Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 7,573
- 10,063
Umepiga mashononiMalaika Gabriel, Raphael, Gadiel, etc
Jini Sharif, Maimuna, etc
Kwanini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umepiga mashononiMalaika Gabriel, Raphael, Gadiel, etc
Jini Sharif, Maimuna, etc
Kwanini?
Ukitoa Jibril hayo Majina mengine sijawahi kuyasikia kwa waislamWacha uwongo
Gabriel - جبريل (Jibril)
Michael - ميخائيل (Mikha'il)
Raphael - رافائيل (Rafā'īl)
Hiyo siyo ishu sana kutoyasikia, lakini mtoa mada alidai waarabu hawana hayo majina kwa kiarabu ndio nikamtolea mifano hiyo.Ukitoa Jibril hayo Majina mengine sijawahi kuyasikia kwa waislam
Angalia Hii video Kuhusu Prophecy zao na Yesu hakuzitimiza Huyu Ni Rabbi wa Jewz anaelezea kwamba Yesu halutimiza Unabii ulioahidiwa kutimizwa ila walileta unabii mpya halafu wakautimiza ule mpya ambao haukuandikwaKwa kutazama prophecy walikua na kila sababu ya kuamin ndiye waliyemngoja.
😅😅I dont even know them. I keep my focus to the one n only prophecised! 😁
Yeah mpaka Tanzania na wana Biblia Zao za Kiswahili Na ninayo Huwa naipitia PitiaHapana, hawa nawamanya
Hiyo dini iko Afrika?
Hiyo ni Historia Mkuu na Imerithishwa kwa muda mrefu..Hapana mkuu, sijazingatia matumizi ya lugha kabisa. Nimejikita katika historia na tamaduni. Katika Lugha wanaweza wakawaita hivyo tu sababu labda waliwaona ni rivals kama wale wengine., ila mimi nimejikita zaidi kwenye historia ya wawili hao.
Nenda jewellery za wahindi wanazo dimond za kila rangi kulingana na mwezi uliozaliwa, zinaitwa date of birth stone, unaweza kuvaa kwenye silver au gold.pete yake inapatikana wapi?
Nami ngoja nikutafutie andiko linalowaelezea hao tofauti na hapoHiyo ni Historia Mkuu na Imerithishwa kwa muda mrefu..
Ni sWa na Kusema tu Tanganyika na Tanzania..
Soma hapo kwenye Current name
View attachment 2979031
Nami ngoja nikutafutie andiko linalowaelezea hao tofauti na hapo
Pabaya tu
UongoPalestina Imetokana na Jina Philistine au Wafiliti wafilisti hawakuwa Miongoni mwa Waebrania..
Na majina ya Malaika,Biblia Na theology imetoka kwa Waebrania
Onyesha Uongo na Uuseme Ulipo..!Uongo
Ukizungumzia Uumbaji wa Mungu na Ukazungumzia Dunia Inayoelea unaenda kinyume moja kwa moja..Nipo najiuliza hapa maswl nisiyokuw na majib nayo
1.malaika anakula!?
2.malaika wanawapenzi/mke au mume
3.je kuzimu kupo wapi!?
4.shetan anamke/mume
5.dunia inasemekana inaelea je chin ya dunia kuna nn km juu tunavyoona mawingu!!?
mwenye kujua anitag ila naona kuna usiri mkubw san ktk uumbaji wa dunia
Hawa Vijana waliozaliwa Mwaka 2005 waache Ndugu Yangu wana matatizoHaha hah haha sio 2009 ni 2006 enzi za JamboForums. Una lingine la nyongeza?
mh kwamba yuko malaika anaitwa Masumbuko au Mihayo au Mushi au Kyaruzi?Mbona watatu tu, kuna malaika wana majina mpaka ya kibantu