Kwanini mabasi ya mikoani 'yalazimishwe' kuingia kila stendi?

Kwanini mabasi ya mikoani 'yalazimishwe' kuingia kila stendi?

Petro E. Mselewa

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2012
Posts
10,307
Reaction score
25,932
Nayazungumzia mabasi ya mikoani yanayoanzia Dar es Salaam kupitia barabara ya Morogoro au ile ya Bagamoyo. Yamekuwa na kawaida ya kuingia na kutoka kwenye kila stendi ya mabasi waikutayo ikiwa hata kama hakuna abiria anayeshuka au kupanda. Kiukweli, kuingia na kutoka kwenye stendi hizi (kwa mabasi ya mikoa ya mbali), husababisha muda kuisha na kuchelewesha abiria kufika waendako.

Kwa mfano, mabasi yaendayo Songea hufika Stendi Kuu iliyopo Shuleyatanga kuanzia saa tatu usiku hadi saa tano usiku badala ya saa moja au mbili usiku kutokana na ingia-toka hiyo niliyoizungumzia. Basi hilo huingia na kutoka Mailimoja/Kibaha, Chalinze, Msamvu/Moro, Ilembula/Iringa, Makambako/Njombe na Njombe Stendi Kuu kabla ya kufika. Yapo mabasi yanayoingia na kutoka kwenye stendi nyingi zaidi ya hizo.

Kwanini hasa mabasi haya ya mikoani 'yalazimishwe' kuingia na kutoka kwenye kila stendi ya mabasi hata kama hayana hitaji la kufanya hivyo?
 
1. Ukaguzi wa uzima wa gari na uzingatiaji wa ratiba ya muda wa kutembea. Kila stend kuna muda bus linatakiwa kufika.
2. Kuepusha ushushaji na upakiaji holela mjini.
3. Nafasi ya trafiki kuuliza na kuongea na abiria kuhusu mwenendo wa safari.
4. Mapato kupitia ushuru.
 
Kukusanya hela tu Ukiona bus inaingia na kutoka stand ujue mlangoni inaacha pesa, bado huko barabaran traffic wanacheza nao ukipigwa tochi unaacha pesa, bado TRA wanacheza nao,bado kwenye mizani ukizidi kidogo ni pesa.

Kwa kifupi ukiona mwanaume kaweka bus barabarani muheshim sana kaz ya mabus ni ngumu balaa, ukinunua bus jipya leo la 400M atakaeanza kula hela ya gari yako ni ajent wa stand na konda
Bado Unakutana na abiria kapanda gar limeharibika dikaka 30 tu anaanza kukutangazia kuwa magari yako yote ni mabovu

Yote 9 siku likiharibika unaachwa nalo mwenyewe ulirekebishe lirud barabaran watu wengine wale kiulaini, kuna mtu huko barabaran akiona bus lako linapita tu yeye anaona ni pesa imempita full kusakamwa
 
Bora umenena busara mkuu wengine malalamiko tu yaani hawaoni jambo zuri. Kila kitu kwao kibaya
1. Ukaguzi wa uzima wa gari na uzingatiaji wa ratiba ya muda wa kutembea. Kila stend kuna muda bus linatakiwa kufika.
2. Kuepusha ushushaji na upakiaji holela mjini.
3. Nafasi ya trafiki kuongea na abiria kuhusu mwenendo wa safari.
4. Mapato kupitia ushuru.
 
Nayazungumzia mabasi ya mikoani yanayoanzia Dar es Salaam kupitia barabara ya Morogoro au ile ya Bagamoyo. Yamekuwa na kawaiada ya kuingia na kutoka kwenye kila stendi ya mabasi waikutayo ikiwa hata kama hakuna abiria anayeshuka au kupanda. Kiukweli, kuingia na kutoka kwenye stendi hizi (kwa mabasi ya mikoa ya mbali), husababisha muda kuisha na kuchelewesha abiria kufika waendako.

Kwa mfano, mabasi yaendayo Songea hufika Stendi Kuu iliyopo Shuleyatanga kuanzia saa tatu usiku hadi saa tano usiku badala ya saa moja au mbili usiku kutokana na ingia-toka hiyo niliyoizungumzia. Basi hilo huingia na kutoka Mailimoja/Kibaha, Chalinze, Msamvu/Moro, Ilembula/Iringa, Makambako/Njombe na Njombe Stendi Kuu kabla ya kufika. Yapo mabasi yanayoingia na kutoka kwenye stendi nyingi zaidi ya hizo.

