kufikiri labda naweza kukitumia muda mwingine kama ref. book na kufanya hypothesis analysis na critical path management. Nakuomba usome Intellegene analysis,

1) A target centric approach, muandishi Robert M. Clerk/

2) Deception countered by Robert M. Clerk.

3) The Rise and fall of an Intellegence Discipline.
by www.cia.gov>studies>pgfs-

Pole sana umetuumiza sana tuliojaribu kuamini labda intellect yako ni nzuri sana kumbe unaweza kubahatisha na tuu.

ASANTE SANA , UKIANDIKA KITABU CHA KIUTAALAMU JIZUIE KUANDIKA VITU AMBAVYO MAJIBU YAKE HUNA UFAHAMU NAYO.
Huu sasa ni wivu! Nilifikri unajibu hoja yake ya ushindi wa Tundu Lissu kumbe unashambulia kitabu chake? Hii inaweza kuwa imetokana na PhD holder anapozidiwa maarifa na degree holder, lazima kuwe na wivu!!
 
Twende taratibu, Leo baada ya kukamilisha zoezi la kampeni kwa muda wa miezi miwili, naomba nitoe upembuzi wa kiutafiti kwanini Tundu Lissu atamshinda kwa mbali John Magufuli. Iwe kwa tume hiihii ya ccm au vyovyote lakini Lissu atashinda na atatangazwa na kuwa Rais wa Tanzania.

Tanzania katika jiografia ya kisiasa hugawanywa mapande matano makuu. Kanda ya Ziwa, Kanda ya Kaskazini, Kanda ya Pwan, Kanda ya Kati, Kanda ya Kusini na Kanda ya Nyanda za Juu Kusini.

Kanda ya Ziwa, Kanda ya Kati na Kanda ya Kusini ni eneo ambalo kwa chaguzi tano zilizopita zilisimama kama ngome muhimu za ccm, Na hata uchaguzi uliopita wa 2015 eneo hili ndiko CCM ilipata kura nyingi, na kumfanya Magufuli kuwa Rais ingawa kulikuwa na udanganyifu mkubwa wa matokeo.

Katika mzio huohuo huku Chadema ikidhibiti kanda ya Kaskazini, kanda ya Pwani, na Kanda ya Nyanda za Juu Kusini. Lakini udhibiti huu haukuwa wa kiwango kikubwa lakini ndiko ambako kijiografia Upinzani una nguvu sana.

Mwaka 2015 kulikuwa na vituo vya kupigia kura 60,000 nchi nzima, Chadema hakuwa na mtandao wa kudhibiti vituo vyote vya kupigia kura hali hiyo ilijidhihirisha katika ukusanyaji wa matokeo na utangazaji vituoni humo.

Uchaguzi wa mwaka huu umekuwa tofauti, Zilizokuwa ngome za CCM sasa katika kampeni tumeona zimekuwa ngome za Chadema, Hili halijaja kama muujiza tu, kwanza lilitanguliwa na kampeni ya Mwenyetiki Mh Freeman Mbowe iliyoitwa Bamboo Tree, hii ilikuwa ni kampeni ya Chadema ni msingi ambayo ilifanikisha kusimika Chama hadi ngazi ya chini kabisa ya vitongoji na kupata viongozi wa chama kila msingi kila mtaa na katika hilo chama kikafika nchi nzima yaani kila kitongoji kuna chadema ni msingi, na kila msingi una wanachama wasiopungua 30.

Hili lilikuwa zoezi la kimyakimya, na Magufuli alipokuja kustua alikuwa ameshachelewa ndio pigo hilo lililomfanya Magufuli aogope uchaguzi wa serikali za mitaa akauvuruga, lakini mtandao wa chama ukaendelea kusukwa kwa nguvu zote. Kosa kubwa la Magufuli ambalo linamuondoa madarakani ni yeye kuamini Katika nguvu ya kidola (ujeshi), yeye kama Mwenyekiti na Rais kapora shughuli za chama na kuzipeleka ikulu. Kwa mara ya kwanza ccm kama chama hakijashiriki uchaguzi hakina meneja kampeni wala mjibu propaganda, badala yake Rais kama taasisi ndio walioratibu na kushiriki kampeni. Magufuli akawa kampeni meneja na Mgombea yeye.

