Braza upo serious kweli na maisha?????? Yaani tuache kumuunga mkono bi mkubwa afu tumuunge mkono lissu?????
Hivi braza lissu personal namjua au unamuona kwenye tv tuKwani walifika huko kwa kupenda ndugu? Au aliyofanyiwa baba yao area D ilikuwa ni picnic?
Kua serious na maisha kakaNdugu, orodha si Iko wazi hapa:
Nani atamwunga mkono Mama na bei hizi za vyakula au msururu huu wa matozo na kodi yasiyokuwa na idadi?"
Nani atamwunga Mama mkono kwa ugumu huu wa maisha ambapo wenzetu wenye kulamba asali mishahara, marupurupu na posho ni ya kufuru kutokea kwenye kodi tunazokamuliwa sisi?
"Nani atamwunga Mama mkono kwenye ununuzi wa magari haya ya 400m/- plus kuwa halali ya walamba asali na kila wanapojisikia?
Si uchague lako au yako tuyaone.
Kaka hii hali yako personal hiyo!!!!Pambana kama mwanaume acha kulalamikaWeee chawa nawe ficha ujinga wako...umuunge mkono Kwa lipi? Mafuta bei juu ... Mchicha bei juu bando hazina utulivu .. elimu unga unga mwana ..maji pia unga unga mwana ..umeme hivyo hivyo....weeee kaa kimya
Sasa ukame ni excuse kwenye Karen ya 21 mkuu? 60 years in power... does this justify Lissu's Statement that you have to offer new constitution and leave the ofcc immediately.Kwa karibu miaka miwili nchi imekuwa kame, hayo maharage na mchele haukustawi kama ilivyo kawaida. Hata nyie Chadema, shamba lenu la Morogoro halikupata mvua.
Na pia wakulima lazima wanufaike, huko ndiko Kuna watu wengi, wakinufaika wengi, taifa litasonga
Hata misahafu inasema kuwatambua manabii kwa matunda na vitendo vyao.Hivi braza lissu personal namjua au unamuona kwenye tv tu
Uraia pacha wa nini ????Acha tamaaUraia pacha ni haki ya binadamu wote Duniani kasoro Tanzania 🇹🇿 !!
Karibu ccm kaka acha utotoHata misahafu inasema kuwatambua manabii kwa matunda na vitendo vyao.
Waliopo ni hawa hapa:
https://www.jamiiforums.com/threads...a-serikali-msitake-faida-tu-wekezeni.2052039/
Kimsingi hawatufai.
Chawa kazini bila hojaKaribu ccm kaka acha utoto
Kua serious na maisha kaka
Wewe wanakukamua bila shakaBei ya vyakula ni tatizo la Dunia, limeanza na ukame, baadae vita ya Ukraine ikaingia, supply chain za chakula zikavurugika, pamoja na ukame duniani.
Hakuna sehemu duniani utapata chakula kwa bei rahisi kwa Sasa.
Lissu anafanya Siasa za kilaghai tu. Na anayoyahutubia hayana uelewa wa mambo ya mtambuka. Yanaimbishwa tu people's power, kichwani yamejaza machicha ya mbege.
CCM watatumia fursa hiyo kuwaambia vijana kwamba kilimo kinalipa, na Serikali haitaingilia biashara ya kilimo kwa kuvuruga bei.
Hao bodaboda watavutika na kilimo, wataondoka mjini, pia ni fursa ya ajira
Tatzo umejikita na political theory ambazo zipo kila zama hazijawai kuwa suruhisho kwa watanzania CCM mmekuwa mabingwa wa uraghai kwenye kila sehemu sio kilimo , viwanda au elimu kote mnafailBei ya vyakula ni tatizo la Dunia, limeanza na ukame, baadae vita ya Ukraine ikaingia, supply chain za chakula zikavurugika, pamoja na ukame duniani.
Hakuna sehemu duniani utapata chakula kwa bei rahisi kwa Sasa.
Lissu anafanya Siasa za kilaghai tu. Na anayoyahutubia hayana uelewa wa mambo ya mtambuka. Yanaimbishwa tu people's power, kichwani yamejaza machicha ya mbege.
CCM watatumia fursa hiyo kuwaambia vijana kwamba kilimo kinalipa, na Serikali haitaingilia biashara ya kilimo kwa kuvuruga bei.