Kwanini hasa mabasi haya ya mikoani 'yalazimishwe' kuingia na kutoka kwenye kila stendi ya mabasi hata kama hayana hitaji la kufanya hivyo?
Hivi tumepotea wapi kama nchi?hizi stendi nyingi ni uchafu tu na zipo nje ya miji why?Dar to Songea (nchi wakati ina heshima na adabu)Kiswele Bus ilikua inatambaa kwa 11hrs, hata Kamata ya zamani kupitia Lukumburu pass ya zamani lilitumia muda mfupi zaidi, but anyway sisi ndio tunaopiga kura,hizi stendi zote ni ufisadi tu, roadworthy ya mabus inafanyika traffic 🏬 sio kwenye stendi.
 
Huu ni utaratibu unaokera kwa kweli, bus inatoka Mtwara inaenda Dar itapakia Mingoyo na Lindi Mjini baada ya hapo haipakii na haishushi abiria kwa nini iwe lazima kila wilaya itakayopita kuingia stand, kama kuna abiria anashushwa hapo sawa vinginevyo nauona ni usumbufu na ubabaishaji kama ni ukaguzi traffic police barabarani wa nini?
 
Nayazungumzia mabasi ya mikoani yanayoanzia Dar es Salaam kupitia barabara ya Morogoro au ile ya Bagamoyo. Yamekuwa na kawaida ya kuingia na kutoka kwenye kila stendi ya mabasi waikutayo ikiwa hata kama hakuna abiria anayeshuka au kupanda. Kiukweli, kuingia na kutoka kwenye stendi hizi (kwa mabasi ya mikoa ya mbali), husababisha muda kuisha na kuchelewesha abiria kufika waendako.

Kwa mfano, mabasi yaendayo Songea hufika Stendi Kuu iliyopo Shuleyatanga kuanzia saa tatu usiku hadi saa tano usiku badala ya saa moja au mbili usiku kutokana na ingia-toka hiyo niliyoizungumzia. Basi hilo huingia na kutoka Mailimoja/Kibaha, Chalinze, Msamvu/Moro, Ilembula/Iringa, Makambako/Njombe na Njombe Stendi Kuu kabla ya kufika. Yapo mabasi yanayoingia na kutoka kwenye stendi nyingi zaidi ya hizo.

Kwanini hasa mabasi haya ya mikoani 'yalazimishwe' kuingia na kutoka kwenye kila stendi ya mabasi hata kama hayana hitaji la kufanya hivyo?
Tunao wenye vichwa vya panzi. Usishangae. Yani hata wakoloni walikuwa na basi na treni za 'malaya' na 'Express'.
 
1. Ukaguzi wa uzima wa gari na uzingatiaji wa ratiba ya muda wa kutembea. Kila stend kuna muda bus linatakiwa kufika.
2. Kuepusha ushushaji na upakiaji holela mjini.
3. Nafasi ya trafiki kuuliza na kuongea na abiria kuhusu mwenendo wa safari.
4. Mapato kupitia ushuru.
Hii no 3 iringa kiboko yao.

Kama ni mradi unaongoza kwa mapato TRA kagueni hapa.
 
Hivi tumepotea wapi kama nchi?hizi stendi nyingi ni uchafu tu na zipo nje ya miji why?Dar to Songea (nchi wakati ina heshima na adabu)Kiswele Bus ilikua inatambaa kwa 11hrs, hata Kamata ya zamani kupitia Lukumburu pass ya zamani lilitumia muda mfupi zaidi, but anyway sisi ndio tunaopiga kura,hizi stendi zote ni ufisadi tu, roadworthy ya mabus inafanyika traffic 🏬 sio kwenye stendi.
KAMATA ilikuwa inatumia muda gani? Nakumbuka kipindi chake hakukua na lami.
 
1. Ukaguzi wa uzima wa gari na uzingatiaji wa ratiba ya muda wa kutembea. Kila stend kuna muda bus linatakiwa kufika.
2. Kuepusha ushushaji na upakiaji holela mjini.
3. Nafasi ya trafiki kuuliza na kuongea na abiria kuhusu mwenendo wa safari.
4. Mapato kupitia ushuru.
Hayo yote yanaweza kufanywa check point kama kuna uhitaji.
 
Ni ili kukusanya mapato ikiingia ikitoka inalipa
Kwa nini walipishwe hayo mapato wakati hawakuwa na mtu anayeshuka au kupanda? Mfano unapanda SAULI ya Mbeya na imejaza siti zote, tena abiria wanashuka Mbeya, je ni kwa nini bus ilazimishwe kuingia stend za KIBAHA, Chalinze, Msamvu na nyinginezo??
 
Bora umenena busara mkuu wengine malalamiko tu yaani hawaoni jambo zuri. Kila kitu kwao kibaya
Hakuna logic yoyote hapo, bus ilipie tuu pale inapotumia stend kwa maana ya kuingia stend kupakia na kushusha abiria, huduma za chakula na Choo... Sasa bus inatoka Mbezi imeshajaa full eti unailazimisha iingie KIBAHA stend ili walipe ushuru kweli??
 
Back
Top Bottom