That Gentleman
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 2,215
- 3,678
Nakazia mkuu, Gari huwa inaongea haswaa, so ni kazi kwako kusikiliza na kuijali...Hata siwaelewi kitu gani fundi anaweza kushindwa kutengeneza kwenye hizo Nissan zilizopo mnazosema ni mpya...Maana Nissan nyingi ni ngumu kidogo au ninyi ndio mnachelewa kutengeneza gari ikihitaji matengenezo haraka maana gari huwa inaongea inapokua na tatizo kwa mtu wa magari hata Kama sio fundi utajua unaanzia wapi...
Umeandika points ila Happ mwishoni umeandika Kama Katibu Mwenezi. Toyota Gari ya kimaskini, wajanja wamehamia Fordnikushauri, kama hiyo gari ni la petroli, na ni automatic, na unalitumia mkoa wenye joto la wastani, achana na thermostat. maana with or without thermostat joto litapanda tu hadi kufikia optimum (magari mengi naona temp. gauge huwa ni katikati ya cool na hot). muhimu hakikisha coolant ipo.
baada ya hayo, niseme "Toyota All The Way".
Mfano wa fundi wa chini ya miti/std 7 ndio kama huyu sasa.nikushauri, kama hiyo gari ni la petroli, na ni automatic, na unalitumia mkoa wenye joto la wastani, achana na thermostat. maana with or without thermostat joto litapanda tu hadi kufikia optimum (magari mengi naona temp. gauge huwa ni katikati ya cool na hot). muhimu hakikisha coolant ipo.
baada ya hayo, niseme "Toyota All The Way".
Heh!! Thermostat ina kazi zake nyingi tu, endapo akiitoa lazima kutakuwa na changes kwenye ulaji wa mafuta.nikushauri, kama hiyo gari ni la petroli, na ni automatic, na unalitumia mkoa wenye joto la wastani, achana na thermostat. maana with or without thermostat joto litapanda tu hadi kufikia optimum (magari mengi naona temp. gauge huwa ni katikati ya cool na hot). muhimu hakikisha coolant ipo.
baada ya hayo, niseme "Toyota All The Way".
Labda wajanja wa kijiji cha wavuvi kiitwacho Dar.Umeandika points ila Happ mwishoni umeandika Kama Katibu Mwenezi. Toyota Gari ya kimaskini, wajanja wamehamia Ford
Siyo wavivu mkuu,imagine mtu ameishia darasa la saba halafu hajawahi kwenda VETA wala chuo chochote kile cha ufundi ni amejifunzia tu garage za mitaani huko halafu anakuja kukutana na magari ya siku hizi ambayo ni computerized, mambo ya decoding of codes!😁😁😁
🤣🤣🤣Msukuma, kibajaji na wale wenzao watakupinga kwa nguvu zao zote.
Kuna garage moja huku kijijini kwetu, gari ikija tu wanamsahuri mwenye atoe thermostat, yakwamba zilitengenezwa special kwa nchi zenye baridi tu... [emoji3][emoji3]Mfano wa fundi wa chini ya miti/std 7 ndio kama huyu sasa.
Yap upo sahihi kabisa Mkuu ni wachache wanajua code za gari ikishaongea mimi watu wangu wa karibu nilipokua nawaambia hivi walikua hawanielewi kabisa sasa nao wamejua lugha ya gari tunaenda sawa...na pia kununua magari yaliofunguliwa funguliwa mwanzo utashindwa kwenda nayo sawa...Nakazia mkuu, Gari huwa inaongea haswaa, so ni kazi kwako kusikiliza na kuijali...
Yaani unakuta mtu anasikia kuna abnormal sound halafu anaipotezea kumbe hapo hajui kuwa anazidi kuharibu parts za chuma yake...
Nashukuru sana kwa ushauri mkuunikushauri, kama hiyo gari ni la petroli, na ni automatic, na unalitumia mkoa wenye joto la wastani, achana na thermostat. maana with or without thermostat joto litapanda tu hadi kufikia optimum (magari mengi naona temp. gauge huwa ni katikati ya cool na hot). muhimu hakikisha coolant ipo.
baada ya hayo, niseme "Toyota All The Way".
unamuingiza chaka mwenzio , thermostat sio ya kuitoa hata kama unaishi jangwaninikushauri, kama hiyo gari ni la petroli, na ni automatic, na unalitumia mkoa wenye joto la wastani, achana na thermostat. maana with or without thermostat joto litapanda tu hadi kufikia optimum (magari mengi naona temp. gauge huwa ni katikati ya cool na hot). muhimu hakikisha coolant ipo.
baada ya hayo, niseme "Toyota All The Way".
Kagari kangu nilipokatoa tu bandarini mwaka huooo,jamaa akaja akaniambia Mwaga oil uwekeSAE 40 ndiyo za nchi za joto..Kuna garage moja huku kijijini kwetu, gari ikija tu wanamsahuri mwenye atoe thermostat, yakwamba zilitengenezwa special kwa nchi zenye baridi tu... [emoji3][emoji3]
Na kuna ule ujinga wa kuunga direct fan, yaani ukiwasha tu ngoma inaanza kupiga kazi et ni njia bora ya kuzuia engine isichemke... [emoji3]
Walimfungia maza mmoja hiyo kitu, motor ya fani ikawa ni kuungua tu akibadili tu, kinachofuata ni fan kukata blade zake....
Ufundi nyudo kazi kweli kweli...
mafundi wengi hawazipatii nazani, maana nna ndugu yangu ana xtrail huu mwaka wa sita na haijawah msumbua, ila ndugu mwingine kataka kununua xtrail juzi juzi fundi kampiga mkwara ooh "hizo hazifai zinasumbua sana ndo maana watu wanaziuza bei rahisi" hadi jamaa kaogopaHabari wadau,hivi ni kwanini magari aina ya Nissan matengenezo na marekebisho yake yanasumbua mafundi wengi?pia ni gharama kubwa kurekebisha ukilinganisha na Toyota
ni kweli ina kazi nyingi, ila kwa utashi wangu naona kama kitu kikikosekana na maisha yanaenda basi hicho kitu sio lazima kiwepo.Heh!! Thermostat ina kazi zake nyingi tu, endapo akiitoa lazima kutakuwa na changes kwenye ulaji wa mafuta.
za kuambiwa achanganye na zake. jamaa najua anajua.unamuingiza chaka mwenzio , thermostat sio ya kuitoa hata kama unaishi jangwani
mnapigwa parefu sana na service mnazofanya kwenye dealerships (stealerships). I pity you.Mfano wa fundi wa chini ya miti/std 7 ndio kama huyu sasa.
Nishawahi tumia xtrail. Mnyonge haiwezi, itamfia.Ipo ya 2015 na 2018 sio ya wanyonge hiyo Mkuu sema iliyopo hapa ni hii...hiyo ya 2018 ni ya kibabe kidogo...
Mafundi wengi ni wa zamani hiv.Nisani nyingi zina umeme zaidi,so mafundi wale wenye miguvuguvu tu na siyo akili ukiwapelekea Nisan waniua kabisaHabari wadau,hivi ni kwanini magari aina ya Nissan matengenezo na marekebisho yake yanasumbua mafundi wengi?pia ni gharama kubwa kurekebisha ukilinganisha na Toyota