Kwanini Mademu wengi wakali ninao wafahamu hawaijui JF?

Ambao bado hawajajiunga sio watu makini maana humu Luna watu makini wengi isipokuwa Yesuz 2 na ID zake nyingne
 
Tangazo la kwamba unafahamiana na ma star
 
Mimi wananiuliza, mbona nimepotea FB ninawajibu Niko JF, wanashangaa.
Kwa bahati mbaya Instagram sipo kabisa.

Sasa Fb nikafanye nini wakati Jf napata kila kitu.
Sitoki hapa
Waiter niongezee Maji bariidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
La kufunguka bila woga humu jf uko sahihi
 
Watu Wenye akili timamu ndio tupo humu

Humu mapicha picha sio mahala pake

Watoto wadgo ndio wapo ista na fb



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio wao tu, mimi kitaani nimewahi uliza watu kadhaa madukani na wanywa kahawa, ktk watu karibu 50 ni mmoja tu ndo aliniambia anaifahamu jf ingawa hana account!
Jf bado sana kujulikana, alafu kingine kinafanya watu wa humu wadhani jf inakulikana ni inakuta mtu mmoja ana id karibu tano! Ana id za kila jukwaa!!
 
Jf sio popular kwakweli, sijui kwanini, hata ninapofanyia kazi nikizungumzia jf hawanielewi.

Ila mkuu mbona kama umetutupia dongo sie tulofanana na babu zetu!!

Nasikiaga et humu kuna wanaume wenye id na avatar za kike wala hakuna mademu


Sent using Jamii Forums mobile app
Duh!!

Vichwa ndio tupo huku, sura na shepu utazipata fb na instagram

Tutake Radhi kwa hiyo sisi tuna sura ngumu???

Sent using Jamii Forums mobile app
Nasikiaga et humu kuna wanaume wenye id na avatar za kike wala hakuna mademu


Sent using Jamii Forums mobile app

Yamekukuta nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo avatar ndo demu wako huyo??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…