Kwanini Mahawara wengi uliowazuia Kukupigia Simu Usiku ukiwa na Mkeo wakipiga na ukiwahoji wanakupa majibu yafuatayo?

Kwanini Mahawara wengi uliowazuia Kukupigia Simu Usiku ukiwa na Mkeo wakipiga na ukiwahoji wanakupa majibu yafuatayo?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Ni Hawara yako (Demu wako) kabisa (japo una Mke) na Umeshamjulisha na Kumkataza kabisa asiwe anakupigia Simu Usiku ukiwa Kwako na Mkeo na ikitokea akakiuka Makubaliano na Masharti yako na akapiga ukija Kumhoji Kesho yake atakuambia (atakujibu) ama Simu ilijipiga au Mtoto aliichezea.

Ni kwanini haya Majibu yao Mawili huwa wameyaandaa kabisa na huyatoa huku wakiwa Wanajiamini sana wakati Kiuhalisia huwa Wanadanganya / Wanatudanganya?

Nimekaa pale kusoma Comments zenu.
 
Ni Hawara yako ( Demu wako ) kabisa ( japo una Mke ) na Umeshamjulisha na Kumkataza kabisa asiwe anakupigia Simu Usiku ukiwa Kwako na Mkeo na ikitokea akakiuka Makubaliano na Masharti yako na akapiga ukija Kumhoji Kesho yake atakuambia ( atakujibu ) ama Simu ilijipiga au Mtoto aliichezea.

Ni kwanini haya Majibu yao Mawili huwa wameyaandaa kabisa na huyatoa huku wakiwa Wanajiamini sana wakati Kiuhalisia huwa Wanadanganya / Wanatudanganya?

Nimekaa pale kusoma Comments zenu.
Kuepuka haya ni kuacha umalaya
 
Kuna Mtu Kanikera na kasababisha hata nisipewe Tamu yangu Usiku huu kwa Kunibipu Kwake Kizembe. Kesho atanikoma labda nisiamke.

Na hii ndiyo shida ya kuwa na Mihawara Mibwegebwege hapa duniani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ukiwa na mkeo mtie blacklist mchepozz, unakwama wapiiii??
 
Ni Hawara yako (Demu wako) kabisa (japo una Mke) na Umeshamjulisha na Kumkataza kabisa asiwe anakupigia Simu Usiku ukiwa Kwako na Mkeo na ikitokea akakiuka Makubaliano na Masharti yako na akapiga ukija Kumhoji Kesho yake atakuambia (atakujibu) ama Simu ilijipiga au Mtoto aliichezea.

Ni kwanini haya Majibu yao Mawili huwa wameyaandaa kabisa na huyatoa huku wakiwa Wanajiamini sana wakati Kiuhalisia huwa Wanadanganya / Wanatudanganya?

Nimekaa pale kusoma Comments zenu.
Me sa hiv niko single.
 
Back
Top Bottom