Kwanini magari aina ya Nissan yanasumbua mafundi kwenye matengenezo?

Nashukuru sana kwa ushauri mkuu

Binafsi nitapenda kuirudishia ila lazima iwe genuine...
Japo sina haraka sana..

Itoshe tu kusema "Nissan all the way."[emoji3][emoji119][emoji119][emoji3]
Natafuta fundi mzuri wa Nissan, nina Nissan Cube, 2007, gear hazichenji, reverse poa, kwenda mbele poa, ila gear hazibadiliki, ni kama naenda na gia namba moja tu, na pia wakati wa kuweka gia, gari inakuwa kama inastuka hivi, saidieni ushauri wote tafadhali...
 
True
 
Hebu acha uongo. Hakuna kifaa unakiona kwenye gari kisiwe na kazi yake na ukakitoa gari ikawa haina mushkeli katika kuitumia.

Wewe sema haujui kazi ya kitu ulichotoa sio useme hakina kazi.
umeamua tu kubisha kimhemko. kwa sisi serious offroaders makorokoro kibao yanaondolewa (mfano, ukifanya SAS). parts zinazokuja na gari haziwezi himili mikiki, hivyo kuondoa uwezekano wa kulala porini unaiondoa moja kwa moja. na gari haiwi na "mushkeli". yaani ndo performance yake inaongezeka.
 
Vipi umewahi kubadili oil ya gear box..?
Kama ndiyo, uliweka oil ya aina gani..? tuanzie hapo kwanza
 
Hapo mkuu nakushauri nenda veta kapige short course ya Auto electrical,mechanical utakuwa fundi mzuri na pia utakuwa na ujuzi utakaokunufaisha uko baadae
 
Bora tu niseme nasumbuliwa na Suzuki fundi aliigusa injection kumbe tatizo ilikuwa plug zile niliweka haziendani from there rpm inakuwa inaelekea 0 , missing etc fundi mzuri wapi
 
Habari. Naomba namba za mtu anayefanya diagnosis ya nissan boss. Mimi 0717575635
 
Bora tu niseme nasumbuliwa na Suzuki fundi aliigusa injection kumbe tatizo ilikuwa plug zile niliweka haziendani from there rpm inakuwa inaelekea 0 , missing etc fundi mzuri wapi
Mcheki jamaa yuko Mwenge 0717595019
 
Miongozo imenisaidia kwa kweli shukrani mleta uzi
 
Gear box oil
Gear box mounting
 
Wachache ina maana wapo Isanga. Inawezekana si wewe au mtu unayemfahamu.

Achilia mbali nissan xtrail Ndani ya nchi yako Tanzania kuna wakulima wananunua tractor mpya.
Mkuu unachombishia kiongozi Isanga family sidhani Kama uko serious. Gari za 2017 and above tunatafutana. Ingawa kiukweli hakuna asiyependa gari mpya. Ni uchumi tuu unabana.

Ukute mtu kashusha machine ya 2020 AU 2021? Wapo ila ni wa kutafuta kwa tochi. Tena tochi yenye mwanga wa kutosha haswa!
 
Duuu, hii mada ni ya muda hata sikumbuki msingi wa hoja labda niangalie historia, anyways Hatubishani ndugu Masanja, tunapeana challange tu kulingana na uzoefu wa maisha....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…