Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,430
- 11,813
Kenya wenzetu wameondokana na hizi teuzi kwa kiasi kikubwa sana!
Nafasi nyingi hutangazwa kisha watu huomba!
Nafasi kama IGP n.k wanafanya kuomba na usaili wa wazi kufanyika kumpata anaestahili!
Wenzetu walishaona mapungufu makubwa yaliyopo kwenye teuzi wakaamua kuondokana nazo !
Sent using Jamii Forums mobile app
Nafasi nyingi hutangazwa kisha watu huomba!
Nafasi kama IGP n.k wanafanya kuomba na usaili wa wazi kufanyika kumpata anaestahili!
Wenzetu walishaona mapungufu makubwa yaliyopo kwenye teuzi wakaamua kuondokana nazo !
Sent using Jamii Forums mobile app