Kama kweli huo uchunguzi uligundua hayo madudu dawa ilikuwa kuiweka hiyo report public ili wenye chama Chao na taifa kwa ujumla wafahamu na pengine wangempa support.Umesema ukweli mtupu 100%
Mungu akubariki.
Sasa hivi CCM imerudi ile tuliyoikataa awali.
Wamehalalisha tena wizi.
Umenena jambo msingi sana akina Masanja Mkandamizaji waliokuwa wanalala kwenye daraja LA ubungo wanamsifia leo wanasifia kusafiri kwa mamaHUwezi kujua hata kama huyu wa sasa wanampenda maana hata hawa hawa wanaomponda wakati yuko hai walikuwa wanamsifu na kuabudu.
Hawa hawa wakina Mwigulu ndio walikuwa wanasema apewe muda.
Kujua yupo rafiki wa kweli ukiwa na madaraka au pesa ni ngumu sawa na kupata mke anayekupenda kwa dhati ukiwa tajiri.
Alitaka kujaribu kuwaonyesha watu kuwa CCM haina mwenyewe lakini wakamwambia haiwezekani wenyewe tupoccm ni genge la mafisi wanaotafutana.
JPM hakuwa na mizizi ya mafisi wenzake.
Akaanzisha makundi yake yaishi katikati ya mafisi.
Mwendazake ameacha majeraha kwa Watanzania wengi baada ya kuwavurugia mipango yao ya maisha.Wapinzani walikuwa na haki ya kumchukia Magufuli kutokana na mambo aliyowatenda. Lakini cha kushangaza upinzani mkubwa sana umeibuka kutoka katika kikundi kidogo ndani ya chama chake mimi nawaita wanufaika wa chama. Kukaibuka wakina KIGOGO 2014 hadi alipofariki uwanaharakati wao ukaisha. Mwanaharakati Kigogo amekaa kimya kwenye kesi ya Mbowe, hapa shida ya Kigogo sio mfumo bali ni Magufuli mwenyewe.
Chuki nyingine ikahamia kwa Bashiru.
Nikajiuliza wako wapinzani wengi waliohamia CCM na kupewa vyeo vikubwa lakini kwanini wamchukie Dr. Bashiru tu? Na kumzushia ameiba hela BOT kipindi cha maombolezo. Nikagundua tatizo Bashiru alikata mirija yao kwenye tume ya kukagua mali za Chama. Mimi nimepanga fremu za CCM nalipa kodi laki 1.5 lakini nasikia kodi ya halali inayoingia kwenye chama ni elfu 50 nyingine watu hula kwa urefu wa kamba. Wenyeviti wa CCM wilaya waligeuza miradi ya chama kuwa miradi yao binafsi na walikuwa wanalindana. Hii ilipelekea miradi mingi ya chama kufilisika mfano Tegeta Sekondari sasa imeuzwa kwa chuo kikuu Mzumbe. Bashiru alifichua yote hayo kwenye kamati yake na kamba za watu zikakatwa, wenye kamba hawakufurahishwa kabisa ila hawakuwa na lakufanya. Kwahiyo tatizo la Magufuli na Bashiru ndani ya CCM ni:
1. Kuwanyima vyeo wenye chama chao.
2. Kuwapa vyeo wakuja ndani ya chama.
3. Kukata mirija ya watu ndani ya chama.
Hayo mengine ya raisi mshamba, anateuwa wasukuma, dikteta na ya Bashiru kutoa hela BOT au alitaka kumchenga mama ili aweke rais mwingine ni uzushi tu uliosambazwa na watu wale wale kupitia akaunti ileile.
Watu wamerudi ulaji wao utarudi soon na akauti ile ya uwanaharakati KIGOGO imepotea na itaibuka tena tukipata rais mwingine mshamba mwenye msimamo.
Bado tuna safari ndefu Watanzania.
"Mungu ibariki Tanganyika"
Ripoti ya BOT imetoka Bashiru yuko msafi lengo ilikuwa kumuondoa pale kwenye ukatibu tu fitinaSasa kundi lake litaenda wapi?!
Kwa upinzani sawa ila ndani ya CCM kosa lake ni nini hadi wamwite mshamba?Mwendazake ameacha majeraha kwa Watanzania wengi baada ya kuwavurugia mipango yake ya maisha. Legacy yake itakuwa ni Rais wa Tanzania aliyekuwa muuaji, mwizi, mwongo, mkandamizaji wa demokrasia ambaye alikataa uwapo wa COVID19 na akafa kwa hiyo hiyo.
Wasukuma msipoteze muda na threads nyingi kujiffanya mnamkumbuka. Harudi kamwe, anaendelea kuoza huko jehanam
Kama walimtibia akapona hawashindwi kumpa gonja aangaike nalo!Where is Job? Bring back Job.
