Kwanini Lucky Dube hatambuliki kama muasisi ama legend wa muziki wa reggae duniani?

Kwanini Lucky Dube hatambuliki kama muasisi ama legend wa muziki wa reggae duniani?

Wakuu nawaheshimu sana kwa kuwa kanuni mojawapo ya ubinadamu sahihi ni kuheshimu usiemjua mpaka utakapomjuwa:

Mimi ni miongoni mwao wafuatliaji wa muziki wa aina tofauti duniani, kama POP na SOUL POP pia RNB ambayo ndiyo hupendwa na watu wengi duniani kwa kuwa ina vibe na kutoa passion kwa haraka..Pia nikajikuta nimependa huu muziki wa aina ya tatu wa REGGAE ambapo niwe mkweli nilianza kuupenda kutokana na nyimbo za huyu mwamba, nikajikuta pia nawafuatlia na wengine kama kina PETER TOSH,BUNNY WAILER,dingi mwenyewe BOB MARLEY, nk japo katika kufuatilia na kusoma maandiko miziki waliyoimba hawa waasisi ni REGGAE ya aina tofauti japo ujumbe ni ule ule.

Lakini ukweli huyu mwamba DUBE muziki wake ulisumbua na unasumbua masikio ya wengi Duniani na haswa Afrika,mimi huwa namfananisha na Diamond kibongo kwa kuwa aliiamsha REGGAE na kuimodify,jamaa nyimbo zake ni currently japo hata hao wengine zinaishi LAkini ukifuatilia katika orodha ya wakali na malegends wa REGGAE duniani tathmini hazimtaji huyu jamaa why?,Jamaa alifanya show USA na Amerika kusini kote huko na alijaza watu hata mkifuatlia live concert zake ambapo kwa haraka haraka hakuna mwanareggae kuanzia bob Marley kujaza kumbi kiasi kile then why?

Tathmini/machapisho yanawataja bob Marley,Senzo,TOSH,bunny wailer nk ila DUBE hayumo why? Hata Forbes hawamtaji katika ma GOAT au legends wa REGGAE sijajua alifeli wapi ktk muziki wake. .NAWASILISHA:
Jarida gani linamtaja Senzo kama nguli wa reggae???
 
Wakuu nawaheshimu sana kwa kuwa kanuni mojawapo ya ubinadamu sahihi ni kuheshimu usiemjua mpaka utakapomjuwa:

Mimi ni miongoni mwao wafuatliaji wa muziki wa aina tofauti duniani, kama POP na SOUL POP pia RNB ambayo ndiyo hupendwa na watu wengi duniani kwa kuwa ina vibe na kutoa passion kwa haraka..Pia nikajikuta nimependa huu muziki wa aina ya tatu wa REGGAE ambapo niwe mkweli nilianza kuupenda kutokana na nyimbo za huyu mwamba, nikajikuta pia nawafuatlia na wengine kama kina PETER TOSH,BUNNY WAILER,dingi mwenyewe BOB MARLEY, nk japo katika kufuatilia na kusoma maandiko miziki waliyoimba hawa waasisi ni REGGAE ya aina tofauti japo ujumbe ni ule ule.

Lakini ukweli huyu mwamba DUBE muziki wake ulisumbua na unasumbua masikio ya wengi Duniani na haswa Afrika,mimi huwa namfananisha na Diamond kibongo kwa kuwa aliiamsha REGGAE na kuimodify,jamaa nyimbo zake ni currently japo hata hao wengine zinaishi LAkini ukifuatilia katika orodha ya wakali na malegends wa REGGAE duniani tathmini hazimtaji huyu jamaa why?,Jamaa alifanya show USA na Amerika kusini kote huko na alijaza watu hata mkifuatlia live concert zake ambapo kwa haraka haraka hakuna mwanareggae kuanzia bob Marley kujaza kumbi kiasi kile then why?

Tathmini/machapisho yanawataja bob Marley,Senzo,TOSH,bunny wailer nk ila DUBE hayumo why? Hata Forbes hawamtaji katika ma GOAT au legends wa REGGAE sijajua alifeli wapi ktk muziki wake. .NAWASILISHA:
Ushuzi mtupu. Muasisi wa nini? Kazi kweli
 
Mwaka 1942 tar 8 Desemba kuna mwamba alizaliwa na kupewa jina la Frederick Nathaniel Hibbert jina maarufu Toots akitoke viunga vya May Pey Jamaica ndio anatambulika kama baba na muasisi wa mziki wa Reggae na ndio mtu wa kwanza kuita muziki wa vionjo alivyokuwa anapiga kuwa ni Reggae, akiwa mtunzi na mwimbaji.

Mwaka 1968 akiwa na bendi yake ya The SKA Toots and Maytals walitoa wimbo "Do The Reggay" huyu mwamba aliwahi kufungwa jela selo namba 54-46 na kutunga wimbo uliovuma sana wa "54-46 that is my number. Baadae bend ya the wailers, wakina Burning Spare, Robert N. Marley (Alizaliwa 1945 Feb 06 na kufariki 11 Mei 1981, Jackson Memorial Hospital, Miami, Florida, Marekani) na wengine wakafuata.
 
Wakuu nawaheshimu sana kwa kuwa kanuni mojawapo ya ubinadamu sahihi ni kuheshimu usiemjua mpaka utakapomjuwa:

Mimi ni miongoni mwao wafuatliaji wa muziki wa aina tofauti duniani, kama POP na SOUL POP pia RNB ambayo ndiyo hupendwa na watu wengi duniani kwa kuwa ina vibe na kutoa passion kwa haraka..Pia nikajikuta nimependa huu muziki wa aina ya tatu wa REGGAE ambapo niwe mkweli nilianza kuupenda kutokana na nyimbo za huyu mwamba, nikajikuta pia nawafuatlia na wengine kama kina PETER TOSH,BUNNY WAILER,dingi mwenyewe BOB MARLEY, nk japo katika kufuatilia na kusoma maandiko miziki waliyoimba hawa waasisi ni REGGAE ya aina tofauti japo ujumbe ni ule ule.

