Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 6,799
- 22,209
Okay but Malaika inaonekana wapogo tu kabla hata ya kuumbwa Adam, hao Akina mikaeli, gabriel, lucifa woote walikuepo kabla ya stori za waebrania hazijaanza, hapo unasemaje Dokta?Biblia Ni hadithi za Waebrania kuhusu Mungu wa Waebrania..
Umeanielewa??
Kwanini Neno kipi Kilianza Nitakujibu Kuw Walianza waebrania Ambao ndiyo waliandika Habari kwenye Biblia
Anaitwa Samael.Kwani malaika aliyebadilika kuwa Shetani mkuu si jina lake la kuzungu au?
Sio Lucifer?Anaitwa Samael.
Samael?mmmh ndio namsikia Leo... AsanteAnaitwa Samael.
Kumbe kuna komando Jide na kuna Malkia wa Jide? Asante kwa elimu mkuuUMMY SUBIAN
ummy subian ni jini wa kike ni malkia wa jide chini ya bahari mavazi yake mekundu Pete zake nyekundu ni moja kati ya majini wakorofi akiwa kwako harafu hujatafuta Pete yake atakuadabisha huyu ummy subian yupo chini ya utawala wa sharif sultan bin daud subian ni miongoni mwa maruhaniyat wa kisharifu apa nazungumzia subian mwema kwanza jini huyu ummy subian ukiwa nae huwez kosa jini kama ruhan hizi ni koo kubwa za kijini zinazoelewana sana ummy subian ni miongoni mwa majini wenye cheo ujinini na Wana Mali sana wakikutunuku kitu shida utakisikia Kwa jirani tu na kama yupo Kwa mwanaume basi mwanaume huyo atakua na mvuto mkali sana Kwa wanawake ila jini uyu anapenda uwe msafi ujipende apo mtaendana arafu ukiwa wapenda nguo nyekundu utamfurahisha ummy subian ana uwezo wa kubadilika zaidi ya mara Tano mtu MWENYE jini huyu ukimkorofisha kimbia subian hapend mtu wake aonewe ni jini mwenye Mali ila mkorofi Mali zake zikitumiwa vibaya ukiwa nae huwez kosa jini kama ruhan ila ruhan yeye Mpore mara nyingi utakuta yeye anakutawala sana kuliko ruhani japo ruhani ni mkubwa Kwa subiani ruhan yeye anatoa tu amri subian anatekeleza ruhan ni kiongoz wake subian yupo Kwa ulinzi ila ruhan ni bosi mtoa amri labda itokee jambo zito apo ruhan ataingilia kutetea ila mara nyingi utakuta yeye ametulia tu anampa amli subian ukienda nao sana Kila kitu kwako kitakua mtelemko ukiona wateseka ujue wamefungwa au wanadai Pete yao ili wakutumikie na sio Kila mtu anao Kuna baadhi ya wanadamu Wana nyota Kali kiasi Cha kuwavutia Hawa viumbe mara nyingi wanakuja kwako Kwa kuvutiwa na nyota yako ili wakupe kile walichojaaliwa na muumba wao na kukuwekea ulinzi ili wanadam na majini wabaya wasikudhuru hiyo ni Pete ya ummy subian
View attachment 2978858
Na Mimi ndio najua hivyo...Sio Lucifer?
Wewe Unamjua nani?Samael?mmmh ndio namsikia Leo... Asante
LuciferWewe Unamjua nani?
Aliyekuambia kwamba walikuwepo Ni Nani?Okay but Malaika inaonekana wapogo tu kabla hata ya kuumbwa Adam, hao Akina mikaeli, gabriel, lucifa woote walikuepo kabla ya stori za waebrania hazijaanza, hapo unasemaje Dokta?
Lucifer sio jina ni sifa.Sio Lucifer?
Nop Lucifer Ni jina la Kilatin na Limeanza kutumika Karne za Hivi karibuni baada ya Kutafasiri Biblia Kwenda Kilatin na sehemu inayohusishwa na Jina hilo ni Ile Ya kitabu cha isaya..Sio Lucifer?
Lucifer ni sifa sio jina. Ni kama nikuite mrembo.Lucifer
Sasa mkuu kwani malaika na mwanadamu nani alianza kuumbwa? In refference to bible?Aliyekuambia kwamba walikuwepo Ni Nani?
Jibu Ni simple ni Muebrania..
Je, Majina yao Yapo kwa Lugha Gani?
Ya Kiebrania..
Then bado unasema Walikuwepo Kabla ya waebrania??
Yaani Just Imagine una Babu yako ana Jina La kiswahili labda tuseme anaitwa Jasiri Mkubwa halafu Unasema alikuwepo Kabla ya Kiswahili Kuwepo Does It even Make sense??
Tuanze na hapo kwanza
Au Kwa kiswahili Sumu ya MunguLucifer sio jina ni cheo.
Lucifer maana yake ni nyota ya asubuhi. (sifa)
Jina lake halisi ni Samael
hili pwege nalo palestina wana chochote kwene hii dunia ,,,,?? wapalestina ni masalia ya waarabu walio enda kwene koloni la mwingereza kama waarabu koloni la mwingereza la Palestin territoryKwann yawe ya kiyahud na sio ya kipalestina?
Hii ni according what chief?Lucifer sio jina ni cheo.
Lucifer maana yake ni nyota ya asubuhi. (sifa)
Jina lake halisi ni Samael
Sawa.h
hili pwege nalo palestina wana chochote kwene hii dunia ,,,,?? wapalestina ni masalia ya waarabu walio enda kwene koloni la mwingereza kama waarabu koloni la mwingereza la Palestin territory
Biblia haijaweka wazi malaika kaumbwa Lini..Sasa mkuu kwani malaika na mwanadamu nani alianza kuumbwa? In refference to bible?