Kwanini Mahawara wengi uliowazuia Kukupigia Simu Usiku ukiwa na Mkeo wakipiga na ukiwahoji wanakupa majibu yafuatayo?

Usilmbe uwe umezaa nae, au ume mkopa. Utakoma simu mpaka usiku wa mana e.
Saa 7 Kamili ( dakika chache tu ) nita Log Out ili nipumzike ( nilale ) ila hii Post yako iliyonichekesha hakuna mfano ndiyo inanifungia Siku. Kuna Members mna Vituko sana hapa JamiiForums na mnasaidia kuondoa Stress. Mbarikiwe!!!!
 
ha ha rafiki napenda sana maandishi yako japo tunashangilia timu tofauti but you are my great friend hapa,Mola akupe uhai na afya uendelee kuandika
 
ha ha rafiki napenda sana maandishi yako japo tunashangilia timu tofauti but you are my great friend hapa,Mola akupe uhai na afya uendelee kuandika

Great friend kwa kuandika nini mkuu Au sijakuelewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…