Hao bodaboda watavutika na kilimo, wataondoka mjini, pia ni fursa ya ajira
Vita ya Urusi na Ukraine mpaka leo bado hamjalipatia tatizo solution, ni.kusingizia vita kila siku zaidi ya miezi sita!Bei ya vyakula ni tatizo la Dunia, limeanza na ukame, baadae vita ya Ukraine ikaingia, supply chain za chakula zikavurugika, pamoja na ukame duniani.
Hakuna sehemu duniani utapata chakula kwa bei rahisi kwa Sasa.
Lissu anafanya Siasa za kilaghai tu. Na anayoyahutubia hayana uelewa wa mambo ya mtambuka. Yanaimbishwa tu people's power, kichwani yamejaza machicha ya mbege.
CCM watatumia fursa hiyo kuwaambia vijana kwamba kilimo kinalipa, na Serikali haitaingilia biashara ya kilimo kwa kuvuruga bei.
Hao bodaboda watavutika na kilimo, wataondoka mjini, pia ni fursa ya ajira
Sio chawa kazini braza!!!!Sema chawa uchawani kaka!!!!!!Chawa kazini bila hoja
Vita ya Urusi na Ukraine mpaka leo bado hamjalipatia tatizo solution, ni.kusingizia vita kila siku zaidi ya miezi sita!
Hamstahili kuongoza tena, mmechoka sana akili zenu...
Kanyi mdogo wangu vumilia tutawafikisha nchi ya ahadi mda si mrefu!!!Au nikupatie ilani ya chama usome?????Uvumilivu ndio uzalendoTatzo umejikita na political theory ambazo zipo kila zama hazijawai kuwa suruhisho kwa watanzania CCM mmekuwa mabingwa wa uraghai kwenye kila sehemu sio kilimo , viwanda au elimu kote mnafail
Tundu Lissu ni mkombozi wa wote wenye vyama na wasio na vyamaMheshimiwa Lissu kaingizana nchini jana kama farasi wa ngongo. Mapokezi yake tu ni ishara tosha kuwa huyu ni mtu wa namna gani kwa watu wake.
Kwenye hotuba yake mara tu baada ya kuwasili, anawaongelea waziwazi watanzania wote. Matatizo ya bei za vyakula, mzigo wa matozo na kodi ni shida kwa watanzania wote wakiwamo hawa chawa wa mama isipokuwa tu labda kwa walamba asali.
"Nani atamwunga mkono Mama na bei hizi za vyakula au msururu huu wa matozo na kodi yasiyokuwa na idadi?"
Nani atamwunga Mama mkono kwa ugumu huu wa maisha ambapo wenzetu wenye kulamba asali: mishahara, marupurupu na posho zao ni za kufuru kutokea kwenye kodi tunazokamuliwa sisi?
"Nani atamwunga Mama mkono kwenye ununuzi wa magari haya ya 400m/- plus kwa moja, kuwa ni halali kwa walamba asali na kila wanapojisikia?
Nk, nk yako mengi.
Kwani kero zote zinazotuhusu wananchi hatujawahi kuwapa orodha yote? Kwani nini wamekifanya kuziondoa au hata kuzipunguza?
"Siyo hawa waliotuelekeza kama vipi tuhamie kwingine?"
Ni wazi kuwa matatizo yetu ni ya kikatiba zaidi. Tunahitaji katiba nyingine ili raslimali na shida zetu ziwe zetu sote. Tunahitaji haki na usawa kwa wote.
Hapa ndipo ulipo ule mfupa ambao umemshinda fisi. Mfupa huu unahitaji wenye meno. Haupo uchawi, busara, sayansi wala nini.
Anatakikana panya mwenye uthubutu wa kumfunga Paka kengele!
Lini ulienda Uwanja wa Taifa kuyaongelea.?Mkono mtupu haulambwi braza!!!!!!Kama kuyaongelea matatizo yetu watanzania hata sisi tunaweza braza!!!!
Wale wa Ndugai wana uraia gani?Huyo mshikaji si wanae wana uraia wa marekani????Afu ndio atuongelee watanzania wote????? Kua serious na maisha braza au na wewe ndio fresh from..... ....?????
Ni shida ndizo humfanya binadamu aondoke sehemu moja na kuenda sehemu nyingine kutafuta riziki lakini wakati huo huo ana matarajio ya kurudi nyumbani kwao !!Uraia pacha wa nini ????Acha tamaa