Tulitaka akifufuka tena tupige maana ule usumbufu mtu inabd ufe Mara moja tu upumzike mkuu sio yule had mara4 anafufuka tu,,,
Kipindi anafufuka Mara ya 3 tulimkuta anaosha vyombo vilivyotumika kwenye msiba wake Jana yake amna mtu aliebaki Apo kila mtu mbio
Kawaida mkuu kuna mwingine Mzee alisema azikwe shambani kwake karibu na mti watu tukamzika kwenye makaburi ya umma bwanaaa weeeeh kila mkizika kesho jeneza mnalikuta ndani tena,,Scary!!!
1.kuepusha maiti kufukuliwa kirahisi na wanyama kama fisi njaa kali
2.kuepusha adha za mizoga (kunuka harufu kali)
3.kuepusha/kusitiri marehemu kwani ardhi ipumue itakavyopumua lakini mpaka kufikia udongo wa levo aliyopo mtu basi kila kitu kitakuwa kimeoza (si rahisi kuona masalia yake ya mifupa)
4.ni utaratibu uliokutwa yaani uliowekwa tangu enzi mfano kwa waislam kuna maelekezo na maelezo maalumu kabisa ya namna kaburi linavyotakiwa kuwa
5.Hatahivyo, si kweli kwamba ni lazima futi sita bali ni urefu unaokadiriwa tu kwa macho na of course inasemwa tu uwe 'urefu wa kutosha' au kadiri. Nadhani kama wapo wanaopima kina cha kaburi kwa futikamba basi ni wachache sana
6.pia kuna makaburi ya mwendokasi kitu unakuta inakomea kwenye magoti haahaa. Kama huamini angalia andhaa kanoon[emoji23]
kuna jamaa alifariki na madeni ya watu zaid ya 7+million.sasa wakati wanamzika wanandugu walichimba kina kifupi,usiku wakulungwa walikuja kumfukua wakamuweka juu wakaacha wameandika "tunataka hela yetu".(walikata mkono wa kushoto wakaondoka nao)
nadhani ingekuwa kina kirefu wasingeweza kwa sababu ya muda na wangegundulika haraka wakat wanafukua coz wangetumia muda mrefu
all in all binadamu wabaya sana.inasadikika pia wao ndo walifanya mpango wa kumuua.
Nahudhuria sana ila tatizo huwa mnafunika turubai hivyo hatuoniSiku moja moja uwe unaudhuria misiba ya waislam
Lakini unasikiaga mwenye kiwembe tafadhari!!!Nahudhuria sana ila tatizo huwa mnafunika turubai hivyo hatuoni
Ungenielewesha tu mkuuLakini unasikiaga mwenye kiwembe tafadhari!!!