Kwanini Lucky Dube hatambuliki kama muasisi ama legend wa muziki wa reggae duniani?

Kwanini Lucky Dube hatambuliki kama muasisi ama legend wa muziki wa reggae duniani?

Unabadilika tena

Mwanzo umesema hakuna anajikita kusema ukweli sasa hivi unasema hakuna mpambanaji tena 😀😀

Anyway,kumbuka DUBE ni msanii na alikua anapambana kupitia mdomo

Hivi unadhani kwanini aliuawa??
Nakufafanulia HAKUWA MPAMBANAJI KUPITIA MUZIKI. Kwa kuwakosoa Makaburu bila woga

" KILL THE FARMER KILL THE BOER"
 
Mm Lucky Dube ndio namuonaga kama mwamba had huwa najiulza mbn BOB MARLEY ndio ana jna zaid!?
Serious mkuu

Au unakuwa haujui kama huu wimbo umeimbwa na bob Marley
Mana kuna rafiki yangu kipindi kile WACKO JACKO amefariki sasa wakawa wanamzungumzia sana

Yeye akawa anasema sion wanachomsifia MICHAEL JACKSON wamempa sifa sana nikamuuliza unazijua nyimbo za MICHAEL JACKSON akaniambia nyimbo zenyewe si ndo kama zile wanacheza makaburini (akimaanisha THRLLER) Nikamuambia OKAY

siku moja akaja Gheto nikamuwekea DON'T STOP TILL YO GET ENOUGH
Nikamuona anaazna kutingisha miguu hukua anapachua VIDOLE gumba na shahada vya mikono mixer anapeleka bichwa mbele nyuma akilitingisha kama anapungwa madogori

Nikamuuliza vipi hiyo nyimbo umeilewa
Akajibu "kitambo sana mwanangu ngoma kali sana hii nailewaga sana"
Nikamuuliza "unajua kaimba nani" akajibu hata sijui
Nikamuambia sasa huyo ndio MICHAEL JACKSON
Akaishia aaaah nikaanza kumuwekea ngoma zake moja baada nyingine tena Video akiwa anavunja balaaa
Basi huyo mwanangu akawa umuambii kitu kuhusu WACK JACKO alikuja kumkubari sana

sasa mkuu pengine unakuwa hujui huu wimbo umeimbwa na BOB ndo mana unasema maneno hayo
 
Serious mkuu

Au unakuwa haujui kama huu wimbo umeimbwa na bob Marley
Mana kuna rafiki yangu kipindi kile WACKO JACKO amefariki sasa wakawa wanamzungumzia sana

Yeye akawa anasema sion wanachomsifia MICHAEL JACKSON wamempa sifa sana nikamuuliza unazijua nyimbo za MICHAEL JACKSON akaniambia nyimbo zenyewe si ndo kama zile wanacheza makaburini (akimaanisha THRLLER) Nikamuambia OKAY

siku moja akaja Gheto nikamuwekea DON'T STOP TILL YO GET ENOUGH
Nikamuona anaazna kutingisha miguu hukua anapachua VIDOLE gumba na shahada vya mikono mixer anapeleka bichwa mbele nyuma akilitingisha kama anapungwa madogori

Nikamuuliza vipi hiyo nyimbo umeilewa
Akajibu "kitambo sana mwanangu ngoma kali sana hii nailewaga sana"
Nikamuuliza "unajua kaimba nani" akajibu hata sijui
Nikamuambia sasa huyo ndio MICHAEL JACKSON
Akaishia aaaah nikaanza kumuwekea ngoma zake moja baada nyingine tena Video akiwa anavunja balaaa
Basi huyo mwanangu akawa umuambii kitu kuhusu WACK JACKO alikuja kumkubari sana

sasa mkuu pengine unakuwa hujui huu wimbo umeimbwa na BOB ndo mana unasema maneno hayo
Labda kweli mm sjui tu nyimbo za Bob Marley ila za Dube nizazo km zote yan bas tu.
 
Muimba kwaya, nona vile vinanda vinawachanganya,

Well, muziki wake una ladha tofauti na nzuri (kwangu mimi). Ni mdau mkubwa sana wa reggae na kwangu Lucky Philip Dube is the best.

Ukiachana na Muasisi Bob, Kuna wengine wengi kama
culture (Joseph Hill)
Gregor Isaacs mzee wa taratiiib
Luciano
Burning spear
Maron usher n.k

Hawa wote wana mziki mzuri sana.
Naelewa mkuu, Dube yupo vizuri na tunazikubali kazi zake.

Ila sasa linapokuja suala na kumuweka mizani moja na Bob, hapo ndo raia tunashindwa kujicotrol.
 
Naelewa mkuu, Dube yupo vizuri na tunazikubali kazi zake.

Ila sasa linapokuja suala na kumuweka mizani moja na Bob, hapo ndo raia tunashindwa kujicotrol.
Bob ataendelea kuwa Bob, kama muasisi wa reggae pamoja na the wailers heshima yake iko palepale mkuu.
 
