Shangazi Mwajuma?Kuna Rahabu kwenye bible yule aliyewaficha wapelelezi ,alikua tajiri kupitia ukahaba na alitegemewa hadi na familia yake akiwemo baba yake mzazi [emoji848] ,nimeona nisikupeleke mbali sana [emoji23][emoji23]kwa hii mishangazi ya mjini inayojiuza kwa $ ...anashuka kwenye Vx yake kaliii anaingia 5star hotel kutoa huduma alaf anapita hivi [emoji23].
Subiri wajomba wanaofahamu hii mishangazi wakupe muongozo
Kweli kabisa aisee. Pesa ni liquid asset matajiri tu ndio wanaweza kuifanya izae zaidi na zaidiTofautisha kat ya kupata pesa na kutajirika
Unaweza kupata pesa nyingi na usitajirike
Utajiri Ni mifumo, utajir una njia zake mkuu
Wote ni malaya. Changudoa anajiuza barabarani malaya anaweza akauzia hata kanisaniChangudoa,kahaba,malaya..naomba kujua tofauti yao kwanza[emoji144]
Yes, mimi ni miongoni mwa Mashoga wa mwanzo kabisa hapa JF,Halafu wewe si ni miongoni mwa mashoga wa mwanzo kabisa hapa JF? Siku hizi umekuwa kimya sana aise. Au mesha mpa Yesu maisha yako, umeokoka na kuepukana na ushoga?
Ooooh kumbe bas sawaah!!!Ndiyo point yangu ,hata bakhresa alianza kuuza karanga lakini hauwezi kusema kuuza karanga ndio iliyomtajirisha,dayamondi alianza kuuza mitumba na kuokota makopo lakini si huko alipopatia pesa.
Hata hao mashoga kama ni matajiri sio ushoga ndio uliowapa utajiri.
Elfu moja, mbili mpaka 3 inategemea na mteja anatakaje[emoji1787][emoji1787][emoji1787] yani unachagua kama kifurushi cha simu! Yani kama unataka muda wa maongezi tu, ama maongezi na sms, au sms tu, au internet, au vyote kwa pamoja!Buku?
Denda bei gani?Elfu moja, mbili mpaka 3 inategemea na mteja anatakaje[emoji1787][emoji1787][emoji1787] yani unachagua kama kifurushi cha simu! Yani kama unataka muda wa maongezi tu, ama maongezi na sms, au sms tu, au internet, au vyote kwa pamoja!
Changudoa na kahaba hawa wanauza, malaya ni wote anaeuza, anaenunua na anaetoa bureChangudoa,kahaba,malaya..naomba kujua tofauti yao kwanza[emoji144]
Hivi kwanini mashoga mnaona fahari kujitangaza? Mkifanya kinyakimya mnapungukiwa nini?Yes, mimi ni miongoni mwa Mashoga wa mwanzo kabisa hapa JF,
Thank you kwa kunimiss, hapana sijampa Yesu Maisha yangu bado napambana mwenyewe ndio maana niko hai.....🤗
Haya turudi kwako sasa, UTAJIRI ni nini?
Huyo sio muuzaji kPapuchi haiuzwi kama nguo au cement au juice za Mo.
mbona wataugua mapema au kuchoka. Wengi wana kipato kizuri ili utajiri huja kwa wale wanaowekeza kwenye biashara wapo wengi tu.
Ila tusifikiri eti papuchi wanauza mara 30 au 40 kwa siku never.
Too much ni mara 4 tu kwa siku. Kwa waopokea 20- infinity money, the more the money the more wanapunguza round za sex.
Alafu sio kila siku wanaliwa. Mara moja moja.
Na Kwa hali ni lazima ufe maskini tuIle biashara watakuhitaji ukiwa wa moto, umri ukienda mwili nao unaanza kukongoloka, K nayo haitamaniki imechakazwa unaweza sema imepigwa na bomu. Baada ya hapo ndipo anapoanza kutoa nyuma tena watu wanachakaza. Then anakuwa hana kitu cha kuofa, kuna vitoto vingine vinachipukia wateja wanakuwa hawana time nae.
Still bado yale maisha ya kupewa na zile luxury bado wanazipenda na ndipo unaporudi na kutumia hata akiba yake ili amantain status kumbe ndio anajimaliza baada ya hapo anaanza kukumbuka kuna kuolewa na kuanza kwenda kuwasumbua wachungaji wamuombee mixer kushinda makanisani na wanaume kila anayegusa anajua hapa hamna kitu anajikataa. Still bado kuna vinyongo/vilio kibao vya wake za watu ambao amewaharibia nyumba zao, ndoa zao vyote vipo juu yake.
Ujumbe muruaPicha imemaliza kila kitu..View attachment 2511506
Acha tu.Siku nikikamata mmoja lazima abebe mimba.Hivi kwanini mashoga mnaona fahari kujitangaza? Mkifanya kinyakimya mnapungukiwa nini?
Ndio utajua wabongo wengi ni mafukara, waking mtu ana gari wanaamini ni tajiriNimefuatilia huu uzi nimebaki kushangaa , mtu anasema wapo makahaba matajiri afu anasema eti kuna kahaba kajenga nyumba anaishi vizuri
Nawasihi nendeni mkasome who is called a rich person
Kuwa na nyumba si utajiri huo maana kama huo ndiyo utajiri basi Tz si nchi maskini kabisa