Kwanini madereva wa mabasi ya mikoa wanasimamisha gari za abiria hotel za bei mbaya?

Kwanini madereva wa mabasi ya mikoa wanasimamisha gari za abiria hotel za bei mbaya?

Kiume3000

Senior Member
Joined
May 17, 2021
Posts
180
Reaction score
218
Serikali yetu hembu tusaidieni sisi wanyonge na hii tabia ya madereva inazidi shamiri sna kwa wale ndugu zetu wanao safiri mikoa ya mbali
#Dar_to_mwnza,
#Dar_to_mbya,
#Dar_to_kgma,
#Dar_to_Arusha
kuna tabia na utaratibu wa mabasi walio jiwekea bila kuhofia abiria wao na sio rafiki kabisa wanapaki mabasi yao sehemu ya chakula bei zao ziko juu bila kujali abiria wao mifukoni mwao kuko vp, chakula cha kawaida sna unakuta elfu 7 elfu 8 na kuendelea wakati hicho chakula hakina hadhi ya kuuzwa bei hiyo alafu kidogo sana, hvi wanadhani kila mtu anapesa ya kununulia hicho chakula, jana nilikuwa natoka Arusha kuja dar tulipo fika sehem ya chakula nilitamani kulia niliongozana na mom mmoja mwenye watt wa 3 alivyo ambiwa chakula cha bei ya mwisho ni elfu 7 alikuwa mnyonge sana na alikuwa na elfu 5 tu ikambidi anunue soda na biscuit roho iliniuma sana, sasa ombi langu kwa serikali itoe sheria kwa mabasi yote yawe yana simama kwenye mji ulio na huduma kwa abiria wote sio kutupeleka maeneo ambayo wana masilahi nayo, inaumiza sana tusambaze hii kwa ma group mengi tusikike tusiwe wajinga,

kwa tetesi nilizo sikia dereva akipeleka basi sehem ya hotel, yeye binafsi anapata huduma ya chakula bure pia na watumish wake wote wanapata chakula bure na posho wanapewa kwa week au mwezi sasa iweje masilahi yao yatutese sisi abiria?

Tupaze sauti kwa viongozi #Wabunge na viongozi wote wa juu kuwa hii ni 2021
🙏🙏

Nimekopi sehemu hii meseji ngeni hawa watu wanania gani
 
Hata mim nishanunua wali maharage 8000 ,kahama ,kidogo nigome kulipa asieee .....

Nilikuwa natoka kgma -dsm
 
Kwa sisi wahenga tulikuwa tukisafiri wakati huo tuko wadogo mama alikuwa anahakikisha anapika mandazi ya kutosha na nyama za kukaanga au kuku wa kukaanga na dumu la maji

Najua wengi hawapendi kusafiri na chakula lakini unakuwa umepunguza sana kadhia hizi na usikute vyakula vingine hapo vimelala

Kwenye huu uzi alioleta huyo mama alikuwa na watoto watatu kweli alishindwa kuwatengenezea hata vitafunio

Isitoshe wakati mwingine wengi hupata food poisoning kwa vyakula vya njiani
Kweli sio haki wanavyofanya hizo hotel lakini ndio biashara yao na ndio faida wanapopatia

Kwa sasa mimi kama niko peke yangu nanunua Korosho na juice zangu zinanitosha kabisa kwa safari
 
Umelazimishwa kula? Kama mfuko hauko vizuri usile chakula.
watu wanaojitambuwa wanachukua chakula kutoka kwao Au wananunua chakula kabla ya safari kuanza unanunua korosho,soda nk Gari likisimama unakula chakula chako.
 
Hili suala mwisho wa siku linaangukia kwa maamuzi ya mtu binafsi
Kampuni nyingi sasa hv zina sehemu zao za kulisha abiria kwahiyo lazima ziingie
Kwahio chagua bus ambalo sehemu yake ya huduma ya chakula ni nafuu
 
Kula sio lazima.

Wenye magari wanajitoa kwenye hatia, huwa hawatangazi uende kula.... bali 'kuchimba dawa' dakika 10.
 