Aligundua kwa kuchelewa akajiimarishia ulinzi unaonekana na usioonekana lakini wapi??Alitaka kujaribu kuwaonyesha watu kuwa CCM haina mwenyewe lakini wakamwambia haiwezekani wenyewe tupo
Ndugu Zangu Hata Ccm Majizi Yapoccm ni genge la mafisi wanaotafutana.
JPM hakuwa na mizizi ya mafisi wenzake.
Akaanzisha makundi yake yaishi katikati ya mafisi.
Alikuwa ni mshamba kweli kwa kuwa hakuwa na uwezo wa namna ya kuunganisha makundi hasimu ya wakati wa kampeni.Kwa upinzani sawa ila ndani ya CCM kosa lake ni nini hadi wamwite mshamba?
Ushamba ukamfanya awe mbabe hadi kasahau kuwa ana kiberiti moyoni.Alikuwa ni mshamba kweli kwa kuwa hakuwa na uwezo wa namna ya kuungamisha makundi hasimu ya wakati wa kampeni.
Alidhani akijaza ndugu zake kwenye Serikali kama akina Kalemani, Killangi, Makonda, Dotto James, Bashiru Ally, basi atakuwa ameweza kukamata nchi.
Alikuwa anakula mahindi ya kuchoma barabarani, anagawa hela taskimu kwa baadhi ya wananchi, anaongea matusi kwenye majukwaa. NDIYO USHAMBA WENYEWE
Alikuwa anatongoza na kutaka kulala na kila mwanamke kama Jokate, na wengineo
NukuuWapinzani walikuwa na haki ya kumchukia Magufuli kutokana na mambo aliyowatenda. Lakini cha kushangaza upinzani mkubwa sana umeibuka kutoka katika kikundi kidogo ndani ya chama chake mimi nawaita wanufaika wa chama. Kukaibuka wakina KIGOGO 2014 hadi alipofariki uwanaharakati wao ukaisha. Mwanaharakati Kigogo amekaa kimya kwenye kesi ya Mbowe, hapa shida ya Kigogo sio mfumo bali ni Magufuli mwenyewe.
Chuki nyingine ikahamia kwa Bashiru.
Nikajiuliza wako wapinzani wengi waliohamia CCM na kupewa vyeo vikubwa lakini kwanini wamchukie Dr. Bashiru tu? Na kumzushia ameiba hela BOT kipindi cha maombolezo. Nikagundua tatizo Bashiru alikata mirija yao kwenye tume ya kukagua mali za Chama. Mimi nimepanga fremu za CCM nalipa kodi laki 1.5 lakini nasikia kodi ya halali inayoingia kwenye chama ni elfu 50 nyingine watu hula kwa urefu wa kamba. Wenyeviti wa CCM wilaya waligeuza miradi ya chama kuwa miradi yao binafsi na walikuwa wanalindana. Hii ilipelekea miradi mingi ya chama kufilisika mfano Tegeta Sekondari sasa imeuzwa kwa chuo kikuu Mzumbe. Bashiru alifichua yote hayo kwenye kamati yake na kamba za watu zikakatwa, wenye kamba hawakufurahishwa kabisa ila hawakuwa na lakufanya. Kwahiyo tatizo la Magufuli na Bashiru ndani ya CCM ni:
1. Kuwanyima vyeo wenye chama chao.
2. Kuwapa vyeo wakuja ndani ya chama.
3. Kukata mirija ya watu ndani ya chama.
Hayo mengine ya raisi mshamba, anateuwa wasukuma, dikteta na ya Bashiru kutoa hela BOT au alitaka kumchenga mama ili aweke rais mwingine ni uzushi tu uliosambazwa na watu wale wale kupitia akaunti ileile.
Watu wamerudi ulaji wao utarudi soon na akauti ile ya uwanaharakati KIGOGO imepotea na itaibuka tena tukipata rais mwingine mshamba mwenye msimamo.
Bado tuna safari ndefu Watanzania.
"Mungu ibariki Tanganyika"
Tuhuma nzito hizi, mimi na logoffAlikuwa anatongoza na kutaka kulala na kila mwanamke kama Jokate, na wengineo
Miongoni mwa mijitu ya hovyo ni pamoja na huyuWhere is Job? Bring back Job.
Kila kitabu mkuu😆Kila zama na zama zake...
Magufuli alichukiwa ndani ya ccm kutokana na sababu zifuatazoWapinzani walikuwa na haki ya kumchukia Magufuli kutokana na mambo aliyowatenda. Lakini cha kushangaza upinzani mkubwa sana umeibuka kutoka katika kikundi kidogo ndani ya chama chake mimi nawaita wanufaika wa chama. Kukaibuka wakina KIGOGO 2014 hadi alipofariki uwanaharakati wao ukaisha. Mwanaharakati Kigogo amekaa kimya kwenye kesi ya Mbowe, hapa shida ya Kigogo sio mfumo bali ni Magufuli mwenyewe.
