Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,219
- 4,608
Mwika, Rombo Green View na Delux wote wazee wa kaziUpo sahihi mkuu. Ukanikumbusha mangi mmoja tajiri pale Sinza nyakati hizo. Alipata utajiri kwa ujambazi akaacha. Alikuwa na hotel na guests kadhaa. Jamaa zake ambao bado walikuwa wanaendelea kujikimu kwa ujambazi wakampa mchongo. Kuna gari la kokakola litapita limebeba fedha nyingi sana. Jamaa akaingia tamaa akaungana na jamaa zake. Hamadi gari la kokakola hili hapa. Wakaanza kujibizana risasi na askari. Askari polisi ni askari tu. Risasi ikampitia akafariki kabla ya kufikishwa Muhimbili. Jina lake na quests zake pale Sinza kapuni.
Kwani kwako utajiri unaanza na kiasi gani au tajiri anatakiwa awe na kiasi gani?Kwa hiyo ni tajiri?
Wanapata hela nyingi kirahisi na pia matumizi yao ni makubwa mno sababu ana uhakika wa kupata hela.Kusudi kubwa la kufanya biashara yoyote ni kuridhisha mahitaji ya mteja. Mteja anaporidhika ndipo unapata nafasi ya kuuuza zaidi na zaidi.
Matajiri wengi wakubwa kwa wadogo ni wafanyabiashara. Hawa wenzetu wanaouza miili yao usiku na mchana mbona hawatajiriki?
Au kazi yao ni ya laana hela zote zinaishia kujiremba na kufanya starehe?
Discussion overPicha imemaliza kila kitu..View attachment 2511506
Hah hah hahWanapata hela nyingi kirahisi na pia matumizi yao ni makubwa mno sababu ana uhakika wa kupata hela.
Kingine tofauti yao na wafanyabiashara wengine hawawezi expand biashara zao wanamatundu mawili au moja na bahati mbaya hawawezi highway kua na matawi sehemu mbalimbali kutoa huduma hata biashara ikikua.
Kwanini wanakopesha? Kwani wakikopesha wanapata hasara kubwa kiasi gani? Wakigawa bure inakuwaje?Wanakopwa sana
Buku?Wanauza buku buku hata nguo za mtumba zinauzwa bei juu kuliko hizo nanihii zao
Thank youwengi hawana akili za uwekezaji zaidi ya utumiaji
Unahesabu tu mali za mwenzako, wewe una nini?Kwani kwako utajiri unaanza na kiasi gani au tajiri anatakiwa awe na kiasi gani?
Kumiliki nyumba tatu Tabata si swala dogo ana nyumba moja ambayo ndani yake ina apartment nne kila moja laki tatu,kuna frame za maduka 5 kila moja laki,vyumba vya kupangisha 8 kila qkimoja elfu 50.Nyumba yake ya pili ina vyumba 10 kodi elfu 50 haya piga hesabu kwa mwezi anakunja shilingi ngapi.
Tumtajie Basi boby risk wa naija kwakuwa yupo mbali na bongo.Tungemtajia majina sema itakua udhalilishaji kwa hao watu,
Tatizo lake mleta mada sio mtoto wa mjini anawaangalia hao wananchi wenzake wa Uyole anadhani life limeishia hapo tu[emoji23]
Watafute uwaulize hayo maswaliKwanini wanakopesha? Kwani wakikopesha wanapata hasara kubwa kiasi gani? Wakigawa bure inakuwaje?
Ulivyoanza tu nikajua unataka kusema nini🤣🤣Nyokoo,Yaani mungu akupe viungo bure,wewe ugeuze kuwa mtego wa kuingiza pesa halafu utajirike....
Kwani wewe kichwa chako cha habari kimezungumzia nini?Unahesabu tu mali za mwenzako, wewe una nini?
Dolce and Gabbana-Wanamitindo maarufu na tajiri dunianiTumtajie Basi boby risk wa naija kwakuwa yupo mbali na bongo.