DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
Habari Tena Mkuu!Soma isaya 40 mstari wa 22
Soma na job 26:7
Ukisoma kwenye Isaya 40:22 inayozungumziwa Sio Dunia as Whole but inayozungumziwa ni Dome-Shaped Structure ambayo Huitwa Firmament..
Unajua maana ya firmaments??
Nakurejesha Genesis/Mwanzo 1:6-8
"And God said, Let there be a firmament in the midst of the waters, and let it divide the waters from the waters.
And God made the firmament, and divided the waters which were under the firmament from the waters which were above the firmament: and it was so.
And God called the firmament Heaven. And the evening and the morning were the second day."
so lets Discuss Ulichoandika Isaya 40:22
Na kilichopo kwe he Mwanzo 1:6-8..
Firmament ni duara ya Anga Ambayo huitwa Mbingu ndo hiyo ambayo Mungu hukaa kwa mujibu wa Biblia na Ndo hiyo huitwa Mbingu Ni kama Dome hivi..
Hii ndo Dunia According to Bible Mkuu Yenye Firmament..
So Mkuu Pitia na Hizi verse..
1 Chronicles 16:30: “He has fixed the earth firm, immovable.”
Psalm 93:1: “Thou hast fixed the earth immovable and firm …”
Psalm 96:10: “He has fixed the earth firm, immovable …”
Psalm 104:5: “Thou didst fix the earth on its foundation so that it never can be shaken.”
Isaiah 45:18: “… who made the earth and fashioned it, and himself fixed it fast …”