Serikali yetu hembu tusaidieni sisi wanyonge na hii tabia ya madereva inazidi shamiri sna kwa wale ndugu zetu wanao safiri mikoa ya mbali
#Dar_to_mwnza,
#Dar_to_mbya,
#Dar_to_kgma,
#Dar_to_Arusha
kuna tabia na utaratibu wa mabasi walio jiwekea bila kuhofia abiria wao na sio rafiki kabisa wanapaki mabasi yao sehemu ya chakula bei zao ziko juu bila kujali abiria wao mifukoni mwao kuko vp, chakula cha kawaida sna unakuta elfu 7 elfu 8 na kuendelea wakati hicho chakula hakina hadhi ya kuuzwa bei hiyo alafu kidogo sana, hvi wanadhani kila mtu anapesa ya kununulia hicho chakula, jana nilikuwa natoka Arusha kuja dar tulipo fika sehem ya chakula nilitamani kulia niliongozana na mom mmoja mwenye watt wa 3 alivyo ambiwa chakula cha bei ya mwisho ni elfu 7 alikuwa mnyonge sana na alikuwa na elfu 5 tu ikambidi anunue soda na biscuit roho iliniuma sana, sasa ombi langu kwa serikali itoe sheria kwa mabasi yote yawe yana simama kwenye mji ulio na huduma kwa abiria wote sio kutupeleka maeneo ambayo wana masilahi nayo, inaumiza sana tusambaze hii kwa ma group mengi tusikike tusiwe wajinga,

kwa tetesi nilizo sikia dereva akipeleka basi sehem ya hotel, yeye binafsi anapata huduma ya chakula bure pia na watumish wake wote wanapata chakula bure na posho wanapewa kwa week au mwezi sasa iweje masilahi yao yatutese sisi abiria?

Tupaze sauti kwa viongozi #Wabunge na viongozi wote wa juu kuwa hii ni 2021
🙏🙏

Nimekopi sehemu hii meseji ngeni hawa watu wanania gani

Mkuu wanakula bure na pia wanagewa ganji (commision) wakipeleka wateja.
 
Kwanza hizo siyo hotel za bei mbaya,ni za kawaida kabisa,tatizo zimejengwa polini na huko halina mihahawa mingine,vyakula Cha 1,500/unalazimika kuninua kwa 5,000/ hadi 7,000/ .
 
Serikali yetu hembu tusaidieni sisi wanyonge na hii tabia ya madereva inazidi shamiri sna kwa wale ndugu zetu wanao safiri mikoa ya mbali
#Dar_to_mwnza,
#Dar_to_mbya,
#Dar_to_kgma,
#Dar_to_Arusha
kuna tabia na utaratibu wa mabasi walio jiwekea bila kuhofia abiria wao na sio rafiki kabisa wanapaki mabasi yao sehemu ya chakula bei zao ziko juu bila kujali abiria wao mifukoni mwao kuko vp, chakula cha kawaida sna unakuta elfu 7 elfu 8 na kuendelea wakati hicho chakula hakina hadhi ya kuuzwa bei hiyo alafu kidogo sana, hvi wanadhani kila mtu anapesa ya kununulia hicho chakula, jana nilikuwa natoka Arusha kuja dar tulipo fika sehem ya chakula nilitamani kulia niliongozana na mom mmoja mwenye watt wa 3 alivyo ambiwa chakula cha bei ya mwisho ni elfu 7 alikuwa mnyonge sana na alikuwa na elfu 5 tu ikambidi anunue soda na biscuit roho iliniuma sana, sasa ombi langu kwa serikali itoe sheria kwa mabasi yote yawe yana simama kwenye mji ulio na huduma kwa abiria wote sio kutupeleka maeneo ambayo wana masilahi nayo, inaumiza sana tusambaze hii kwa ma group mengi tusikike tusiwe wajinga,

kwa tetesi nilizo sikia dereva akipeleka basi sehem ya hotel, yeye binafsi anapata huduma ya chakula bure pia na watumish wake wote wanapata chakula bure na posho wanapewa kwa week au mwezi sasa iweje masilahi yao yatutese sisi abiria?

Tupaze sauti kwa viongozi #Wabunge na viongozi wote wa juu kuwa hii ni 2021
🙏🙏

Nimekopi sehemu hii meseji ngeni hawa watu wanania gani
Kuna posho wanapata kwenye izo hotel kwa kuwapelekea abiria
 
Mimi nikifika sehemu ya kula hua naagiza chai ya rangi na mandazi mawili au chapati 1 nakunywa hapohapo sibebi kitu. 1000 - 1500 inatosha na mchana unapita.
 
Back
Top Bottom