Kwanini mahabusu hawasafirishwi kwa staha wanapopelekwa mahakamani?

Kwanini mahabusu hawasafirishwi kwa staha wanapopelekwa mahakamani?

Paza sauti wasemee wewe mkuu

Nafanya sana tu mkuu na ndiyo maana nadhani na wewe na yule tukiongezeka, alisema mama abuduli tutakwenda mbali zaidi.

Au wewe huoni hivyo ndugu?
 
Hoja Yako inamsingi,ila sio kwa bara letu jeusi.
Kumwona mwenzake mavi.Jeshi la polisi wao wanaonaga kama ndo final say.
Ni washenzi,ila ajabu mahakamani Huwa ni weupe pee.
SEMA Africans,sijui nani aliyeturoga.
Hatupendi kufatilia maswala ya msingi,hususani yanayohusiana na MAISHA yetu.

Kwa tTanzania,90% tuulizie Burudani na Mpira ila sio Katiba.
 
Endelea kukasirika na huo umasikini wako huku ukiwa mfukoni ni hamna kitu naona umeacha kuandika viingereza uchwara umasikini mbaya mpaka watu mnaandika lugha ambazo hamzijui
Whaaat? I wrote in Swahili after noticing that you are hesitating and don't understand what I wrote. Let's get to work if you understand. Turudi kwenye english, lakini usilielie tena. You know, a person who was raised in an environment of cruelty and poverty will inevitably be cruel as an adult and think that money is the solution to everything. I am in a very good place economically, educationally, and in terms of exposure, unlike you, who is naive.
 
Kwasababu Rais anakinga ya kutokushtakiwa kwahiyo hana ndoto ya kuwa mahabusu
 
Magereza na vituo vya Polisi vitaendelea kuwa na mazingira ya hovyo kwa sababu mifumo yetu haki ina mushkeli, mwenye pesa na mwanasiasa hasa mtawala hategemei kuingia huko hata iweje.

Ingekuwa na wao wakifanya makosa wanafungwa basi wangeboresha mazingira.

Kwa sasa wanapafanya pawe hovyo kwa sababu no body cares kuhusu maskini wanaopelekwa huko wengine kwa kusingiziwa tu plus wapinzani.

Hii inafanana na mazingira ya shule za Serikali, hakuna mtoto wa mfanya maamuzi utamkuta shule ya Serikali, wanasomesha private na nje ya nchi.
 
Kuna jamaa yangu mmoja alifungwaga denmark,alikuwa ananiambia alikuwa anaona yuko kama hotelini tu 😄
Maghayo

Ova
Uongo tu
Mahabusu ni mtu ambaye hajaaminika kwenye jamii
Anaweza akawa na hatia au akawa hana.
Kipindi anasuburia haki, laZima vyombo vya ulinzi vimchunge na kimdhibiti
 
Bado kujisaidia kwenye ndoo.

Nani wa kuwasemea?

Kila mtu anadhani haimhusu Hadi yamkute.
Uanaharakati unawanyima fursa ya kujifunza. Kila kitu kina umuhimu wake. Mfano, mfungwa anakula mlo mmoja na kidogo si kuwa ni kumpa adhabu, ni kuhakikisha anapunguzwa nguvu ili asiweze kumdhuru askari anayemlinda etc
 
Uanaharakati unawanyima fursa ya kujifunza. Kila kitu kina umuhimu wake. Mfano, mfungwa anakula mlo mmoja na kidogo si kuwa ni kumpa adhabu, ni kuhakikisha anapunguzwa nguvu ili asiweze kumdhuru askari anayemlinda etc

Unajua tofauti ya mahabusu na mfungwa?

Vipi haki za binadamu hata kwa mfungwa, au hadi ikihusu wewe binafsi?

Kuna ka unyani fulani waafrika hadi katutoke, vinginevyo bado tupo tupo sana.

Vipi ulaya na marekani huko haki za binadamu hazifanyiwi ajizi?
 
Unajua tofauti ya mahabusu na mfungwa?

Vipi haki za binadamu hata kwa mfungwa, au hadi ikihusu wewe binafsi?

