Kwanini Maaskofu wa Katoliki wanahubiri neno la Mungu kwa upole tofauti na wenzao wa madhehebu mengine?

Kwanini Maaskofu wa Katoliki wanahubiri neno la Mungu kwa upole tofauti na wenzao wa madhehebu mengine?

Maustaadh/Masheikh Wengi Wakihubiri Wanahubiri Kwa Tone Ya Juu Sana (Wanafoka)

Wachungaji Wengi Wakihubiri Wanahubiri Kwa Tone Ya Juu (Wanafoka)

Mapadre/Maaskofu (Catholic) Wengi Wakihubiri Wanahubiri Kwa Tone Ya Chini Na Ya Upole Sana.

Tafakari…
wengine si ni wapigaji........lazima utoe vitisho, mbwembwe etc etc
 
Kitu nachopenda kuhusu Ukatoliki kwenye mahubiri huwezi kuta wanazungumzia watu wa dini au dhehebu nyingine. Japo ndio dhehebu linaongoza kushambuliwa na madhehebu mengine ila huwezi kuta wanajibu mapigo. Wanahubiri zaidi upendo na kutenda yaliyo mema.

Mapungufu yapo sikatai ila najivunia kuwa mkatoliki.
 
wengine sijui, lakin waislam huwa wanahubir kwa tone ya juu kama wanaongelea mabaya au jehanamu, lakini wanapohubir habari za Peponi na mazuri huhubir kwa tone ya chini na ya unyenyekevu

ni mafundisho
 
Maustaadh/Masheikh Wengi Wakihubiri Wanahubiri Kwa Tone Ya Juu Sana (Wanafoka)

Wachungaji Wengi Wakihubiri Wanahubiri Kwa Tone Ya Juu (Wanafoka)

Mapadre/Maaskofu (Catholic) Wengi Wakihubiri Wanahubiri Kwa Tone Ya Chini Na Ya Upole Sana.

Tafakari…
Makelele na kufoka foka ni Upagani. Na ata ile kukemea Pepo zaidi ya mara kumi wanavyofanya Walokole ni upagani. Yesu amefundisha Kukema mara moja tu basi. Tunasoma kwenye Bibilia mara zote Yesu alipoponya au kufufuwa watu alisema mara moja tu. Na Aliwaambia Wafuasi wake -(

Mt 6:7 SUV​

Nanyi mkiwa katika kusali, msipayuke-payuke, kama watu wa mataifa; maana wao hudhani ya kuwa watasikiwa kwa sababu ya maneno yao kuwa mengi.) Hivyo Kusali au kuomba inashauria tusali bila mawenge tuwe wapole na watulivu Mungu yupo kwenye Ukimya na Mungu anaongea Mara moja tu arudii rudii na ata Watoto wake tunatakiwa kutoomba kama wanavyofanya walokole.
Mungu alipotamka Amri Kumi na kumpa Musa zikiwa zimeandikwa kwenye Mawe mawili (Tablets) alipoona Wana Israel wana abudu Ngombe wa Dhahabu alizidondosha zile mawe zilizoandikwa Amri 10. Mungu alimwambia Musa aziunge unge awape wana Israel akuchonga zingine tena.

Musa alipo piga mwamba utoe maji alipopiga mara ya pili Mungu alichikia na maji yakawa machungu. Mfano hii Video Ni Ushirikina Pro Max - Akuna Mungu wa aina hii - Huu ni Uganga kama ule wa Matunguli na Matalasimu
 

Attachments

  • Imani Potofu.mp4
    958.7 KB
Hawahitaji kuwa charismatic(hili neno sijui naliwekaje kwa kiswahili) kwasababu pesa ipo, ipo usharikani na waumini wapo, ile sio biashara.

Sasa hawa wenzetu wanafanya vile na siku hizi wanarusha hadi mitandaoni, kama marketing, wazidi kuvuta watu wakawapatie hela.
 
Ni mfumo wao waliojiwekea kutoka kwa watungulizi wao hao rc ,haya makanisa mengine ni yakiprotestant msingi wake mkubwa kupingana na mafundisho potofu ya Roman Catholic ambayo ni unbiblical, ni Sawa na useme kwanini chadema viongozi wao wanakuwa wakali wakihutubia halaiki na ccm wanaongea kwa upole ,ukitumia akili yako majibu utayapata.
 
Maustaadh/Masheikh Wengi Wakihubiri Wanahubiri Kwa Tone Ya Juu Sana (Wanafoka)

Wachungaji Wengi Wakihubiri Wanahubiri Kwa Tone Ya Juu (Wanafoka)

Mapadre/Maaskofu (Catholic) Wengi Wakihubiri Wanahubiri Kwa Tone Ya Chini Na Ya Upole Sana.

Tafakari…
Elimu.
Huwezi kuwa kasisi wa Katoliki pasipo kupiga kitabu. Huwezi kuwa msomi halafu ukapayuka. Hao wengine ni kinyume na nilichokieleza.
 
Elimu.
Huwezi kuwa kasisi wa Katoliki pasipo kupiga kitabu. Huwezi kuwa msomi halafu ukapayuka. Hao wengine ni kinyume na nilichokieleza.
😄😄😄.. nakubaliana na wewe, Kama kichwani elimu hamna lazima utafoka ili watu wakuelewe.


Akili kijiko...... Nguvu gunia 🤒🤒
 
Makelele na kufoka foka ni Upagani. Na ata ile kukemea Pepo zaidi ya mara kumi wanavyofanya Walokole ni upagani. Yesu amefundisha Kukema mara moja tu basi. Tunasoma kwenye Bibilia mara zote Yesu alipoponya au kufufuwa watu alisema mara moja tu. Na Aliwaambia Wafuasi wake -(

Mt 6:7 SUV​

Nanyi mkiwa katika kusali, msipayuke-payuke, kama watu wa mataifa; maana wao hudhani ya kuwa watasikiwa kwa sababu ya maneno yao kuwa mengi.) Hivyo Kusali au kuomba inashauria tusali bila mawenge tuwe wapole na watulivu Mungu yupo kwenye Ukimya na Mungu anaongea Mara moja tu arudii rudii na ata Watoto wake tunatakiwa kutoomba kama wanavyofanya walokole.
Mungu alipotamka Amri Kumi na kumpa Musa zikiwa zimeandikwa kwenye Mawe mawili (Tablets) alipoona Wana Israel wana abudu Ngombe wa Dhahabu alizidondosha zile mawe zilizoandikwa Amri 10. Mungu alimwambia Musa aziunge unge awape wana Israel akuchonga zingine tena.

Musa alipo piga mwamba utoe maji alipopiga mara ya pili Mungu alichikia na maji yakawa machungu. Mfano hii Video Ni Ushirikina Pro Max - Akuna Mungu wa aina hii - Huu ni Uganga kama ule wa Matunguli na Matalasimu
Pepo toka
 
Back
Top Bottom