Kwanini malaika wana majina ya Kizungu na majini (mapepo) yana majina ya Kiarabu?

Kwanini malaika wana majina ya Kizungu na majini (mapepo) yana majina ya Kiarabu?

Imebidi Nika mgoogle Samael, aisee yupo.....
Nje ya main biblical scriptures. Hiz ni doctrine ambazo hazithibitishwi na maandiko ya kikristo. Ni kama mambo ya imani zilizozaliwa kutokana na tamaduni tu wa watu, sio ukristo kwa jinsi navyofikiri mimi. Hazipo katika vitabu 67 vya kibiblia
 
Nje ya main biblical scriptures. Hiz ni doctrine ambazo hazithibitishwi na maandiko ya kikristo. Ni kama mambo ya imani zilizozaliwa kutokana na tamaduni tu wa watu, sio ukristo kwa jinsi navyofikiri mimi. Hazipo katika vitabu 67 vya kibiblia
Kuna sehemu wanasema ametajwa kwenye kitabu Cha Ayubu ndio Niko hapa nimetulia nachimbua Hadi nimpate,
 
Ila Siku hizi Wanapinga Sana na wanatetea Jina Wanasema haitwi Gabriel wala Jibreel anaitwa Gavriel
Ni mapokezi tu ya kilugha kwasababu lugha zimekuwa zikibadilika kutokana na nyakati. Kama Jibreel asingekuwa Gabriel/Guvreel basi bila ya shaka tungeona wakristo na mayahudi wengi wakipinga majina haya kipindi cha Mtume Muhammad (pbuh).
 
Belzebuul ni evil spirit, satanic agency ndio maana hata Yesu kuna watu walishawah sema ana pepo wa belzebuul. Sio this is not straight reffering to Satan in person
Yesu Hakuambiwa ana Pepo wa Beelzebul Bali aliambiwa kuwa ana Beelzebul ambaye anamsaidia.. na wengine waka sema anatoa Pepo kwa uwezo wa Beelzebul

Na kuna wakati aliambiwa yeye Ndiye belzebul mwenyewe (Chief of Evil Spirit)..

Luka 11:15

[15]Wengine wao wakasema, Atoa pepo kwa Beelzebuli, mkuu wa pepo.

But some of them said, He casteth out devils through Beelzebub the chief of the devils.


Mathayo 10:25
[25]Yamtosha mwanafunzi kuwa kama mwalimu wake, na mtumwa kuwa kama bwana wake. Ikiwa wamemwita mwenye nyumba Beelzebuli, je! Si zaidi wale walio wa nyumbani mwake?

It is enough for the disciple that he be as his master, and the servant as his lord. If they have called the master of the house Beelzebub, how much more shall they call them of his household?
 
Nje ya main biblical scriptures. Hiz ni doctrine ambazo hazithibitishwi na maandiko ya kikristo. Ni kama mambo ya imani zilizozaliwa kutokana na tamaduni tu wa watu, sio ukristo kwa jinsi navyofikiri mimi. Hazipo katika vitabu 67 vya kibiblia
Hizo ni hadithi za watu wanaopenda mizunguko na maneno ya kufikirika ili waonekane wanaufahamu mkubwa nje ya biblia. Zipuuze.
 
Hayo ni mawazo yako ila nimeshakaa na watu wenye majini vichwani na ukiyahoji yanaeleza mpaka maeneo yanapotoka, wapo majini ambao ni wahindi, wapo wamasai, wapo majini ambao wanakaa katika misitu ya kongo, wapo majini wanaokaa visiwani, wapo majini wanaokaa usukumani, wapo majini ambao wanakaa ulaya, wapo majini wanaokaa uarabuni na hata america kaskazini na kusini. Na wanaongea lugha kama zetu kiufasaha kabisa. Na majini wengi wanaukataa uislam.
 
Tatizo kubwa la wakristo ni kuwa hawataki kukubali kuwa majini ni viumbe vilivyoumbwa na Mungu kama tulivyo sisi, wanakula na kuzaana kama sisi na wanaongea lugha tunazoziongea na tunaishi nao katika mazingira yetu humu humu duniani.


Kamuulize pastor yeyote ambae anafanya Exorcism atakupa ukweli juu ya haya ninayoyaandika hapa.
 
Tatizo kubwa la wakristo ni kuwa hawataki kukubali kuwa majini ni viumbe vilivyoumbwa na Mungu kama tulivyo sisi, wanakula na kuzaana kama sisi na wanaongea lugha tunazoziongea na tunaishi nao katika mazingira yetu humu humu duniani.


Kamuulize pastor yeyote ambae anafanya Exorcism atakupa ukweli juu ya haya ninayoyaandika hapa.
Maandiko yanasema MUNGU aliumba vyote vinavoonekana na visivoonekana( malaika, majini e.t.c) ili vimsifu na kumwabudu.
 
Hamna kitu,alitajwa kwenye kitabu Cha Enoch ambacho hakimo kwenye formal biblical books....so officially ame disqualify kupata cheo cha Shetani, Lucifer ataendelea kushika crown yake😁
Yah na hiki ndicho ninakifaham kwa uchache . Hiz stori ni za wajuaji ndio wamezi craft. Na hata ukitafuta kujua essence yake, unakosa kabisa.
Mfano utakutana na stori za mwanamke wa kwanza kuubwa ni Lilith na sio Eve, sasa unajijliza how come hakujawah kuwa na records zake katika gospels au books laws au books of prophecy ambazo zinamgusia japo kidogo, why???

