Kwanini Lucky Dube hatambuliki kama muasisi ama legend wa muziki wa reggae duniani?

Kwanini Lucky Dube hatambuliki kama muasisi ama legend wa muziki wa reggae duniani?

Sasa huo ndio msimamo wa marasi wote,ni amani kwanza mwengine baadae.

Wewe unazijua nyimbo ngapi za huyu mwamba??
Nazijua nyimbo zake nyingi, na ni shabiki yake mkubwa mpaka enzi za ujana wangu niliandika barua kwenda kwake kujitambulisha kama shabiki yake.

Nilijibiwa ile barua na nakumbuka nilitakiwa kutoa kiasi fulani cha fedha ili nipatiwe kadi ya uanachama iliyokuwa na faida mbalimbali za kiburudani ikiwemo kulipa nusu ya kiingilio popote atakapopiga.

MSIMAMO WA MARAS siyo WOGA amani unaitafuta kwa kuusema UKWELI.
 
Wakuu nawaheshimu sana kwa kuwa kanuni mojawapo ya ubinadamu sahihi ni kuheshimu usiemjua mpaka utakapomjuwa:

Mimi ni miongoni mwao wafuatliaji wa muziki wa aina tofauti duniani, kama POP na SOUL POP pia RNB ambayo ndiyo hupendwa na watu wengi duniani kwa kuwa ina vibe na kutoa passion kwa haraka..Pia nikajikuta nimependa huu muziki wa aina ya tatu wa REGGAE ambapo niwe mkweli nilianza kuupenda kutokana na nyimbo za huyu mwamba, nikajikuta pia nawafuatlia na wengine kama kina PETER TOSH,BUNNY WAILER,dingi mwenyewe BOB MARLEY, nk japo katika kufuatilia na kusoma maandiko miziki waliyoimba hawa waasisi ni REGGAE ya aina tofauti japo ujumbe ni ule ule.

Lakini ukweli huyu mwamba DUBE muziki wake ulisumbua na unasumbua masikio ya wengi Duniani na haswa Afrika,mimi huwa namfananisha na Diamond kibongo kwa kuwa aliiamsha REGGAE na kuimodify,jamaa nyimbo zake ni currently japo hata hao wengine zinaishi LAkini ukifuatilia katika orodha ya wakali na malegends wa REGGAE duniani tathmini hazimtaji huyu jamaa why?,Jamaa alifanya show USA na Amerika kusini kote huko na alijaza watu hata mkifuatlia live concert zake ambapo kwa haraka haraka hakuna mwanareggae kuanzia bob Marley kujaza kumbi kiasi kile then why?

Tathmini/machapisho yanawataja bob Marley,Senzo,TOSH,bunny wailer nk ila DUBE hayumo why? Hata Forbes hawamtaji katika ma GOAT au legends wa REGGAE sijajua alifeli wapi ktk muziki wake. .NAWASILISHA:
Bhange ilikuwa nyingi kumzidi Bob.
 
Mtoa mada wanadai eti Lucky Dube alikuwa anaimba Sweet reggae na nyimbo zake ni kama choir, ila Bob Marley and co walikuwa wanaimba Roots reggae, binafsi naona kina Bob watabaki na heshima yao kama waasisi wa reggae ila kwangu Lucky is the best
Hawa jamaa either hawafahamu nyimbo za Lucky Dube au hawazielewi maana yake kutokana na lugha. Kama kuna msiba ulinitesa moyo wangu ukiacha wa baba yangu ni wa Lucky Dube na JPM.
 
Kwa kifupi LUCKY DUBE hakuwa mpambanaji kupitia reggae, yy alikuwa MWOGA licha ya kushuhudia na kuuishi UKATILI, UNYANYASAJi, DHULMA NA UBAGUZI yy alijikita katika kutousema UKWELI .

Badala yake alitafuta Amani kwa kutaka watu wapatane kama vile HAKI ipo isipokuwa wananchi hawajui ile HAKI inapatikana vp.

Tofauti na MANGULI wengine wa REGGAE MUSIC hawa walijitokeza na kusema ukweli, TABAKA fulani linalinyanyasa tabakq fulani.

