Kwanini Lissu na CHADEMA watautafuna mfupa uliowashinda wengine

Kwanini Lissu na CHADEMA watautafuna mfupa uliowashinda wengine

Braza upo serious kweli na maisha?????? Yaani tuache kumuunga mkono bi mkubwa afu tumuunge mkono lissu?????

Ndugu, orodha si Iko wazi hapa:

Nani atamwunga mkono Mama na bei hizi za vyakula au msururu huu wa matozo na kodi yasiyokuwa na idadi?"

Nani atamwunga Mama mkono kwa ugumu huu wa maisha ambapo wenzetu wenye kulamba asali mishahara, marupurupu na posho ni ya kufuru kutokea kwenye kodi tunazokamuliwa sisi?

"Nani atamwunga Mama mkono kwenye ununuzi wa magari haya ya 400m/- plus kuwa halali ya walamba asali na kila wanapojisikia?


Si uchague lako au yako tuyaone.
 
Ndugu, orodha si Iko wazi hapa:

Nani atamwunga mkono Mama na bei hizi za vyakula au msururu huu wa matozo na kodi yasiyokuwa na idadi?"

Nani atamwunga Mama mkono kwa ugumu huu wa maisha ambapo wenzetu wenye kulamba asali mishahara, marupurupu na posho ni ya kufuru kutokea kwenye kodi tunazokamuliwa sisi?

"Nani atamwunga Mama mkono kwenye ununuzi wa magari haya ya 400m/- plus kuwa halali ya walamba asali na kila wanapojisikia?


Si uchague lako au yako tuyaone.
Kua serious na maisha kaka
 
Weee chawa nawe ficha ujinga wako...umuunge mkono Kwa lipi? Mafuta bei juu ... Mchicha bei juu bando hazina utulivu .. elimu unga unga mwana ..maji pia unga unga mwana ..umeme hivyo hivyo....weeee kaa kimya
Kaka hii hali yako personal hiyo!!!!Pambana kama mwanaume acha kulalamika
 
Kwa karibu miaka miwili nchi imekuwa kame, hayo maharage na mchele haukustawi kama ilivyo kawaida. Hata nyie Chadema, shamba lenu la Morogoro halikupata mvua.

Na pia wakulima lazima wanufaike, huko ndiko Kuna watu wengi, wakinufaika wengi, taifa litasonga
Sasa ukame ni excuse kwenye Karen ya 21 mkuu? 60 years in power... does this justify Lissu's Statement that you have to offer new constitution and leave the ofcc immediately.
 
Bei ya vyakula ni tatizo la Dunia, limeanza na ukame, baadae vita ya Ukraine ikaingia, supply chain za chakula zikavurugika, pamoja na ukame duniani.

Hakuna sehemu duniani utapata chakula kwa bei rahisi kwa Sasa.

Lissu anafanya Siasa za kilaghai tu. Na anayoyahutubia hayana uelewa wa mambo ya mtambuka. Yanaimbishwa tu people's power, kichwani yamejaza machicha ya mbege.

CCM watatumia fursa hiyo kuwaambia vijana kwamba kilimo kinalipa, na Serikali haitaingilia biashara ya kilimo kwa kuvuruga bei.

Hao bodaboda watavutika na kilimo, wataondoka mjini, pia ni fursa ya ajira
Wewe wanakukamua bila shaka
 
Bei ya vyakula ni tatizo la Dunia, limeanza na ukame, baadae vita ya Ukraine ikaingia, supply chain za chakula zikavurugika, pamoja na ukame duniani.

Hakuna sehemu duniani utapata chakula kwa bei rahisi kwa Sasa.

Lissu anafanya Siasa za kilaghai tu. Na anayoyahutubia hayana uelewa wa mambo ya mtambuka. Yanaimbishwa tu people's power, kichwani yamejaza machicha ya mbege.

CCM watatumia fursa hiyo kuwaambia vijana kwamba kilimo kinalipa, na Serikali haitaingilia biashara ya kilimo kwa kuvuruga bei.

