Kwanini machangudoa, makahaba, mashoga na malaya hawatajiriki kwa biashara ya kuuza mwili?

Una uhakika unacho kinena?
 
Tungemtajia majina sema itakua udhalilishaji kwa hao watu,
Tatizo lake mleta mada sio mtoto wa mjini anawaangalia hao wananchi wenzake wa Uyole anadhani life limeishia hapo tu[emoji23]
Wataje tu,kwn shida nini?
 
Tungemtajia majina sema itakua udhalilishaji kwa hao watu,
Tatizo lake mleta mada sio mtoto wa mjini anawaangalia hao wananchi wenzake wa Uyole anadhani life limeishia hapo tu[emoji23]
[emoji23][emoji23] sasa Uyole umepatajaje
 
Dolce and Gabbana-Wanamitindo maarufu na tajiri duniani

Tim Cook- CEO wa Apple

Elton John - Mwanamuziki maarufu na tajiri duniani

Elen Degeneres - Tv Talk Show Host maarufu na tajiri duniani

Tuendelee ama tusiendeleeeeeeeee
dada lesbobo Mbona unataja mashoga na wasagaji wa mbele huko? Hujachanganya mada kweli we ladies and gentlemen?
 
Kuna dada anajiuza sinza namjua ana nyumba mbili Goba, duka la nguo barabara ya sam nujom ana bajaji kama tatu hivi na anamsomesha mdogo wake yupo chuo hapo Utumishi
 
Dolce and Gabbana-Wanamitindo maarufu na tajiri duniani

Tim Cook- CEO wa Apple

Elton John - Mwanamuziki maarufu na tajiri duniani

Elen Degeneres - Tv Talk Show Host maarufu na tajiri duniani

Tuendelee ama tusiendeleeeeeeeee
D&G kumbe ni Magasho?
 
Kuna mashogaaa ni matajiri haswaaa, inategemea mtu na mtu. Lol
 
dada lesbobo Mbona unataja mashoga na wasagaji wa mbele huko? Hujachanganya mada kweli we ladies and gentlemen?
Hao wa Mbele hawajifichi wapo wazi, hapa kwetu kumtaja mtu shoga wakati yeye hajajisema ni kosa kisheria.
 
Hapa Tz kujiuza sio Kazi nimetembea na malaya including Walper lakini utajiri hawana .

Labda Kupata hela ya kujikimu na kujenga lakini utajiri wa maana uo haupo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…