Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Naunga mkono hojaNilitaka tu kuweka msisitizo kwamba mahabusu wasisafirishwe kama wanyama. Kuweka na utu kiasi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkono hojaNilitaka tu kuweka msisitizo kwamba mahabusu wasisafirishwe kama wanyama. Kuweka na utu kiasi.
Paza sauti wasemee wewe mkuuBado kujisaidia kwenye ndoo.
Nani wa kuwasemea?
Kila mtu anadhani haimhusu Hadi yamkute.
Weka akiba ya maneno ndugu yangu. Ikiwa uko hai usimalize maneno yote. Sio kila unaemuona kwenye defender au karandinga ni muhalifu. Dunia ina mengi.Mbona kawaida tu wao wamefanya mambo ya hovyo,wafanyiwe kulingana na uovu wao sasa wabakaji wawekwe kwenye gari zuri lenye ac mbona watakuwa wanajikubali sana na hawatajutia ujinga wao
Eti wapewe na magazeti ya kusoma.Mbona kawaida tu wao wamefanya mambo ya hovyo,wafanyiwe kulingana na uovu wao sasa wabakaji wawekwe kwenye gari zuri lenye ac mbona watakuwa wanajikubali sana na hawatajutia ujinga wao
Achana naye mkuu, yeye anajua yupo salama!Weka akiba ya maneno ndugu yangu. Ikiwa uko hai usimalize maneno yote. Sio kila unaemuona kwenye defender au karandinga ni muhalifu. Dunia ina mengi.
Kubwa ni kumuomba Mungu wako akulinde usifike huko ila sio kudhihaki mahabusu wa leo ikiwa hata wewe unaweza kuwa mahabusu kesho, tena bila hatia.
Kunyea kwenye ndoo haipo tena miaka hii mzee iliisha tokea 2015 huko nadhaniBado kujisaidia kwenye ndoo.
Nani wa kuwasemea?
Kila mtu anadhani haimhusu Hadi yamkute.
Usha ambiwa mtuhumiwa huyo sio prisoner na hata prisoner anapaswa kuishi kwenye mazingira mazuri,shida yenu watu weusi ni upumbavu.Kiufupi hayo mambo yalianzishwa makusudi ili kudhibiti uhalifu kwa kuwajengea hofu raia, hakuna anayependa kufikia hali hiyo. Ndio maana unapaswa kutii sheria na mamlaka za nchi kwa kuwa raia mwema.
Hivi umeelewa msingi wa mada hii? Sababu ya wanajeshi kukata nywele zao wawapo mafunzoni mbona iko wazi kabisa na haihitaji mjadala??Mbona hukuuliza kwa nini wanajeshi wanapokuwa mafunzoni hawaachwi na nywele zao? Au wanaamshwa usiku?
Ukishaambiwa wewe ni mahabusu ni mwendo wa kutii amri tu hii ni AfricaHivi umeelewa msingi wa mada hii? Sababu ya wanajeshi kukata nywele zao wawapo mafunzoni mbona iko wazi kabisa na haihitaji mjadala??
Huyu mahabusu anasafirishwa kama gunia la mahindi kwasabb gani?
Ila unatambua kuwa kuna uwezekano hata wewe ukawa mahabusu tena bila ya hatia? Ungependa uburuzwe na minyororo pia??Hao vibaka acha wasafirishwe hivyo tena mbona wanapendelewa kabisa hzo walitakiwa waburuzwe na minyororo huku ikiwa imefungwa kwenye Gari hata kama bado hawajahukumiwa
Acha niburuzwe kwani shida Iko wapi si mahabusu lazima nianze kupata Cha moto mapemaIla unatambua kuwa kuna uwezekano hata wewe ukawa mahabusu tena bila ya hatia? Ungependa uburuzwe na minyororo pia??
Mahabusu haina mmoja ndugu na sio kila unaemuona huko anapaswa kuwa huko.
From your thoughts to God's ears. AmenAcha niburuzwe kwani shida Iko wapi si mahabusu lazima nianze kupata Cha moto mapema