Kuna ka unyani fulani waafrika hadi katutoke, vinginevyo bado tupo tupo sana.

Vipi ulaya na marekani huko haki za binadamu hazifanyiwi ajizi?
Hivi unaweza kulinganisha sisi na wao. Hata huko Marekani, mtu mweusi ni shida tu. Nenda London uone tofauti kati ya makazi ya weusi na weupe. Acheni uanaharakati mbuzi.
 
Hivi unaweza kulinganisha sisi na wao. Hata huko Marekani, mtu mweusi ni shida tu. Nenda London uone tofauti kati ya makazi ya weusi na weupe. Acheni uanaharakati mbuzi.

Acha kukariri ndugu.

Unaongelea marekani ambako kina Obama, Powell, au hawa kina Lloyd Austin ni mawaziri?

Dunia yenye kutesa mahabusu na wafungwa au hata kuteka na kupoteza watu ni aina ya hizi zilizolaaniwa:

IMG_20240824_065438.jpg
 
Sioni sababu ya kuwasafirisha mahabusu kwa namna inayofanyika hivi sasa. Mahabusu wanasafirishwa na magari ya polisi huku wakiwa wamechuchumaa.

Kwann lisitafutwe gari ama minibus zuri lenye AC wakaketi wote na kupewa magazeti wayasome wakati wakielekea mahakamani?

Hatuoni kuwa kama taifa tunafanya makosa yale yale wanayoshitakiwa mahabusu, (ya kuzikanyaga haki za wengine)?

Kwahiyo tumeamua kuwa taifa la kutafuta haki kwa kuzikanyqga haki za mahabusu?

View attachment 3088487
View attachment 3088488Picha: Watuhumiwa wa ubakaji wakipandishwa kwenye gari la polisi
Kama hawa ni kina Nyundo na wenzake hata wakipelekwa wakiwa wamekalia poti la mtoto la kunyea waeende tu hawa machoko hawana maana
 
Na hata ikija kubainika haukuwa mhalifu, hakuna hata ataekuomba msamaha na huna cha kufanya!
Nanukuu: "Na hata ikija kubainika haukuwa mhalifu, hakuna hata ataekuomba msamaha na huna cha kufanya!"
Kama sio kwa sababu ya uchovu na sononeko la usumbufu uliotokana na Mchakato (mashitaka na hukumu)uliopelekea hatimae ya ww kubainika haukuwa mhalifu, zaidi pia; watu wengi huogopa kuzungushwa au kuanzisha Kesi ya madai na pengine wanaweza kuzushiwa/kubambikiwa kesi mpya; ipo Sheria ya Madai ya Fidia kwa Madhara uliyopata. (nawaomba wanasheria watufafanulie hili tafadhali.).
 
Kuna kipindi marehemu Basil Pesambili Mramba akiwa waziri wa fedha aliambiwa ishu ya kuongeza bajeti wizara ya mambo ya ndani ili kurekebisha magereza akabeza hiyo hoja.
Akaja kufungwa yeye (mramba hakutegemea hata siku moja angekuwa mfungwa) ingawaje hakukaa sana jela akasaidiwa kwa parole ile ishu ya mazingira mabovu magereza ambayo marehemu mramba aliibedha ilimuumiza sana kwani ni ukweli aliokuja kukutana nayo nimetolea mfano huu kwa sababu Marehemu mzee mramba alikuwa family friend na hii ishu alishaongea kabla ya kufariki.
Baada ya kina mramba na yona kufungwa serikali iliboresha magereza kwa kununua mabasi ya kubebea watuhumiwa na kuachana na yale makarandinga ya kukaa chini na pia baadhi ya magereza hususani hapa dsm ukonga na segera yaliboreshwa mazingira kuacommodate watuhumiwa / wafungwa vip.
Ifike mahali watuhumiwa na wafungwa waangaliwe kiubunadamu
Mkuu; Umesema vyema na kutoa mfano hai. Kongole :HYPERCLAPHD: Naunga mkono hoja.
 
Ili wajue uraiani ndio comfortable tu
 
Back
Top Bottom