rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
UmeniwahiUmezaliwa mwaka gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UmeniwahiUmezaliwa mwaka gani?
Hapa tumemaliza ila dube aliwafunika sanaKundi la reggae la Wailers liliundwa mwaka 1963 (Bob Marley, Peter Tosh, Bunny Wailer n.k) na walitoa album yao ya kwanza mwaka 1965 (The Wailing Wailers). Lucky Dube alizaliwa mwaka 1964, maana yake akiwa na mwaka mmoja tu wapo watu tayari walishakuwa na album tayari. Legend - Yes, Pioneer - Definitely, big NO.
Kwako!!Hii mpya Sasa....
Muimba kwaya, nona vile vinanda vinawachanganya,Rasta zile zisikuchanganye mtoto mdogo wewe, Dube ni muimba kwaya tu kama Bahati Bukuku.
Dube tunamjua watu wa huku nchi za SADC.
Duniani huko nani anamjua kwa vya maana.
Sio kweli kwamba hatambuliki. Fuata hii linkWakuu nawaheshimu sana kwa kuwa kanuni mojawapo ya ubinadamu sahihi ni kuheshimu usiemjua mpaka utakapomjuwa:
Mimi ni miongoni mwao wafuatliaji wa muziki wa aina tofauti duniani, kama POP na SOUL POP pia RNB ambayo ndiyo hupendwa na watu wengi duniani kwa kuwa ina vibe na kutoa passion kwa haraka..Pia nikajikuta nimependa huu muziki wa aina ya tatu wa REGGAE ambapo niwe mkweli nilianza kuupenda kutokana na nyimbo za huyu mwamba, nikajikuta pia nawafuatlia na wengine kama kina PETER TOSH,BUNNY WAILER,dingi mwenyewe BOB MARLEY, nk japo katika kufuatilia na kusoma maandiko miziki waliyoimba hawa waasisi ni REGGAE ya aina tofauti japo ujumbe ni ule ule.
Lakini ukweli huyu mwamba DUBE muziki wake ulisumbua na unasumbua masikio ya wengi Duniani na haswa Afrika,mimi huwa namfananisha na Diamond kibongo kwa kuwa aliiamsha REGGAE na kuimodify,jamaa nyimbo zake ni currently japo hata hao wengine zinaishi LAkini ukifuatilia katika orodha ya wakali na malegends wa REGGAE duniani tathmini hazimtaji huyu jamaa why?,Jamaa alifanya show USA na Amerika kusini kote huko na alijaza watu hata mkifuatlia live concert zake ambapo kwa haraka haraka hakuna mwanareggae kuanzia bob Marley kujaza kumbi kiasi kile then why?
Tathmini/machapisho yanawataja bob Marley,Senzo,TOSH,bunny wailer nk ila DUBE hayumo why? Hata Forbes hawamtaji katika ma GOAT au legends wa REGGAE sijajua alifeli wapi ktk muziki wake. .NAWASILISHA:
Tatizo watoto wadogo huwa hawakai chini kwenye mkeka watusubirie wakongwe tupige funda kadhaa za Tembo, kisha tusokote tumbaku kwenye kiko na kubwia ugolo tayari kuwapa historia na elimu kwenye mambo kadha wa kadha.Kama data zipo sahihi, uzi unastahili kuishia hapa, vijana wote wa miaka ya 2000 wanapaswa kukuelewa.
Huu mwaka mna raha ukiulizwa mwaka 2055 utakua na umri gani huna haja ya kufikiri sana.2000 sio chini wala juu ya hapo ni Mwaka 2000
Haujasikiliza nyimbo zakw vema. Huyo Lucky Dube alikuwa na tungo tata enzi za Apartheid hapo South Africa wakati kaburu akiwatesa watu weusi.Kwa kifupi LUCKY DUBE hakuwa mpambanaji kupitia reggae, yy alikuwa MWOGA licha ya kushuhudia na kuuishi UKATILI, UNYANYASAJi, DHULMA NA UBAGUZI yy alijikita katika kutousema UKWELI .
Badala yake alitafuta Amani kwa kutaka watu wapatane kama vile HAKI ipo isipokuwa wananchi hawajui ile HAKI inapatikana vp.
Tofauti na MANGULI wengine wa REGGAE MUSIC hawa walijitokeza na kusema ukweli, TABAKA fulani linalinyanyasa tabakq fulani.
Haki hakuna acheni dhulma 'DONT GIVE UP THE FIGHT.'
Nenda nao taratibu akili zitakuwa sawa kadri wanavyokua.Tatizo watoto wadogo huwa hawakai chini kwenye mkeka watusubirie wakongwe tupige funda kadhaa za Tembo, kisha tusokote tumbaku kwenye kiko na kubwia ugolo tayari kuwapa historia na elimu kwenye mambo kadha wa kadha.
Vijana ujuaji akienda online akasoma mbili tatu analeta ujuaji. Kuna kamoja juzi hapa kanakuja tuambia Michael Jackson ana ukali gani mbona hana maajabu, aiseee ilikuwa nusu tumtafute tumshitaki mahakamani kwa kosa la kutokujua anachokisema hadharani.
Mtihani mkubwa huu ndugu yangu, yaani hawa watoto wa juzi ni mtihani mkubwa sana. Anaongea kitu utadhani yeye alikuwapo eneo la tukio.Hii mpya Sasa....
Kumbe anaimba nini mzee bolingo? [emoji848]Lucky Dube hafanyi Reggae,..kama ana nyimbo za mahadhi hayo basi hazizidi Tano,nikumbushe
Prisoner alipiga akimaanisha wapambanaji waliokamatwa na kufungwa jela yaani Dube hakuwa mpambanaji aisee sema Wazulu wanambagua Dube kwa kuwa ni Mzimbabwe..Kwa kifupi LUCKY DUBE hakuwa mpambanaji kupitia reggae, yy alikuwa MWOGA licha ya kushuhudia na kuuishi UKATILI, UNYANYASAJi, DHULMA NA UBAGUZI yy alijikita katika kutousema UKWELI .
Badala yake alitafuta Amani kwa kutaka watu wapatane kama vile HAKI ipo isipokuwa wananchi hawajui ile HAKI inapatikana vp.
Tofauti na MANGULI wengine wa REGGAE MUSIC hawa walijitokeza na kusema ukweli, TABAKA fulani linalinyanyasa tabakq fulani.
Haki hakuna acheni dhulma 'DONT GIVE UP THE FIGHT.'