Wakuu nawaheshimu sana kwa kuwa kanuni mojawapo ya ubinadamu sahihi ni kuheshimu usiemjua mpaka utakapomjuwa:

Mimi ni miongoni mwao wafuatliaji wa muziki wa aina tofauti duniani, kama POP na SOUL POP pia RNB ambayo ndiyo hupendwa na watu wengi duniani kwa kuwa ina vibe na kutoa passion kwa haraka..Pia nikajikuta nimependa huu muziki wa aina ya tatu wa REGGAE ambapo niwe mkweli nilianza kuupenda kutokana na nyimbo za huyu mwamba, nikajikuta pia nawafuatlia na wengine kama kina PETER TOSH,BUNNY WAILER,dingi mwenyewe BOB MARLEY, nk japo katika kufuatilia na kusoma maandiko miziki waliyoimba hawa waasisi ni REGGAE ya aina tofauti japo ujumbe ni ule ule.

Lakini ukweli huyu mwamba DUBE muziki wake ulisumbua na unasumbua masikio ya wengi Duniani na haswa Afrika,mimi huwa namfananisha na Diamond kibongo kwa kuwa aliiamsha REGGAE na kuimodify,jamaa nyimbo zake ni currently japo hata hao wengine zinaishi LAkini ukifuatilia katika orodha ya wakali na malegends wa REGGAE duniani tathmini hazimtaji huyu jamaa why?,Jamaa alifanya show USA na Amerika kusini kote huko na alijaza watu hata mkifuatlia live concert zake ambapo kwa haraka haraka hakuna mwanareggae kuanzia bob Marley kujaza kumbi kiasi kile then why?

Tathmini/machapisho yanawataja bob Marley,Senzo,TOSH,bunny wailer nk ila DUBE hayumo why? Hata Forbes hawamtaji katika ma GOAT au legends wa REGGAE sijajua alifeli wapi ktk muziki wake. .NAWASILISHA:
Muziki wa Reggae ni muziki wa imani,na waanzilishi walikua kina Peter Tosh ambao pia ndo walimkaribisha Bob kwenye kundi, Dube alidandia kwa mbele tu,kwa sababu yeye alikua anapiga zile nyimbo za Paq'anga kule kwao SA....so alipoona Reggae inashika Dunia kwa sababu ya massage zake na yeye ndo akaingia huko,kumbuka kitu cha kuiga mala zote siyo talanta ya mtu,kila mtu ana chake,alifanya vzr kwa sababu tu alipiga muziki unaofurahisha kwa sababu South muziki wao siku zote ni mzuri na wanauweza, ila kwa maana ya muziki wa Reggae hiyo ni kitu from Jamaica na ilibuniwa na watu waliobeba imani ya Rasta,so huwezi kwenda zaidi yao.
 
Wakuu nawaheshimu sana kwa kuwa kanuni mojawapo ya ubinadamu sahihi ni kuheshimu usiemjua mpaka utakapomjuwa:

Mimi ni miongoni mwao wafuatliaji wa muziki wa aina tofauti duniani, kama POP na SOUL POP pia RNB ambayo ndiyo hupendwa na watu wengi duniani kwa kuwa ina vibe na kutoa passion kwa haraka..Pia nikajikuta nimependa huu muziki wa aina ya tatu wa REGGAE ambapo niwe mkweli nilianza kuupenda kutokana na nyimbo za huyu mwamba, nikajikuta pia nawafuatlia na wengine kama kina PETER TOSH,BUNNY WAILER,dingi mwenyewe BOB MARLEY, nk japo katika kufuatilia na kusoma maandiko miziki waliyoimba hawa waasisi ni REGGAE ya aina tofauti japo ujumbe ni ule ule.

Lakini ukweli huyu mwamba DUBE muziki wake ulisumbua na unasumbua masikio ya wengi Duniani na haswa Afrika,mimi huwa namfananisha na Diamond kibongo kwa kuwa aliiamsha REGGAE na kuimodify,jamaa nyimbo zake ni currently japo hata hao wengine zinaishi LAkini ukifuatilia katika orodha ya wakali na malegends wa REGGAE duniani tathmini hazimtaji huyu jamaa why?,Jamaa alifanya show USA na Amerika kusini kote huko na alijaza watu hata mkifuatlia live concert zake ambapo kwa haraka haraka hakuna mwanareggae kuanzia bob Marley kujaza kumbi kiasi kile then why?

Tathmini/machapisho yanawataja bob Marley,Senzo,TOSH,bunny wailer nk ila DUBE hayumo why? Hata Forbes hawamtaji katika ma GOAT au legends wa REGGAE sijajua alifeli wapi ktk muziki wake. .NAWASILISHA:
Lucky Dube sio muanzilishi wa reggae wala sio legend.
 
Kwa kifupi LUCKY DUBE hakuwa mpambanaji kupitia reggae, yy alikuwa MWOGA licha ya kushuhudia na kuuishi UKATILI, UNYANYASAJi, DHULMA NA UBAGUZI yy alijikita katika kutousema UKWELI .

Badala yake alitafuta Amani kwa kutaka watu wapatane kama vile HAKI ipo isipokuwa wananchi hawajui ile HAKI inapatikana vp.

Tofauti na MANGULI wengine wa REGGAE MUSIC hawa walijitokeza na kusema ukweli, TABAKA fulani linalinyanyasa tabakq fulani.

Haki hakuna acheni dhulma 'DONT GIVE UP THE FIGHT.'
Unaujua wimbo wa rastas Neve die?
Unaujua wimbo wa house of exile?
Unaujua wimbo wa the way it is?
Hufuatilii reggae.
 
Back
Top Bottom