Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,430
- 11,813
leo TUNAJIFANANISHA NA WALE TUNAOWAITA MABEBERU.Naomba nikujibu kwa msingi ya utawala na sio kisheria.
Tanzania kama ilivyo Marekani, Rais ana-play role ya mkuu wa nchi. Kwa kofia ya Ukuu wa nchi, anakua na madaraka ya kuteua na kuongoza kiapo cha utii kwa majaji.
Uingereza (The United Kingdom) majaji wanateuliwa na Malkia au Mfalime. Waziri mkuu (amabe ni mkuu wa serikali) anawajibika kumshauri Malkia nani wa kumteua akishirikiana na tume ya utumishi wa mahakama.
Ujerumani, jaji mkuu anakula kiapo mbela ya Rais wa Germany Federation (na sio Chancellor ambae ni mkuu wa serikali)
Israeli pia, majina ya majaji wanapendekezwa na tume ya kijaji (Judicial Nomination Committee). Anaewateua na Rais wa Israel ambae ni mkuu wa nchi.
Kwa kifupi sana, Tanzania, Rais kwa kofia yake ya Ukuu wa Nchi, katiba inampa nguvu ya kisheria na kiutawala kuchagua/kuteua majaji na kuwaongoza kula kiapo cha utii kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Niko tarari kukosolewa na kupata ufahamu zaidi toka kwa "wasomi na mawakili"
HATA ILI UWA LINANIACHA NA MASWALI MENGI.JAJI MKUU ANAMUAPISHA RAIS NA RAIS NDIYE ANAMTEUA JAJI MKUU.IKITOKEA KWA WAKATI MMOJA NAFASI ZOTE ZIKO WAZI.HAPO ITAKUWAJE MAANA ILI UWE RAIS LAZIMA UAPE KWANZA NA JE KAMA NAFASI YA JAJI MKUU IKO WAZI,HAPO JE
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante mkuuNaomba nikujibu kwa msingi ya utawala na sio kisheria.
Tanzania kama ilivyo Marekani, Rais ana-play role ya mkuu wa nchi. Kwa kofia ya Ukuu wa nchi, anakua na madaraka ya kuteua na kuongoza kiapo cha utii kwa majaji.
Uingereza (The United Kingdom) majaji wanateuliwa na Malkia au Mfalime. Waziri mkuu (amabe ni mkuu wa serikali) anawajibika kumshauri Malkia nani wa kumteua akishirikiana na tume ya utumishi wa mahakama.
Ujerumani, jaji mkuu anakula kiapo mbela ya Rais wa Germany Federation (na sio Chancellor ambae ni mkuu wa serikali)
Israeli pia, majina ya majaji wanapendekezwa na tume ya kijaji (Judicial Nomination Committee). Anaewateua na Rais wa Israel ambae ni mkuu wa nchi.
Kwa kifupi sana, Tanzania, Rais kwa kofia yake ya Ukuu wa Nchi, katiba inampa nguvu ya kisheria na kiutawala kuchagua/kuteua majaji na kuwaongoza kula kiapo cha utii kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Niko tarari kukosolewa na kupata ufahamu zaidi toka kwa "wasomi na mawakili"
Ama kweli Roma ina nguvu sna aisee japo nnatoka nje ya mada lakini hawa majaji kuvaa kama mapadri wa kiroma au wasaidizi wao ndo imenifanya nianze kulichukulia tofauti kabisa hili kanisa la RomaWanabodi kuuliza si ujinga nataka kupata kufahamu tu. Najua kuna Mihimili mitatu kwa Maana ya Bunge , Mahakama na Serikali.
Na naambiwa mihimili hii ina Nguvu sawa na kujitegemea.
Nimeona wateule wa Serikali wanateuliwa na Rais na kuapa kwa Rais.
Naona Wabunge wanaochaguliwa na wananchi wanaapa kwa Spika wa Bunge.
Swali sasa kwa nini majaji wateuliwe na Rais? Je kwa nini waape kwa Rais, wakati wapo kwenye Muhimili wa Mahakama?
Je huku si kusema kuwa ni Bunge pekee ambalo labda liko huru kidogo maana wabunge hawapaswi kuapa mbele ya Rais.?
