JABALI LA KARNE
JF-Expert Member
- Apr 19, 2021
- 3,093
- 5,850
Nissan hazitaki testa na vipande vya waya vya kupimia umeme.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndugu, ungejua!Umeandika points ila Happ mwishoni umeandika Kama Katibu Mwenezi. Toyota Gari ya kimaskini, wajanja wamehamia Ford
Ni nini kinakufa mkuu mimi ndio hapo nataka kujua...Nishawahi tumia xtrail. Mnyonge haiwezi, itamfia.
Sensors ikifa angalia na mashine yenye updated software, nunua sensor original, gari isiwe ya mikono mingi, oil service kwa wakati, hakikisha haichemshi, zingatia coolant engine inapinda block kirahisi ila zinauzwa cheap.Ni nini kinakufa mkuu mimi ndio hapo nataka kujua...
Lakini walioweka thermostat walifanya research ya kutosha. Ndiyo maana hata magari yatokayo UAE, pamoja na joto la kule, bado yanakuwa na thermostat.nikushauri, kama hiyo gari ni la petroli, na ni automatic, na unalitumia mkoa wenye joto la wastani, achana na thermostat. maana with or without thermostat joto litapanda tu hadi kufikia optimum (magari mengi naona temp. gauge huwa ni katikati ya cool na hot). muhimu hakikisha coolant ipo.
baada ya hayo, niseme "Toyota All The Way".
Ok hii kanuni ni kwa gari zote Mkuu ndio nilitaka kujua hii Nissan ina utofauti upi na magari mengine maana kama Nissan ya kawaida tuu tunalia jee Rover au Benz hizi za kisasa tutaziweza kweli...Sensors ikifa angalia na mashine yenye updated software, nunua sensor original, gari isiwe ya mikono mingi, oil service kwa wakati, hakikisha haichemshi, zingatia coolant engine inapinda block kirahisi ila zinauzwa cheap.
Nissan haitakusumbua sana ukifata hizo kanuni. Toyota mfano rav 4 old hata usipofat hizo kanuni inavumilia,ukifata kanuni inaishi milele ndo watu wanazilinganisha hapo. Rover,BM na Benz hutaziweza kama nissan unalia lia kuihudumia.Ok hii kanuni ni kwa gari zote Mkuu ndio nilitaka kujua hii Nissan ina utofauti upi na magari mengine maana kama Nissan ya kawaida tuu tunalia jee Rover au Benz hizi za kisasa tutaziweza kweli...
Mkuu mimi nilikua nauliza kujua hayo magari yanawasumbua nini zaidi ila sipo kwenye hayo sasa hivi nishatoka huko kitambo kidogo...Nissan haitakusumbua sana ukifata hizo kanuni. Toyota mfano rav 4 old hata usipofat hizo kanuni inavumilia,ukifata kanuni inaishi milele ndo watu wanazilinganisha hapo. Rover,BM na Benz hutaziweza kama nissan unalia lia kuihudumia.
Ok, jibu ni hayasumbui kama ulinunua mpya na unalilea vizuri.Mkuu mimi nilikua nauliza kujua hayo magari yanawasumbua nini zaidi ila sipo kwenye hayo sasa hivi nishatoka huko kitambo kidogo...
Kuna jamaa gari ilizingua kina Fundi Maiko wakamnunulisha pump na makolokolo ya karibia 700k na haikupona.Shida mafundi wetu wanapiga ramli, gari ni kama binadamu lazima diagnosis ifanyike. Unaweza kununulishwa vifaa na gari isipone
Mafundi wetu bado saana..
Juzi mwezi Februari gari lilileta shida..
Radiator fan ilikuwa ikifunguka, haizimi na inazunguka kwa kasi isiyo ya kawaida..
Injini ikawa inapandisha joto..
Nikafanya diagnosis hapakuonekana code yoyote..
Wapiga ramli hao wakasema swichi ya fan ya radiator ndiyo imekufa...Wakaja mafundi kama watatu wakasema swichi imekufa hivyo ikihisi joto la injini inafungua fan na inashindwa kuzima..
Niakanunua Swichi nyingine, tatizo likawa pale pale...
Nikawaambia huenda thermostat imekufa, wabisha sana wakasema havina uhusiano..
Nikarudi home, nikawasha gari tena nikaacha lipate moto, fan ikawaka, nikashika hose inayotoa maji kwenye inji kuja kweny radiator, ilikuwa ya moto sana kiasi cha kutokushikika..
Hose ya chini inayotoa maji kwenye radiator kwenda kwenye injini ni ya baridi kabisa...Kati ya hose ya chini na injini, ndipo thermostat ya gari langu ilipo....Nikagundua thermostat imekufa kwa mtindo unaoitwa Stuck closed...hivyo maji ya radiaotor hayaingii kwenye injini..
Yale yaliyopo kwenye injini yanachemka sana na ile swichi (sensor) ya kufanya fan iwake , ikawa haizimi kwa sababu maji ya ndani ya inji hayapungu joto.
Nikatoa thermalsta mwenyewe, nikaitest kwa kuichensha jikoni, inafunguka kwa shida sana na kuwa wakati haifunguki..
Baada ya kuitoa tatizo likaisha, joto la injini likipanda fan inawaka na likishuka inazima kama kawaida.
Kwa sasa nataka ninunue thermostat mpya niweke.
Mafundi wetu hawa, mmh...
Binafsi nimeamua kuwa fundi wa gari langu mwenyewe...
Mafundi huwa nawapelekea zile sehemu za kimakanika zaidi, mfano bearing, shockup nk
Sijawahi kuona mtu ananunua mpya gari Tanzania zaidi ya serikali la 2018 tuu tunatafutana ndio iwe mpya mazee yaani 2021...Ok, jibu ni hayasumbui kama ulinunua mpya na unalilea vizuri.
Wapo wanunuzi.Sijawahi kuona mtu ananunua mpya gari Tanzania zaidi ya serikali la 2018 tuu tunatafutana ndio iwe mpya mazee yaani 2021...
Wachache mno mkuu wote tunaendesha magari Tanzania...Wapo wanunuzi.
Wachache ina maana wapo Isanga. Inawezekana si wewe au mtu unayemfahamu.Wachache mno mkuu wote tunaendesha magari Tanzania...