Kwanini malaika wana majina ya Kizungu na majini (mapepo) yana majina ya Kiarabu?

Soma isaya 40 mstari wa 22
Soma na job 26:7
Habari Tena Mkuu!
Ukisoma kwenye Isaya 40:22 inayozungumziwa Sio Dunia as Whole but inayozungumziwa ni Dome-Shaped Structure ambayo Huitwa Firmament..

Unajua maana ya firmaments??

Nakurejesha Genesis/Mwanzo 1:6-8

"And God said, Let there be a firmament in the midst of the waters, and let it divide the waters from the waters.
And God made the firmament, and divided the waters which were under the firmament from the waters which were above the firmament: and it was so.
And God called the firmament Heaven. And the evening and the morning were the second day."

so lets Discuss Ulichoandika Isaya 40:22
Na kilichopo kwe he Mwanzo 1:6-8..

Firmament ni duara ya Anga Ambayo huitwa Mbingu ndo hiyo ambayo Mungu hukaa kwa mujibu wa Biblia na Ndo hiyo huitwa Mbingu Ni kama Dome hivi..

Hii ndo Dunia According to Bible Mkuu Yenye Firmament..





So Mkuu Pitia na Hizi verse..

1 Chronicles 16:30: β€œHe has fixed the earth firm, immovable.”

Psalm 93:1: β€œThou hast fixed the earth immovable and firm …”

Psalm 96:10: β€œHe has fixed the earth firm, immovable …”

Psalm 104:5: β€œThou didst fix the earth on its foundation so that it never can be shaken.”

Isaiah 45:18: β€œβ€¦ who made the earth and fashioned it, and himself fixed it fast …”
 
Reactions: 511
Nashukur Leo tumekubaliana Kitu mimi Na wewe..
WEngine wanadanganyana Sana kwamba ukienda kwenye Uislam lazma ubadili Jina..
Hiyo Sio kweli
 
Reactions: 511
Sio kwa bongo Ilifanyika Israel Mkuu!
Maaan kwa Tanzania Nimerudi Nikiwa sina Dini πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Maana niliona Jews wananichanganya baada ya Kuwa Judaism kwa Miaka mitatu..

Kuhusu Ritual na Kusoma ni kweli ukishaconvert lazma ukabidhiwe Rabbi Usome kwanza kabla ya kuanza kufanya Ritual yoyote au kuanza kufanya ibada yoyote au Kushila Tanakh ukikamilisha..
Ndo unaruhusiwa kusali..

JUdaism ni kama Waislamu kwa Baadhi ya Vitu Hasa unapoconvert lazma uoge Kama unavooga kwa waislam baada ya kusilimu..

Niliwahi kuandika hapa ibada zinazofanyika zinazofanana na Uislamu
 
Umenikumbusha mikveπŸ˜…
Ullikinywea hiki kikombe au ulikiepukaje? Hatafat dam brit
 
Umenikumbusha mikveπŸ˜…
Ullikinywea hiki kikombe au ulikiepukaje? Hatafat dam brit
Brit milah haiepukiki mkuu!
Hahha Kwenye Beit Din tulikuwa Gerim kama 10 hivi..Tukapass kama Saba hivi...
Watatu wakarudishwa..

Tukatoka hapo Tukaingia kwenye Brit milah πŸ˜…πŸ˜… baadae Mikveh..

Dah Umenikumbusha Mbali sana
 
Reactions: 511
Okay but Malaika inaonekana wapogo tu kabla hata ya kuumbwa Adam, hao Akina mikaeli, gabriel, lucifa woote walikuepo kabla ya stori za waebrania hazijaanza, hapo unasemaje Dokta?

Mwanadamu ndio kiumbe Cha mwisho kuumbwa.
 
Bado nakomaa nao mkuu wangu.
Hakuna Dini yenye sheria Ngumu kama Hiyo πŸ˜…πŸ˜…
Ila sema Ukiwa Jew unakuwa na Elimu kubwa sana ya Bible na vitu vingi..

Nilijiunga nikiwa nimesoma Theology na pia kipindi hicho nimetoka Kuwa Mwislam ila nilijiona Sina elimu Yoyote Ya dini Kuhusu Tanakh nilijiona Mtupu nilipokuwa Nikifundishwa aisee
 
Reactions: 511
Nilichoipendea ni Shiurim. Rabbi anakuivisha hasa, sio kukaririshwa.
Yes, unapata elimu kubwa sana kupambanua mambo.
 
Maaan kwa Tanzania Nimerudi Nikiwa sina Dini
Samahani, hapa ulimaanisha nini??
Maana niliona Jews wananichanganya baada ya Kuwa Judaism kwa Miaka mitatu..
Ukinipa ufupisho wa hayo mambo itapendeza! Inaonekana umeiva kwenye elimu ya dini, umeelewa na siyo kukariri! Huna papara, hasira, hisia, mhemko ,jazba na chuki!
 
Samahani, hapa ulimaanisha nini??
Kwa sasa Dini yangu Kubwa ni Upendo, Kujali wengine na Kusaidia Watu Wanaohitaji msaada wangu..
Ukinipa ufupisho wa hayo mambo itapendeza! Inaonekana umeiva kwenye elimu ya dini, umeelewa na siyo kukariri! Huna papara, hasira, hisia, mhemko ,jazba na chuki!
Ubaya ni kwamba Judaism haina Ufupisho wa maelezo Ya Kitheolojia..
Hapana Kuiva ni vigumu sana Ila Nilichonacho huwa napenda kukitoa..

Kwa kifupi Dini ya Judaism Ina Tofauti na Dini ya Kikristo na Uislamu Kwa 85% kwa mafundisho yao..

Yaani Ukristo na Uislamu unafanana kwa 70% lakini uko tofauti na Uyahudi kwa 90% yaani unafanana kwa only 10% tu..

Nilijifunza mengi sana.. Kupitia Halakha,Gemera , Mishnah zinakufanya Ujue Sheria na Torah kwa ukaribu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…