BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
Scary!!!
Tulitaka akifufuka tena tupige maana ule usumbufu mtu inabd ufe Mara moja tu upumzike mkuu sio yule had mara4 anafufuka tu,,,
Kipindi anafufuka Mara ya 3 tulimkuta anaosha vyombo vilivyotumika kwenye msiba wake Jana yake amna mtu aliebaki Apo kila mtu mbio