Kwanini machangudoa, makahaba, mashoga na malaya hawatajiriki kwa biashara ya kuuza mwili?

Kwanini machangudoa, makahaba, mashoga na malaya hawatajiriki kwa biashara ya kuuza mwili?

Unacho sema ni wanao fanya izo ukienda kwenye mageto yao aisee n wakawaida hawnaa maendeleo unajiuliza pesa wanapeleka wapi kila sku kusifia wanaingiza pesa nyingi labda wanajenga makwao
 
Wametoboa wengi sana wengine wapo njee yanchi
Wengine wanabiashara kubwa wengine mmh ngoja mii niishie hapa.
 
Unauliza swali au unahukumu? Kwani ungepungukiwa na nini ungetunia majina yenye stara? Kila anaefanya biashara anatajirika? Hakuna wanaofilisika na hajuna wanaoishia kupata pesa ya kujikimu tu? Acha ushabiki andika vitu vitakavyoisaidia jamii.
 
Kusudi kubwa la kufanya biashara yoyote ni kuridhisha mahitaji ya mteja. Mteja anaporidhika ndipo unapata nafasi ya kuuuza zaidi na zaidi.

Matajiri wengi wakubwa kwa wadogo ni wafanyabiashara. Hawa wenzetu wanaouza miili yao usiku na mchana mbona hawatajiriki?

Au kazi yao ni ya laana hela zote zinaishia kujiremba na kufanya starehe?
Kamuulize wema sepetu
 
Kusudi kubwa la kufanya biashara yoyote ni kuridhisha mahitaji ya mteja. Mteja anaporidhika ndipo unapata nafasi ya kuuuza zaidi na zaidi.

Matajiri wengi wakubwa kwa wadogo ni wafanyabiashara. Hawa wenzetu wanaouza miili yao usiku na mchana mbona hawatajiriki?

Au kazi yao ni ya laana hela zote zinaishia kujiremba na kufanya starehe?
Sababu kupata hela sio kigezo cha utajiri. Kuna watu wanalipwa mshahara mkubwa na sio matajiri. Ni kitu kile kile.
Ili kuwa tajiri inabidi uwe na ujuzi wa kutunza pesa, na kuzalisha pesa kutoka kwenye pesa ulizozalisha. Wengi hawana huo ujuzi.
 
Maisha yetu yanaanziankwenye ulimwengu wa roho kisha mwilini.
Sa pesa unayoipata inategemea kiroho ni safi,ina baraka,halali au lah!

Kuna mambo yanatokea kwemye ulimwengu wa roho katika hiyo kazi ambayo anaifanya yeye hayaoni,hayo ndo kikwazo.
Huwezi kuwa safi mwilini kama umejijazia matakataka rohoni.huwezi fanikiwa kwa lolote katika ulimwengu wa mwili kama huna baraka ulimwengu wa rohoni.
si kweli. unazani matajiri wote wamepata pesa kwa njia za halali?tuanze na daimond kwanza kuna kitu kimejificha kwenye mziki wake kupitia hayo mambo fikiria hata akiimba matusi na bado watu watapenda mziki wake kuliko ww utakaeimba nyimbo za kuelimisha.
 
Nawaombea wanangu wakue katika njia nyoofu ....em msikilize wimbo huu YESU WEWE WAWEZA by ASHLEY NASSARY....Kaimba kweli huyu kijana.
 
Ile biashara watakuhitaji ukiwa wa moto, umri ukienda mwili nao unaanza kukongoloka, K nayo haitamaniki imechakazwa unaweza sema imepigwa na bomu. Baada ya hapo ndipo anapoanza kutoa nyuma tena watu wanachakaza. Then anakuwa hana kitu cha kuofa, kuna vitoto vingine vinachipukia wateja wanakuwa hawana time nae.

Still bado yale maisha ya kupewa na zile luxury bado wanazipenda na ndipo unaporudi na kutumia hata akiba yake ili amantain status kumbe ndio anajimaliza baada ya hapo anaanza kukumbuka kuna kuolewa na kwenda kuwasumbua wachungaji wamuombee mixer kushinda makanisani na wanaume kila anayegusa anajua hapa hamna kitu anajikataa. Still bado kuna vinyongo/vilio kibao vya wake za watu ambao amewaharibia nyumba zao, ndoa zao vyote vipo juu yake.
Wangesoma malaya wote hapa.
 
Nimefuatilia huu uzi nimebaki kushangaa , mtu anasema wapo makahaba matajiri afu anasema eti kuna kahaba kajenga nyumba anaishi vizuri

Nawasihi nendeni mkasome who is called a rich person
Kuwa na nyumba si utajiri huo maana kama huo ndiyo utajiri basi Tz si nchi maskini kabisa
 
Back
Top Bottom