Mangungu ni Master Mind tu kufuatia u mbumbumbu wa mashabiki na Wana chama mfano kwenye mkutano mkuu wa klab kuletewa Manzoki n.k kwenye ushirikina Simba ni jadi Yao kabla ata Mangungu.
Alikuwepo Mwenyekiti wa Simba marehemu Amir Bamchawi, uyu jamaa kipindi Cha uongozi wake Alifanya ulozi wa kufuru mbaya, Si kumbuki kwa hivi karibuni kama Kuna Kiongozi aliye wahi kufikia au kukaribia uwezo wake wa kichawi/ fitina pale msimbazi.
Uyu jamaa kwenye fainali ya 1993 kabla mpira hauja anza alitangaza njia ambazo watapita na kombe lao ili kulifikisha pale klabuni msimbazi.
Bahati mbaya Kiongozi mwenzake alimzidi akili na timu ikapoteza mechi.
Uyu Amiri Bamchawi anaweza kuwa the Greatest of all time in witchcraft based on football pale Msimbazi.
Jamaa ilikua siku inayo cheza Simba na ikatokea mvua imenyesha kabla ya mechi basi mara nyingi Simba ilishinda na yeye ni kama mu asisi wa Simba na mvua.
Kule Angola wakati Simba inakwenda kucheza nusu fainali ya pili ya kombe la CAF/ Abiola cup, mvua ilikua haijawahi kunyesha kwenye eneo lile kwa miaka kadhaa lakini siku ya mechi ya Simba dhidi ya Petro Atletico Aviacao kule Angola mvua kubwa ili mwagika.
Simba ikapata suluhu ya bila goli na kutinga fainali.
Kumbuka mechi ya Awali pale shamba la bibi mechi ili Isha kwa ushindi wa Simba wa goli 3- 1