Hao bodaboda watavutika na kilimo, wataondoka mjini, pia ni fursa ya ajira
Tatzo umejikita na political theory ambazo zipo kila zama hazijawai kuwa suruhisho kwa watanzania CCM mmekuwa mabingwa wa uraghai kwenye kila sehemu sio kilimo , viwanda au elimu kote mnafail
 
Bei ya vyakula ni tatizo la Dunia, limeanza na ukame, baadae vita ya Ukraine ikaingia, supply chain za chakula zikavurugika, pamoja na ukame duniani.

Hakuna sehemu duniani utapata chakula kwa bei rahisi kwa Sasa.

Lissu anafanya Siasa za kilaghai tu. Na anayoyahutubia hayana uelewa wa mambo ya mtambuka. Yanaimbishwa tu people's power, kichwani yamejaza machicha ya mbege.

CCM watatumia fursa hiyo kuwaambia vijana kwamba kilimo kinalipa, na Serikali haitaingilia biashara ya kilimo kwa kuvuruga bei.

Hao bodaboda watavutika na kilimo, wataondoka mjini, pia ni fursa ya ajira
Vita ya Urusi na Ukraine mpaka leo bado hamjalipatia tatizo solution, ni.kusingizia vita kila siku zaidi ya miezi sita!

Hamstahili kuongoza tena, mmechoka sana akili zenu...
 
Vumilia kaka tutawafikisha nchi ya ahadi mda si mrefu mnywe maziwa na asali na muanze kufurahia matunda ya uhuru!!!Vumila kaka
Vita ya Urusi na Ukraine mpaka leo bado hamjalipatia tatizo solution, ni.kusingizia vita kila siku zaidi ya miezi sita!

Hamstahili kuongoza tena, mmechoka sana akili zenu...
 
Tatzo umejikita na political theory ambazo zipo kila zama hazijawai kuwa suruhisho kwa watanzania CCM mmekuwa mabingwa wa uraghai kwenye kila sehemu sio kilimo , viwanda au elimu kote mnafail
Kanyi mdogo wangu vumilia tutawafikisha nchi ya ahadi mda si mrefu!!!Au nikupatie ilani ya chama usome?????Uvumilivu ndio uzalendo
 
Mheshimiwa Lissu kaingizana nchini jana kama farasi wa ngongo. Mapokezi yake tu ni ishara tosha kuwa huyu ni mtu wa namna gani kwa watu wake.

Kwenye hotuba yake mara tu baada ya kuwasili, anawaongelea waziwazi watanzania wote. Matatizo ya bei za vyakula, mzigo wa matozo na kodi ni shida kwa watanzania wote wakiwamo hawa chawa wa mama isipokuwa tu labda kwa walamba asali.

"Nani atamwunga mkono Mama na bei hizi za vyakula au msururu huu wa matozo na kodi yasiyokuwa na idadi?"

Nani atamwunga Mama mkono kwa ugumu huu wa maisha ambapo wenzetu wenye kulamba asali: mishahara, marupurupu na posho zao ni za kufuru kutokea kwenye kodi tunazokamuliwa sisi?

"Nani atamwunga Mama mkono kwenye ununuzi wa magari haya ya 400m/- plus kwa moja, kuwa ni halali kwa walamba asali na kila wanapojisikia?

Nk, nk yako mengi.

Kwani kero zote zinazotuhusu wananchi hatujawahi kuwapa orodha yote? Kwani nini wamekifanya kuziondoa au hata kuzipunguza?

"Siyo hawa waliotuelekeza kama vipi tuhamie kwingine?"

Ni wazi kuwa matatizo yetu ni ya kikatiba zaidi. Tunahitaji katiba nyingine ili raslimali na shida zetu ziwe zetu sote. Tunahitaji haki na usawa kwa wote.

Hapa ndipo ulipo ule mfupa ambao umemshinda fisi. Mfupa huu unahitaji wenye meno. Haupo uchawi, busara, sayansi wala nini.

Anatakikana panya mwenye uthubutu wa kumfunga Paka kengele!
Tundu Lissu ni mkombozi wa wote wenye vyama na wasio na vyama
 
Back
Top Bottom