Haki hakuna acheni dhulma 'DONT GIVE UP THE FIGHT.'
Sio kweli kua DUBE alijikita kutousema ukweli,kasikilize fugitive, victims,guns & roses
 
Prisoner alipiga akimaanisha wapambanaji waliokamatwa na kufungwa jela yaani Dube hakuwa mpambanaji aisee sema Wazulu wanambagua Dube kwa kuwa ni Mzimbabwe..
Umenigusia kidogooo! Sikutambua kama ni Mzimbabwe, ila nilipokuwa kule South kikubwa wapambanaji walikuwa wanamlalamikia kwa kutowaunganisha wananchi kupitia muziki wake ( kujenga ushawishi wa kimapambano)
 
Kijana nadhani wewe nyimbo unaxozifahamu za dube hazizidi tatu BACK TO MY ROOT,TOGETHER AS ONE na THE WAY IT IS kwa hiyo ungeishia kusoma tu..DUBE kinachofanya musimuelewe baadhi yenu alichana kwa mtindo wa kisasa.ameimba REGGAE katika mifumo tofauti tofauti na akina Marley ambapo yake ilikua sweet reggae ila ujumbe mkali kiasi kwamba hata kifo chake inasemekana kuna watawala walihusika ile ya kusema ni kisasi ni maneno tuu ya watu,aliimba nyimbo za haki,mapenzi na ambapo akina tosh walibez kwenye mtindo na content za aina moja tuu..mimi nina nyimbo hazizidi tatu za luckydube ambazo pengine sijazisikia,kwenye simu yangu nina album 26 zote na nimezichambua tangia wayback hadi anadead.nyinyi mnazijua za juz na popular tuu,jamaa anazo behind kama JAH SAVE US,TRINITY,RASTA MAN PRAYER,KISS NO FROG,USIZI,RESPECT etc.
Sipingi mawazo yako!! Unaweza kuandika hapa msukosuko wowote wa kisiasa alioupata kupitia music wake?
 
mie naskiliz sana regae ili uwe muasisi ni kuu introduce kama alivofanya bob marley na weilers thot waliupa hadh ukawq mzik wenye jumbe nying na vtu vya mana labd km ujui vzur lugha ila nyimbo za bob marley zmezama sana kwenye kupnga uonev hasa wa mweupe na mweus yn redemption ikafanya mabeberu waufany uonekan mzik wa kiun ad ub40 wazngu walipoanz kukiamnsha kile cha bob marley na weilers nua regae si mzik wa wahun wala wa watu wenye rasta ila rasta ni culture ndipo ulipopenya europe tukirus kwa dube ana nyimbo nying bas znafanan sn tunz za kawaid thot ana hits nzur km dont cry back to my roots freedom nk lakn mzik si merod ni uwez wko wakutnga vtu vnaogusa jamii ndio unaofany kaz yko ipande mfano 20ac alikuta hiphop ipo kina ice t wanaimba easy e faza mc mc humer ila kwann ye akaw icon cz mashail yke meng tunzi zke znahamasisha utaftaj kujtambua kutia moyo kutetea wanyonge nakuwap hope watu wanaoptia changamot ndioman alipenya kias pk leo uwez katiz uswahln usikut ukuta umeandkwa 2pac au utembee sik nzim usion mtu kavaa tshirt yke au vuruga popit usikut mtu anamjua 2pac lakn waasis kina ice t n.w.a amna anaowajua
 
Reggae ya Dube ilikuwa nzuri sana kwa sababu ilivuma kipindi ambacho vyombo vya electronics vilikuwa vimeboreshwa sana na makampuni ya Japan; ni tofauti na wakati wa reggae za malegend kama Bob Marley, Gregory Issacs, Peter Tosh na wengine waasisi wa ragge wenyewe. Hata Reggae ya UB 40 nayo ilikuwa ni kati ya zilizovuma sana kutokana na matumizi vyombo vya kisasa zaidi
 
