Kwanini machangudoa, makahaba, mashoga na malaya hawatajiriki kwa biashara ya kuuza mwili?

Kwanini machangudoa, makahaba, mashoga na malaya hawatajiriki kwa biashara ya kuuza mwili?

Hawa wenzetu wanaouza miili yao usiku na mchana mbona hawatajiriki?
Mkuu wapo wengi tu waliotajirika kwa kufanya ukahaba.

Wapo wadada wanaishi kama malkia kwenye mijengo yao ya nguvu na magari ya kifahari. .

Ukikosea ukaomba huduma halafu uakaenda kulala kwake bili yake ni milioni kadhaa kwa usiku mmoja
 
Naona makahaba wa siku hz ndo hawatajiriki,ila wa zamani wengi tu wametoboa wapo na mijengo na biashara zao za mabar na majumba
Naona makahaba wa siku hz ndo hawatajiriki,ila wa zamani wengi tu wametoboa wapo na mijengo na biashara zao za mabar na majumba
Mbunye uoshee maji ya upako unadhani unavuta biashara kumbe ndio unajiwekea malaana yasiyo na idadi
 
Hata majambazi wanaotajirika ni wachache sana sio kama hii mnayo ikuza na hata wale wanaopata utajiri bado maisha yao yanakuwa hawana ile amani ya moyo kwani kuna roho za watu alizo ziondoa zinadai haki mbele za Mungu.
Hawa majambazi walio ndani ya serikali ya CCM ni yupi ambaye sio tajiri?
 
Tungemtajia majina sema itakua udhalilishaji kwa hao watu,
Tatizo lake mleta mada sio mtoto wa mjini anawaangalia hao wananchi wenzake wa Uyole anadhani life limeishia hapo tu[emoji23]
Akinikomalia nitamtajia 😂🤣
 
Kusudi kubwa la kufanya biashara yoyote ni kuridhisha mahitaji ya mteja. Mteja anaporidhika ndipo unapata nafasi ya kuuuza zaidi na zaidi.

Matajiri wengi wakubwa kwa wadogo ni wafanyabiashara. Hawa wenzetu wanaouza miili yao usiku na mchana mbona hawatajiriki?

Au kazi yao ni ya laana hela zote zinaishia kujiremba na kufanya starehe?
Nani amekuambia?Nikutajie majina ya malaya matajiri?
 
Mfano kuna mama mmoja kwenye mtaa nilipo niliowahi kukaa ana nyumba tatu ,mbili kapangisha na moja anakaa yeye mwenyewe. Yule bi mkubwa ni enzi zake alikuwa malaya na hata ukimtizama unajua ujana wake alisumbua. Ila ukikaa nae akili yake kidogo haipo vizuri, yaani ugomvi kidogo yanafumuka matusi, wapangaji wake na hawana amani.

Pili anahonga sana vijana wadogo na wakimwacha anafanya fujo mpaka kwa mademu zao yaani kama dish limeyumba.
Huwezi kuwa sawa kiakili kwa kuingiliwa na mtu tofauti kila siku. It's totally inhumane, na ili ukubali kuishi hivyo lazima nati zifyatuke kwanza.
 
Wapo matajiri hasa wale waliowapata Wazungu na matajiri. Wengine wanatamba kuwa wanafuata wenye pesa ili wapate pesa, sio mlala hoi wa kukuachia UTI.
 
Kusudi kubwa la kufanya biashara yoyote ni kuridhisha mahitaji ya mteja. Mteja anaporidhika ndipo unapata nafasi ya kuuuza zaidi na zaidi.

Matajiri wengi wakubwa kwa wadogo ni wafanyabiashara. Hawa wenzetu wanaouza miili yao usiku na mchana mbona hawatajiriki?

Au kazi yao ni ya laana hela zote zinaishia kujiremba na kufanya starehe?
Wanakopwa sana
 
Hata majambazi wanaotajirika ni wachache sana sio kama hii mnayo ikuza na hata wale wanaopata utajiri bado maisha yao yanakuwa hawana ile amani ya moyo kwani kuna roho za watu alizo ziondoa zinadai haki mbele za Mungu.
Upo sahihi mkuu. Ukanikumbusha mangi mmoja tajiri pale Sinza nyakati hizo. Alipata utajiri kwa ujambazi akaacha. Alikuwa na hotel na guests kadhaa. Jamaa zake ambao bado walikuwa wanaendelea kujikimu kwa ujambazi wakampa mchongo. Kuna gari la kokakola litapita limebeba fedha nyingi sana. Jamaa akaingia tamaa akaungana na jamaa zake. Hamadi gari la kokakola hili hapa. Wakaanza kujibizana risasi na askari. Askari polisi ni askari tu. Risasi ikampitia akafariki kabla ya kufikishwa Muhimbili. Jina lake na quests zake pale Sinza kapuni.
 
Mfano kuna mama mmoja kwenye mtaa nilipo niliowahi kukaa ana nyumba tatu ,mbili kapangisha na moja anakaa yeye mwenyewe. Yule bi mkubwa ni enzi zake alikuwa malaya na hata ukimtizama unajua ujana wake alisumbua. Ila ukikaa nae akili yake kidogo haipo vizuri, yaani ugomvi kidogo yanafumuka matusi, wapangaji wake na hawana amani.

Pili anahonga sana vijana wadogo na wakimwacha anafanya fujo mpaka kwa mademu zao yaani kama dish limeyumba.
Kwa hiyo ni tajiri?
 
Kumbe kwenye hiyo avatar ndiyo bujibuji? You look too mshamba
Umeingizwa cha kike. Huyo dogo anaonekana yuko kwenye early 20s profile ya Bujibuji inaonekana yuko mjengoni tangu 2009 miaka 12 nyuma. Sasa umri wa huyo dogo toa 12, inamaana alijiunga JF akiwa na miaka mingapi?
 
Tungemtajia majina sema itakua udhalilishaji kwa hao watu,
Tatizo lake mleta mada sio mtoto wa mjini anawaangalia hao wananchi wenzake wa Uyole anadhani life limeishia hapo tu[emoji23]
Dah[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom