Kwanini mahabusu hawasafirishwi kwa staha wanapopelekwa mahakamani?

Kwanini mahabusu hawasafirishwi kwa staha wanapopelekwa mahakamani?

Shida ni Bajeti .......wakati hukosa hata mafuta wao kuja mahakamani....
 
Nadhani ni katika hali ya kuwadhibiti wasitoroke
Kuna watu wana kesi mbaya ukiamua kuwasafirisha kama watalii wakarudi mtaani hali itakuwa mbaya.
Wako chini ya ulinzi laZima wadhibitiwe.
Ukiwa mahabusu utafungwa pingu, kuchuchumaa n.k kikubwa tukutane na vyombo vya haki ndo vitaamua hatima yako
Wewe ni zaidi ya shetani. Unajua mahabusu wapo watu gani?
 
Mahabusu lazima asotee mapema hamna kulembwa huko hizo ni pesa za wananchi masikini wa Africa hamna kula Bata ni mwendo wa msoto tu
Watu mliozaliwa na kukulia bush kiwango chenu cha ustaarabu ni sifuri. Nadani inachangiwa pia na kukosa elimu sahihi pamoja na exposure. Ungekuwa umesoma na kuelimika hungetoa mawazo kama haya.
 
Sioni sababu ya kuwasafirisha mahabusu kwa namna inayofanyika hivi sasa. Mahabusu wanasafirishwa na magari ya polisi huku wakiwa wamechuchumaa.

Kwann lisitafutwe gari ama minibus zuri lenye AC wakaketi wote na kupewa magazeti wayasome wakati wakielekea mahakamani?

Hatuoni kuwa kama taifa tunafanya makosa yale yale wanayoshitakiwa mahabusu, (ya kuzikanyaga haki za wengine)?

Kwahiyo tumeamua kuwa taifa la kutafuta haki kwa kuzikanyqga haki za mahabusu?

View attachment 3088487
View attachment 3088488Picha: Watuhumiwa wa ubakaji wakipandishwa kwenye gari la polisi
Wanakosea sana hao askari kuwachukulia watuhumiwa/mahabusu kama wahalifu.

Kama bado hawajahukumiwa na mahakama kisheria wanatakiwa wapate haki zote kama vile mtu yeyote asiye na hatia.

Sasa askari wenyewe unakuta failure unadhani anaelewa haki za mahabusu basi?
 
Watu mliozaliwa na kukulia bush kiwango chenu cha ustaarabu ni sifuri. Nadani inachangiwa pia na kukosa elimu sahihi pamoja na exposure. Ungekuwa umesoma na kuelimika hungetoa mawazo kama haya.
Boya wewe elimu uliyokua nayo inakusaidia nini zaidi umekua masikini pesa ndio Kila kitu duniani wewe kula hayo makaratasi Yako sasa mahabusu ni fara lazima polisi wamsoteshe
 
Lengo la kujengwa jela ilikuwa mahususi kubadilisha tabia za watu ili baadae ikageuka kuwa sehemu ya kuwafanya watu wawe makatili zaid
Mkuu asante. Wewe unaonekana umesoma na kustaarabika. Unajua Afrika hususani Tanzania bado kabisa watu wengi hawajui psychology ya makuzi vs uhalifu, adhabu vs tabia njema etc. Wengi tunadhani ukatili na matumizi ya nguvu ndiyo njia sahihi ku deal na uhalifu. Ingekuwa hivyo basi mitaani kusingekuwa na vibaka ukizingatia kuwa akipatikana anachomwa moto.
 
Kati ya jeshi la hovyo la kwanza ni Magereza kisha Polisi

Hao wote maisha yao magumu sana maana wamewekwa kuonea watu
yaani tumerithi sheria za wakoloni alafu utake kupetiwa! kwani ww hujasikia watu wanahamishwa au wanavunjiwa nyumba kupisha mradi fulani watawala wanadai wametumia sheria ya mwaka 1932 mara 1958 ili tu wasilipe fidia ya maana!
 
Boya wewe elimu uliyokua nayo inakusaidia nini zaidi umekua masikini pesa ndio Kila kitu duniani wewe kula hayo makaratasi Yako sasa mahabusu ni fara lazima polisi wamsoteshe
Pal, money is not everything. To me, a good life is more than just money. I know that perhaps you were born into poverty, which is why you think money is everything. Someone fortunate enough to be born into a well-off family, receive a good education, and have exposure cannot be as ignorant as you are. Even writing in kiswahili is a struggle for you, showing that civility is something unfamiliar to you
 
Pal, money is not everything. To me, a good life is more than just money. I know that perhaps you were born into poverty, which is why you think money is everything. Someone fortunate enough to be born into a well-off family, receive a good education, and have exposure cannot be as ignorant as you are. Even writing in kiswahili is a struggle for you, showing that civility is something unfamiliar to you
Endelea kuandika viingereza vyako uchwara huku mfukoni ukiwa umejaza umasikini
 
Kuna kipindi marehemu Basil Pesambili Mramba akiwa waziri wa fedha aliambiwa ishu ya kuongeza bajeti wizara ya mambo ya ndani ili kurekebisha magereza akabeza hiyo hoja.
Akaja kufungwa yeye (mramba hakutegemea hata siku moja angekuwa mfungwa) ingawaje hakukaa sana jela akasaidiwa kwa parole ile ishu ya mazingira mabovu magereza ambayo marehemu mramba aliibedha ilimuumiza sana kwani ni ukweli aliokuja kukutana nayo nimetolea mfano huu kwa sababu Marehemu mzee mramba alikuwa family friend na hii ishu alishaongea kabla ya kufariki.
Baada ya kina mramba na yona kufungwa serikali iliboresha magereza kwa kununua mabasi ya kubebea watuhumiwa na kuachana na yale makarandinga ya kukaa chini na pia baadhi ya magereza hususani hapa dsm ukonga na segera yaliboreshwa mazingira kuacommodate watuhumiwa / wafungwa vip.
Ifike mahali watuhumiwa na wafungwa waangaliwe kiubunadamu
 
Ungewekwa utaratibu mzuri,hao ni mahabusu bado mpaka wawaprove guilty,wanafaa kuwekwa vizuri.

Hata wafungwa pia wana haki zao ila ndo hivyo nani wa kuwasemea,nchi zetu hizi ngumu sana.
 
Weka akiba ya maneno ndugu yangu. Ikiwa uko hai usimalize maneno yote. Sio kila unaemuona kwenye defender au karandinga ni muhalifu. Dunia ina mengi.

Kubwa ni kumuomba Mungu wako akulinde usifike huko ila sio kudhihaki mahabusu wa leo ikiwa hata wewe unaweza kuwa mahabusu kesho, tena bila hatia.
Ila kwa hao wafiraji nani hajaona video yao.? Kulikuwa hata hakuna haja ya mjadala week moja tu ilitosha kutoa hukumu.
 
Endelea kuandika viingereza vyako uchwara huku mfukoni ukiwa umejaza umasikini
Did you even get it? Nina..... Mabumunda utayajua tu! Tatizo lako ni kuzaliwa kwenye umaskini uliopitiliza kiasi cha kudhani kila mtu ni kama wewe!
 
Sioni sababu ya kuwasafirisha mahabusu kwa namna inayofanyika hivi sasa. Mahabusu wanasafirishwa na magari ya polisi huku wakiwa wamechuchumaa.

Kwann lisitafutwe gari ama minibus zuri lenye AC wakaketi wote na kupewa magazeti wayasome wakati wakielekea mahakamani?

Hatuoni kuwa kama taifa tunafanya makosa yale yale wanayoshitakiwa mahabusu, (ya kuzikanyaga haki za wengine)?

Kwahiyo tumeamua kuwa taifa la kutafuta haki kwa kuzikanyqga haki za mahabusu?

View attachment 3088487
View attachment 3088488Picha: Watuhumiwa wa ubakaji wakipandishwa kwenye gari la polisi
Hao ni Mahabusu wachovu wasio na pesa.

Ulishawaona wale Mafisadi wanaoiibia Serikali pesa nyingi wakisafirishwa hivyo? Kwanza wanawaogopa na wanawapa The Citizen, Mwananchi na magazeti yote wayatakayo pamoja na ulinzi juu
 
Did you even get it? Nina..... Mabumunda utayajua tu! Tatizo lako ni kuzaliwa kwenye umaskini uliopitiliza kiasi cha kudhani kila mtu ni kama wewe!
Endelea kukasirika na huo umasikini wako huku ukiwa mfukoni ni hamna kitu naona umeacha kuandika viingereza uchwara umasikini mbaya mpaka watu mnaandika lugha ambazo hamzijui
 
yaani tumerithi sheria za wakoloni alafu utake kupetiwa! kwani ww hujasikia watu wanahamishwa au wanavunjiwa nyumba kupisha mradi fulani watawala wanadai wametumia sheria ya mwaka 1932 mara 1958 ili tu wasilipe fidia ya maana!
Pale sio sheria imetumika bali maeneo husika yalikuwa tayari kwenye mradi toka miaka hiyo
 
Back
Top Bottom