Hawa jamaa either hawafahamu nyimbo za Lucky Dube au hawazielewi maana yake kutokana na lugha. Kama kuna msiba ulinitesa moyo wangu ukiacha wa baba yangu ni wa Lucky Dube na JPM.
Pole mkuu,

Yaan msiba WA kambale JPM ulikutesa saana😂😂😂
 
mie naskiliz sana regae ili uwe muasisi ni kuu introduce kama alivofanya bob marley na weilers thot waliupa hadh ukawq mzik wenye jumbe nying na vtu vya mana labd km ujui vzur lugha ila nyimbo za bob marley zmezama sana kwenye kupnga uonev hasa wa mweupe na mweus yn redemption ikafanya mabeberu waufany uonekan mzik wa kiun ad ub40 wazngu walipoanz kukiamnsha kile cha bob marley na weilers nua regae si mzik wa wahun wala wa watu wenye rasta ila rasta ni culture ndipo ulipopenya europe tukirus kwa dube ana nyimbo nying bas znafanan sn tunz za kawaid thot ana hits nzur km dont cry back to my roots freedom nk lakn mzik si merod ni uwez wko wakutnga vtu vnaogusa jamii ndio unaofany kaz yko ipande mfano 20ac alikuta hiphop ipo kina ice t wanaimba easy e faza mc mc humer ila kwann ye akaw icon cz mashail yke meng tunzi zke znahamasisha utaftaj kujtambua kutia moyo kutetea wanyonge nakuwap hope watu wanaoptia changamot ndioman alipenya kias pk leo uwez katiz uswahln usikut ukuta umeandkwa 2pac au utembee sik nzim usion mtu kavaa tshirt yke au vuruga popit usikut mtu anamjua 2pac lakn waasis kina ice t n.w.a amna anaowajua
Sana mkuu
 
mie naskiliz sana regae ili uwe muasisi ni kuu introduce kama alivofanya bob marley na weilers thot waliupa hadh ukawq mzik wenye jumbe nying na vtu vya mana labd km ujui vzur lugha ila nyimbo za bob marley zmezama sana kwenye kupnga uonev hasa wa mweupe na mweus yn redemption ikafanya mabeberu waufany uonekan mzik wa kiun ad ub40 wazngu walipoanz kukiamnsha kile cha bob marley na weilers nua regae si mzik wa wahun wala wa watu wenye rasta ila rasta ni culture ndipo ulipopenya europe tukirus kwa dube ana nyimbo nying bas znafanan sn tunz za kawaid thot ana hits nzur km dont cry back to my roots freedom nk lakn mzik si merod ni uwez wko wakutnga vtu vnaogusa jamii ndio unaofany kaz yko ipande mfano 20ac alikuta hiphop ipo kina ice t wanaimba easy e faza mc mc humer ila kwann ye akaw icon cz mashail yke meng tunzi zke znahamasisha utaftaj kujtambua kutia moyo kutetea wanyonge nakuwap hope watu wanaoptia changamot ndioman alipenya kias pk leo uwez katiz uswahln usikut ukuta umeandkwa 2pac au utembee sik nzim usion mtu kavaa tshirt yke au vuruga popit usikut mtu anamjua 2pac lakn waasis kina ice t n.w.a amna anaowajua
Sana
 
Mie na ma beat pia huchangia sio ujumbe peke yake
Ma beat tena mzee? Sasa kwa lucky Dube na bendi yake me naona ndio walikuwa wana beats kali,tena zile sio beats ila ni vyombo vinagongwa balaa! Kama ile Feel Irie,au Don’t cry!! Umevisikia vyombo vilivyopigwa mule? Au my world? Au my brother my enemy? Bro mfuatilie Dube vizuri!! He was a prophet
 
Ma beat tena mzee? Sasa kwa lucky Dube na bendi yake me naona ndio walikuwa wana beats kali,tena zile sio beats ila ni vyombo vinagongwa balaa! Kama ile Feel Irie,au Don’t cry!! Umevisikia vyombo vilivyopigwa mule? Au my world? Au my brother my enemy? Bro mfuatilie Dube vizuri!! He was a prophet
Kwa mtu kama Bob huyo kwangu bado
 
Back
Top Bottom