Zile ni stand za halmashauri husika ni vyanzo vya mapato kwa halmashauri hizoKwa nini walipishwe hayo mapato wakati hawakuwa na mtu anayeshuka au kupanda? Mfano unapanda SAULI ya Mbeya na imejaza siti zote, tena abiria wanashuka Mbeya, je ni kwa nini bus ilazimishwe kuingia stend za KIBAHA, Chalinze, Msamvu na nyinginezo??
Kwa sababu huwezi kujua saa ngapi atakuja abiria was kwenda wapi,,lazima wananchi wawe na uhakika was kusafiri au lah gari zote zitakua haziingii stand wanapakia barabaraniTena zingine ni vichochoro na siyo stendi, mfano Hungumalwa na Busega kule Mwanza.
Wawe wabunifu kutafuta vyanzo vya mapato na sio kuleta usumbufuZile ni stand za halmashauri husika ni vyanzo vya mapato kwa halmashauri hizo
Kwa nini walipishwe hayo mapato wakati hawakuwa na mtu anayeshuka au kupanda? Mfano unapanda SAULI ya Mbeya na imejaza siti zote, tena abiria wanashuka Mbeya, je ni kwa nini bus ilazimishwe kuingia stend za KIBAHA, Chalinze, Msamvu na nyinginezo??
Gari za mikoa nauli zake fixed na hawafanyi kama daladala kusimama kila mara na kupakia wanavituo maalum vya kuchukua abiria vikiisha hizo stand wanapitia kutimiza wajibu tuKwa sababu huwezi kujua saa ngapi atakuja abiria was kwenda wapi,,lazima wananchi wawe na uhakika was kusafiri au lah gari zote zitakua haziingii stand wanapakia barabarani
Hoja za msingi.1. Ukaguzi wa uzima wa gari na uzingatiaji wa ratiba ya muda wa kutembea. Kila stend kuna muda bus linatakiwa kufika.
2. Kuepusha ushushaji na upakiaji holela mjini.
3. Nafasi ya trafiki kuuliza na kuongea na abiria kuhusu mwenendo wa safari.
4. Mapato kupitia ushuru.
Kwakweli inakera! Unatoka mbeya,iringa unaenda Arusha kupitia Dodoma kwa mfano,basi lazima lipite stand jmn ile ya naneane barabara ya kutokea dar,jmn kwnn? Yaani mzunguko usio na maana kabisa!Huu ni utaratibu unaokera kwa kweli, bus inatoka Mtwara inaenda Dar itapakia Mingoyo na Lindi Mjini baada ya hapo haipakii na haishushi abiria kwa nini iwe lazima kila wilaya itakayopita kuingia stand, kama kuna abiria anashushwa hapo sawa vinginevyo nauona ni usumbufu na ubabaishaji kama ni ukaguzi traffic police barabarani wa nini?
Yakifanyika check point tutakuwa tumeokoa nini mkuu?Hayo yote yanaweza kufanywa check point kama kuna uhitaji.
Hakuna anayepinga Halmashauri kukusanya mapato, tunachosema yawe mapato halali kwa huduma yenye uhalisia.. Kumbuka hizi stendi na mabarabara yanajengwa kwa kodi pia tunazolipaZile ni stand za halmashauri husika ni vyanzo vya mapato kwa halmashauri hizo
Ni ili kukusanya mapato ikiingia ikitoka inalipa
Ili kulipa ushuru wa stand
1. Ukaguzi wa uzima wa gari na uzingatiaji wa ratiba ya muda wa kutembea. Kila stend kuna muda bus linatakiwa kufika.
2. Kuepusha ushushaji na upakiaji holela mjini.
3. Nafasi ya trafiki kuuliza na kuongea na abiria kuhusu mwenendo wa safari.
4. Mapato kupitia ushuru.
Wanaopinga wana hoja na tunaoona umuhimu wa stand tuna hoja.
Wanaopinga wana hoja na tunaoona umuhimu wa stand tuna hoja.
Nchi ngumu hii
Kuna mstendi wa igumbilo ukitoka mbeya kwenda Dom lazima upite kule ndio upandishe iringa mjini samoraKwakweli inakera! Unatoka mbeya,iringa unaenda Arusha kupitia Dodoma kwa mfano,basi lazima lipite stand jmn ile ya naneane barabara ya kutokea dar,jmn kwnn? Yaani mzunguko usio na maana kabisa!
Sent using Jamii Forums mobile app
... stendi za halmashauri focus iwe kuhudumia magari yanayotoa huduma ndani ya halmashauri husika na sio kulazimisha long safari's kuingia ili wakusanye mapato? Nchi hii tunapenda sana kuvuna bila kupanda!Zile ni stand za halmashauri husika ni vyanzo vya mapato kwa halmashauri hizo