Sasa Uchaguzi huu wa 2020 kuna vituo vya kupigia kura 80,000 kwamjibu wa Tume ya Uchaguzi Tanzania, na vituo hivi vinaenda sambamba na idadi ya vitongoji ambavyo Chadema ndiko ina wanachama 30 kila kitongoji wanaotambuliwa kwa jina la Msingi.
Kwakutumia watu hao 30 kila msingi ambao ndio Kituo cha kupigia Kura, Chadema inakura za wanachama wa msingi 2.4M, Hawa wanachama 30 wanatakiwa kila mmoja kwenda na wapigakura 10. Hii inamaana kuwa kila msingi utakuwa na wanachama si chini ya 300.

Kwenye sayansi ya siasa tunaamini tabia ya mpiga kura hubadilika kila baada ya dakika 30 kulingana na mambo yanayomzunguka. Hivyo tunaamini wanachama 200 kati ya 300 waliopatikana katika kila msingi wataipigia kura Chadema.

Kwa nadharia hiyo itakuwa ni: Watu 200 x Vituo 80,000 = Jumla ni Kura 16,000,000. Hivyo hadi sasa kabla ya U Chadema ina jumla ya Kura za Wanachama wake halisi 16,000,000.

Na makadirio ya Tume ni kuwa na wapiga kura 29,000,000 sasa kwa nadharia tu ile ya wanachadema wa misingi 16,000,000 wanabaki watu 13,000,000 ambao tutagawana na ccm. Kwa msingi huo Chadema inakadiriwa kupata kura 6,000,000 kwenye hizo 13,000,000 wanazogawana na ccm na hivyo Jumla Chadema itakuwa na kura 22,000,000 zitakazofanya washinde uchagizi sawa na 93%

Kesho kila mmoja mwenye sifa ya kupiga kura akampigie kura Tundu Lissu, Zile kelele za ccm kwamba wameleta maendeleo kwa umoja wetu tuwajulishe kuwa mabarabara, Fly-overs na ndege hazipigi kura. Kura zinapigwa na Watumishi wa umma ambao kwa miaka mitano hawajapngezewa mishahara yao, Kura zinapigwa na watu wenye njaa, Kura zinapigwa na watu wasio na ajira, Kura zinapigwa na watu waliobomolewa nyumba zao bila fidia, Kura zinapigwa na watu waliotumbuliwa na kukosa haki zao, Kura zinapigwa na watu walipotelewa na ndugu zao kwakuuawa na wengine kutekwa nakupotea hadi leo.

Na Yericko Nyerere

View attachment 1613947
Mkuu bado upo au umeshakufa kwa stress?
 
Huu sasa ni wivu! Nilifikri unajibu hoja yake ya ushindi wa Tundu Lissu kumbe unashambulia kitabu chake? Hii inaweza kuwa imetokana na PhD holder anapozidiwa maarifa na degree holder, lazima kuwe na wivu!!

Mkuu, mimi nina muheshimu sana mtuu yeyote anaendika kitabu. Kwanza huwa sio wengi wanaoweza kuandika na kila mmoja anasababu yake ama kufanya hivyo ama kutofanya hivyo.

Na sisi waandishi wa ama vitabu au paper za research hupenda kila muandishi aheshimiwe, ni kazi inayo taka muda na kutuliza akili. Kwa kukusaidia michango yako maeneo kama haya hai hitajiki sababu huna chakuongeza. Na humsaidii Mkuu Yericko.
 
Back
Top Bottom