Kwann iwe kwenye hizo vitabu zingine tu?
Unaona kabisa hapa kuna kitu hakijakaa sawa
 
Quran: Al-Baqarah 2:97

قُلْ مَن كَانَ عَدُوًّا لِّجِبْرِيلَ فَإِنَّهُۥ نَزَّلَهُۥ عَلَىٰ قَلْبِكَ بِإِذْنِ ٱللَّهِ مُصَدِّقًا لِّمَا بَيْنَ يَدَيْهِ وَهُدًى وَبُشْرَىٰ لِلْمُؤْمِنِينَ

English - Sahih International

Say, "Whoever is an enemy to Gabriel - it is [none but] he who has brought it [i.e., the Qur’ān] down upon your heart, [O Muḥammad], by permission of Allāh, confirming that which was before it and as guidance and good tidings for the believers."

Swahili -

Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo (Jibril) ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.
 
Yah na hiki ndicho ninakifaham kwa uchache . Hiz stori ni za wajuaji ndio wamezi craft. Na hata ukitafuta kujua essence yake, unakosa kabisa.
Mfano utakutana na stori za mwanamke wa kwanza kuubwa ni Lilith na sio Eve, sasa unajijliza how come hakujawah kuwa na records zake katika gospels au books laws au books of prophecy ambazo zinamgusia japo kidogo, why???

Kwann iwe kwenye hizo vitabu zingine tu?
Unaona kabisa hapa kuna kitu hakijakaa sawa
Sawa kabisa..,uko sahihi..
 
SIna shida na hii, i just want understand about Samael kama jina la malaika ibilisi. Maana iliyo bayana ni kwamba ibilisi hapo kabla aliitwa Lucifer

Hii siwezi kubaliana na wewe. Labda uniwekee refferences

Hili pia sijui ulipolitoa labda uniwekee source ili nielewe
Niliwahi kuandika Hichi kitu hapa hapa Jf muda kidogo ngoja nikiandike tena..

Lucifer=Nyota ya Asubuhi=Venus=Light Bringer
Yesu =Nyota ya Asubuhi =Venus = light bringer
Archangel (Baadhi ya malaika wakuu) =Nyota za Asubuhi...

Lucifer kama Samael au Shetani mnavyoita..

Hapa hasa ndo Walipoanzia kujikita kwenye hilo jina...
Na maneno hayo yalianza kuonekana mwaka 405 AD kwenye Tafsiri ya Biblia ya Lugha ya latin au Latin vulgate baada ya Papa Damasus wa 1 ,Kumwambia Jorome atafsiri na ndiyo ilikuwa Tafsiri ya kwanza Standard ya kilatin...

Isaya 14:12
Latin vulgate origins..

"quomodo cecidisti de caelo Lucifer qui mane oriebaris corruisti in terram qui vulnerabas gentes."

Kwa kiswahili chetu cha mama samia

"Jinsi ulivyoanguka kutoka mbinguni,
Ewe nyota ya alfajiri, mwana wa asubuhi! Jinsi ulivyokatwa kabisa, Ewe uliyewaangusha mataifa
!"

Kwa Kingereza cha Anko Charles

"How art thou fallen from heaven, O Lucifer, son of the morning! how art thou cut down to the ground, which didst weaken the nations!"

Najua Wengi mnafahamu kuhusu huu upande wa Isaya naomba niwaletee upande mwingine wa Lucifer..

Yesu mwenyewe Na Confirm kwamba yeye ni Nyota ya asubuhi..

Ufunuo wa Yohana 22:16

"Mimi Yesu nimemtuma malaika wangu kuwashuhudia ninyi mambo hayo katika makanisa. Mimi ndimi niliye Shina na Mzao wa Daudi, ile nyota yenye kung’aa ya asubuhi.

"I Jesus have sent mine angel to testify unto you these things in the churches. I am the root and the offspring of David, and the bright and morning star"

Hold on bado Pia ameahidi kwamba kwa wale watakaofata anachoamuru na wao watapewa uwezo wa kuwa Nyota ya asubuhi (Lucifer- Kwa kilatin)

Ufunuo wa Yohana 2:28
"Nami nitampa ile nyota ya asubuhi."
"And I will give him the morning star"



Tight up your seat belt ,PopCorn and Buckle up bado naendelea..

Unakumbuka mwanzoni nilisema pia kuna group la malaika au viumbe walioko mbinguni ndo linaitwa morning stars (Lucifers)

Ayubu 38:7

"Hapo nyota za asubuhi zilipoimba pamoja, Na wana wote wa Mungu walipopiga kelele kwa furaha?"

"When the morning stars sang together, and all the sons of God shouted for joy?"

Sasa ilikuaje zikaacha kuimba pamoja Sasa hapo ndo nakusihi urejee kwenye Isaya 14:12 kwamba kuna Mmoja aliasi Ndo huyo mnamuita.. shetani..

Sasa Yesu aliahidi kwenye ufunuo 2:28 kutoa nyota ya Asubuhi (Lucifer) kwa watu watakaomwamini Je mtume petro kipenzi Cha pili cha Yesu akitoka Yohana na Maria magdalena anasemaje kuhusu hilo..

Na nitaweka na Vulagate kabisa ili maana halisi ionekane

2 Petro 1:19

"Nasi tuna lile neno la unabii lililo imara zaidi, ambalo, mkiliangalia, kama taa ing’aayo mahali penye giza, mwafanya vyema, mpaka kutakapopambazuka, na nyota ya asubuhi kuzuka mioyoni mwenu."

"We have also a more sure word of prophecy; whereunto ye do well that ye take heed, as unto a light that shineth in a dark place, until the day dawn, and the Morning star arise in your hearts:"

In Latin Vulgate..405 AD bible..

2 petro 1:19

"Et habemus firmiorem propheticum sermonem cui bene facitis adtendentes quasi lucernae lucenti in caliginoso loco donec dies inlucescat et lucifer oriatur in cordibus vestris."...

umenielewa????
 
Back
Top Bottom