Lakini ukweli huyu mwamba DUBE muziki wake ulisumbua na unasumbua masikio ya wengi Duniani na haswa Afrika,mimi huwa namfananisha na Diamond kibongo kwa kuwa aliiamsha REGGAE na kuimodify,jamaa nyimbo zake ni currently japo hata hao wengine zinaishi LAkini ukifuatilia katika orodha ya wakali na malegends wa REGGAE duniani tathmini hazimtaji huyu jamaa why?,Jamaa alifanya show USA na Amerika kusini kote huko na alijaza watu hata mkifuatlia live concert zake ambapo kwa haraka haraka hakuna mwanareggae kuanzia bob Marley kujaza kumbi kiasi kile then why?

Tathmini/machapisho yanawataja bob Marley,Senzo,TOSH,bunny wailer nk ila DUBE hayumo why? Hata Forbes hawamtaji katika ma GOAT au legends wa REGGAE sijajua alifeli wapi ktk muziki wake. .NAWASILISHA:
Kuasisi ni kuanzisha, na Dube aliikuta Reggae ipo na imeshakita mizizi yake kama muziki kamili, ambao ulitumika kupinga uonevu na dhuluma. Hivyo, hawezi kuwa mwasisi.

Kingine, roots reggae ndiyo uhesabika ndiyo reggae yenyewe, na Dube reggae yake haikuwa sana roots ndiyo maana haimweki katika kapu moja na watu kama akina Burning Wailer au Culture.

Ova
 
Kundi la reggae la Wailers liliundwa mwaka 1963 (Bob Marley, Peter Tosh, Bunny Wailer n.k) na walitoa album yao ya kwanza mwaka 1965 (The Wailing Wailers). Lucky Dube alizaliwa mwaka 1964, maana yake akiwa na mwaka mmoja tu wapo watu tayari walishakuwa na album tayari. Legend - Yes, Pioneer - Definitely, big NO.
I believe Jimmy Cliff ndiyo wa kwanza kuitangaza reggae hata kabla ya hao akina Bob Marley kujulikana.
 
Mm Lucky Dube ndio namuonaga kama mwamba had huwa najiulza mbn BOB MARLEY ndio ana jna zaid!?
Bob anakufa, Dube hajaanza mziki.
Dube ana heshima yake, lakini haifanyi awe Muasisi. Hata Bob sio Muasisi wa Reggae, kabla hajazaliwa reggae IPO. Sema, Bob ndiye aliyeufikisha kila kona ya Dunia mziki.

Bob na Dube hawalinganishiki, ni makosa.
 
Mm Lucky Dube ndio namuonaga kama mwamba had huwa najiulza mbn BOB MARLEY ndio ana jna zaid!?
Ndo yale yale ya kutangulia mkuu,mimi pia namuelewa saaaana mwamba,sema nahisi hapewi maua kisa hakuwa Mjamaica au mwenye asili ya Amerika kusini maana lndustries zimeshikwa na weupe hawa
 
Kundi la reggae la Wailers liliundwa mwaka 1963 (Bob Marley, Peter Tosh, Bunny Wailer n.k) na walitoa album yao ya kwanza mwaka 1965 (The Wailing Wailers). Lucky Dube alizaliwa mwaka 1964, maana yake akiwa na mwaka mmoja tu wapo watu tayari walishakuwa na album tayari. Legend - Yes, Pioneer - Definitely, big NO.
Mkuu unafuatilia sana MUZIKI maelezo mazuri
 
Kwa kifupi LUCKY DUBE hakuwa mpambanaji kupitia reggae, yy alikuwa MWOGA licha ya kushuhudia na kuuishi UKATILI, UNYANYASAJi, DHULMA NA UBAGUZI yy alijikita katika kutousema UKWELI .

Badala yake alitafuta Amani kwa kutaka watu wapatane kama vile HAKI ipo isipokuwa wananchi hawajui ile HAKI inapatikana vp.

Tofauti na MANGULI wengine wa REGGAE MUSIC hawa walijitokeza na kusema ukweli, TABAKA fulani linalinyanyasa tabakq fulani.

Haki hakuna acheni dhulma 'DONT GIVE UP THE FIGHT.'
Kijana nadhani wewe nyimbo unaxozifahamu za dube hazizidi tatu BACK TO MY ROOT,TOGETHER AS ONE na THE WAY IT IS kwa hiyo ungeishia kusoma tu..DUBE kinachofanya musimuelewe baadhi yenu alichana kwa mtindo wa kisasa.ameimba REGGAE katika mifumo tofauti tofauti na akina Marley ambapo yake ilikua sweet reggae ila ujumbe mkali kiasi kwamba hata kifo chake inasemekana kuna watawala walihusika ile ya kusema ni kisasi ni maneno tuu ya watu,aliimba nyimbo za haki,mapenzi na ambapo akina tosh walibez kwenye mtindo na content za aina moja tuu..mimi nina nyimbo hazizidi tatu za luckydube ambazo pengine sijazisikia,kwenye simu yangu nina album 26 zote na nimezichambua tangia wayback hadi anadead.nyinyi mnazijua za juz na popular tuu,jamaa anazo behind kama JAH SAVE US,TRINITY,RASTA MAN PRAYER,KISS NO FROG,USIZI,RESPECT etc.
 
Back
Top Bottom