Je, huku ni kusema kuwa Mahakama haiko huru maana Watendaji wake wanateuliwa na Rais na kuapa kwa Rais?
Nauliza tu waungwana maana hii inanichanganya?View attachment 1008124
Kenya hawana demokrasia komavu kama Marekani.Kenya wenzetu wameondokana na hizi teuzi kwa kiasi kikubwa sana!
Nafasi nyingi hutangazwa kisha watu huomba!
Nafasi kama IGP n.k wanafanya kuomba na usaili wa wazi kufanyika kumpata anaestahili!
Wenzetu walishaona mapungufu makubwa yaliyopo kwenye teuzi wakaamua kuondokana nazo !
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni takwa la kisheria na katiba.Hapo hata mimi sielewi.Jaji anaapishwa na Rais wakati huohuo Rais akishachaguliwa anaapishwa na jaji hivi hii imekaaje.wataalam tupeni taaluma zenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni mabeberu kweli hatuwasingizileo TUNAJIFANANISHA NA WALE TUNAOWAITA MABEBERU.
baniani mbaya.kiatu chake dawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo napo raha!!alafu rais anaapa mbele ya jaji mkuu
Na nani anamwapisha Rais? Jibu ni Jaji Mkuu. Kwa hiyo ngoma sawaWanabodi kuuliza si ujinga nataka kupata kufahamu tu. Najua kuna Mihimili mitatu kwa Maana ya Bunge , Mahakama na Serikali.
Na naambiwa mihimili hii ina Nguvu sawa na kujitegemea.
Nimeona wateule wa Serikali wanateuliwa na Rais na kuapa kwa Rais.
Naona Wabunge wanaochaguliwa na wananchi wanaapa kwa Spika wa Bunge.
Swali sasa kwa nini majaji wateuliwe na Rais? Je kwa nini waape kwa Rais, wakati wapo kwenye Muhimili wa Mahakama?
Je huku si kusema kuwa ni Bunge pekee ambalo labda liko huru kidogo maana wabunge hawapaswi kuapa mbele ya Rais.?
Je, huku ni kusema kuwa Mahakama haiko huru maana Watendaji wake wanateuliwa na Rais na kuapa kwa Rais?
Nauliza tu waungwana maana hii inanichanganya?View attachment 1008124
Kwa maelezo yako hayo yanadhihirisha kuwa rais wa nchi ndiye bosi wa majaji wote, na hivyo akiwapa maelekezo bila shaka watatumia kila wawezalo ili kuyatekeleza. Na hapo ndipo watu wanatia shaka ya kweli kabisa juu ya uhuru wa mahakama zetu hasa pale kesi itakapokuwa inayagusa maslahi ya utawala.Naomba nikujibu kwa msingi ya utawala na sio kisheria.
Tanzania kama ilivyo Marekani, Rais ana-play role ya mkuu wa nchi. Kwa kofia ya Ukuu wa nchi, anakua na madaraka ya kuteua na kuongoza kiapo cha utii kwa majaji.
Uingereza (The United Kingdom) majaji wanateuliwa na Malkia au Mfalime. Waziri mkuu (amabe ni mkuu wa serikali) anawajibika kumshauri Malkia nani wa kumteua akishirikiana na tume ya utumishi wa mahakama.
Ujerumani, jaji mkuu anakula kiapo mbela ya Rais wa Germany Federation (na sio Chancellor ambae ni mkuu wa serikali)
Israeli pia, majina ya majaji wanapendekezwa na tume ya kijaji (Judicial Nomination Committee). Anaewateua na Rais wa Israel ambae ni mkuu wa nchi.
Kwa kifupi sana, Tanzania, Rais kwa kofia yake ya Ukuu wa Nchi, katiba inampa nguvu ya kisheria na kiutawala kuchagua/kuteua majaji na kuwaongoza kula kiapo cha utii kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Niko tarari kukosolewa na kupata ufahamu zaidi toka kwa "wasomi na mawakili"
Hasa bunge la sasa limegeuka na kuwa bunge la serikali zaidiMahakama na Bunge ni vyombo huru ila havijitegemei!