Chuki nyingine ikahamia kwa Bashiru.
Nikajiuliza wako wapinzani wengi waliohamia CCM na kupewa vyeo vikubwa lakini kwanini wamchukie Dr. Bashiru tu? Na kumzushia ameiba hela BOT kipindi cha maombolezo. Nikagundua tatizo Bashiru alikata mirija yao kwenye tume ya kukagua mali za Chama. Mimi nimepanga fremu za CCM nalipa kodi laki 1.5 lakini nasikia kodi ya halali inayoingia kwenye chama ni elfu 50 nyingine watu hula kwa urefu wa kamba. Wenyeviti wa CCM wilaya waligeuza miradi ya chama kuwa miradi yao binafsi na walikuwa wanalindana. Hii ilipelekea miradi mingi ya chama kufilisika mfano Tegeta Sekondari sasa imeuzwa kwa chuo kikuu Mzumbe. Bashiru alifichua yote hayo kwenye kamati yake na kamba za watu zikakatwa, wenye kamba hawakufurahishwa kabisa ila hawakuwa na lakufanya. Kwahiyo tatizo la Magufuli na Bashiru ndani ya CCM ni:
1. Kuwanyima vyeo wenye chama chao.
2. Kuwapa vyeo wakuja ndani ya chama.
3. Kukata mirija ya watu ndani ya chama.
Hayo mengine ya raisi mshamba, anateuwa wasukuma, dikteta na ya Bashiru kutoa hela BOT au alitaka kumchenga mama ili aweke rais mwingine ni uzushi tu uliosambazwa na watu wale wale kupitia akaunti ileile.
Watu wamerudi ulaji wao utarudi soon na akauti ile ya uwanaharakati KIGOGO imepotea na itaibuka tena tukipata rais mwingine mshamba mwenye msimamo.
Bado tuna safari ndefu Watanzania.
"Mungu ibariki Tanganyika"
Hakika 100%Magufuli alichukiwa ndani ya ccm kutokana na sababu zifuatazo
1) Hakutoka kwenye kundi lolote lenye ushawishi ndani ya ccm(kundi la lowasa na Membe)
2)Alikuwa mchapa kazi na anapenda haki wapigaji na wazee wa miundo mbinu walimwona mwiba
3)aliwapiga chini waliojifanya wanakijuwa chama na serikali kumbe ni wachumia tumbo tu na wachache aliowateua ni busara za wazee kuwa wape nafasi wameshiliki kampeni bila fadhila ya cheo wataficha wapi sura zao na walioonyesha dharau na kukengeuka aliwapiga chini baadae
4)chama kilitawaliwa na makundi kwahiyo kukwepa bias ya kundi fulani akabeba wapinzani na wasomi wa vyuo vikuu vyetu na kuwapa vyeo kutengeneza safu ambayo haina kundi na ccm wengi na watoto wao wakawa benchi
5)uhakiki wa mali za chama chini ya mwenyekiti wake Dr Bashiru uliwavua nguo wanaccm vigogo na kurudishwa mali zote kwenye chama na kuregister upya kwenye mfumu na hapa ikazaa chuki dhidi ya Bashiru nasikia JPM alimbana Dr Bashiru na tume yake wakimaliza kukagua mkoa mmoja wanaenda kufungia mahesau Ikuku kwa mzee mwenyewe kama alivyobana kwenye tume ya madini kwahiyo no kushawishiwa ili kubadilisha mambo
6)aliminya mirija ya ulaji ya watu bila kujali nafasi ya m2 ndani ya chama na serikali akawataka wasajili mali zao na kulipa kodi
7) hakupenda sherehe na vikao ndani ya chama maana waccm wengine ndo ilikuwa ndo sehemu yajipatia ridhiki makanjanja wengi na wanamtandao hali zao zikawa hoi
8)waccm waliomuhujumu wakati wa kampeni na baada ya kampeni aliwashughulikia na wengine kuwapa makavu live kuwa yeye hapendi unafiki
Kwahaya machache yalimfanya JPM achukiwe ndani ya chama
Huwa unajifanya mjuaji wakati hujui kitu!Alianza sera za kuwakumbatia na kuwanunua wzpinzani na kuwapa vyeo.
Na aliwadukua kutumia TCRA viongozi pendwa na waandamizi ili kuwakomoa tu.
Kinana na Makamba wamepitia hilo.
We ni mpumba.vuMwendazake ameacha majeraha kwa Watanzania wengi baada ya kuwavurugia mipango yake ya maisha. Legacy yake itakuwa ni Rais wa Tanzania aliyekuwa muuaji, mwizi, mwongo, mkandamizaji wa demokrasia ambaye alikataa uwapo wa COVID19 na akafa kwa hiyo hiyo.
Wasukuma msipoteze muda na threads nyingi kujiffanya mnamkumbuka. Harudi kamwe, anaendelea kuoza huko jehanam