Native diaspora
JF-Expert Member
- Nov 19, 2020
- 265
- 458
Tupe madini zaidiLakini kwanini uwaone kuwa wana shida kuamini kwamba Masiah bado hajaja?
Unamuamini Joseph smith na Mormons??
Au unamuamini Mtume Muhamadi??
Na kama huwaamini kwanini??
Tuanze na hapo