Kwanini maonyesho mazingaombwe yaliacha kuonyeshwa shuleni na nchini?

Kwanini maonyesho mazingaombwe yaliacha kuonyeshwa shuleni na nchini?

Kwa sasa,jamii imehamia kwenye KAMARI.
Vituo vyote vya habari,matangazo yao yote na pia wanachezesha kamari.

Maisha yamebadirika.
Elimu Bora Kwa Sasa inapatikana Private sector.


Ila kule,mwalimu ananguvu ya kukwambia mzazi,au mlezi ama Mwanafunzi nwenyew kiwa:

Mtoto aelewe asielewe shauli yake,madamu Bank inasoma mwisho wa mwezi.
 
Haujui kuwa your network is ur net worth.

Kuna faida kubwa mtoto Kusoma shule bora Kama IST n.k
Uko sahihi kwa sasa kwa sababu tayari tumeshakuwa na matabaka makubwa matatu ya kijamii(masikini, kipato cha kati na matajiri sana), ila zamani wote walikuwa wanachanganyika katika shule za umma tofauti na sasa, kwa sasa mtoto akisoma shule ya umma uwezekano mkubwa ni kuishia kuwa na circle/network ya masikini na wapiga kura tu.
 
Kwa sasa,jamii imehamia kwenye KAMARI.
Vituo vyote vya habari,matangazo yao yote na pia wanachezesha kamari.

Maisha yamebadirika.
Elimu Bora Kwa Sasa inapatikana Private sector.


Ila kule,mwalimu ananguvu ya kukwambia mzazi,au mlezi ama Mwanafunzi nwenyew kiwa:

Mtoto aelewe asielewe shauli yake,madamu Bank inasoma mwisho wa mwezi.
Tupo nyuma ya waksti tu.Mjomba wangu alikuwa anacheza kamari sana Las Vegas U.S. miaka ya tisini.Sisi huku leo kamari ndiyo inatuzuzua?
 
Wakati nasoma shule ya msingi kulikuwa na watu mbalimbali wanakuja shuleni kufanya maonyesho ya mazingaombwe, yale maonyesho yalikuwa na buradani ya aina yake, wanafunzi wengi walikuwa wanalipia pesa ya kiingilio cha kuingia kutazama na wanafanya juu chini kupata siti za mbele katika ukumbi mdogo wa shule uliokuwepo.

Miaka mili ya kumalizia shule ya msingi haya maonyesho ya mazingaombwe yalikuja kupotea kabisa na siku hizi sidhani kama bado yapo kokote nchini, sijui kitu gani kilitokea kikaipoteza hii burudani.
Walimu walikuja kupata ufahamu maana walikuwa gizani. Mazingaumbwe ni nguvu za giza kwa hiyo watoto walikuwa wanaingiziwa roho za kishetani.
 
Mimi nakumbuka kuna siku jamaa walikuja basi tukajazana ujinga eti ukigeuza viatu yaani uvae kiatu cha mguu wa kulia kushoto na cha kushoto kulia basi siku hiyo mazingaombwe yanabuma, kuna dogo alikuwa kajitolea ndio mfano wako mbele sijui wakafanya nini akazima shughuli ikawa haamki akabebwa mpaka zahanati na show ikaishia hapo
 
Uko sahihi kwa sasa kwa sababu tayari tumeshakuwa na matabaka makubwa matatu ya kijamii(masikini, kipato cha kati na matajiri sana), ila zamani wote walikuwa wanachanganyika katika shule za umma tofauti na sasa, kwa sasa mtoto akisoma shule ya umma uwezekano mkubwa ni kuishia kuwa na circle/network ya masikini na wapiga kura tu.
Kweli 100%

Miaka ya zamani shule za umma zilikuwa na tija Sana na kulikuwa hamna matabaka.

Ila bado kitu ninachojifunza watoto wengi au vijana wengi waliosoma shule za umma kuanzia 2000s wapo na circle ya watu maskini.
 
Kweli 100%

Miaka ya zamani shule za umma zilikuwa na tija Sana na kulikuwa hamna matabaka.

Ila bado kitu ninachojifunza watoto wengi au vijana wengi waliosoma shule za umma kuanzia 2000s wapo na circle ya watu maskini.
Miaka ya 2000s hasa baada ya kuanzishwa shule za kata na shule za private kuongezeka ndio utengano mkubwa wa kimatabaka ulipoanza kutokea.
 
Wakati nasoma shule ya msingi kulikuwa na watu mbalimbali wanakuja shuleni kufanya maonyesho ya mazingaombwe, yale maonyesho yalikuwa na buradani ya aina yake, wanafunzi wengi walikuwa wanalipia pesa ya kiingilio cha kuingia kutazama na wanafanya juu chini kupata siti za mbele katika ukumbi mdogo wa shule uliokuwepo.

Miaka mili ya kumalizia shule ya msingi haya maonyesho ya mazingaombwe yalikuja kupotea kabisa na siku hizi sidhani kama bado yapo kokote nchini, sijui kitu gani kilitokea kikaipoteza hii burudani.
NILISHUHUDIA BASKELI IKIENDESHWA JUU YA BATI..

NILISHUHUDIA MTU ANAGEUZWA MWANAMKE

NILISHUHUDIA MTU ANAPOTEZWA VIUNGO VYA UZAZI

NILISHUHUDIA MTU ANACHOMWA KISU CHA TUMBO

NILISHUHUDIA MTU HAMALIZI VITUMBUA VITANO

NILISHUHUDIA MAKARATASI YANAGEUZWA PESAA

NILI SHUHUDIA PIPI ZINATOKEA FROM NOWHERE GAZETI LINA KUNJWA NA LINATOA PESA.
 
Na hii jf kilivyoingia tu kizazi cha kubebwa na mabasi ndio ikavurugika na mada | hoja za ajabu ajabu.
Sio kweli , JF mada nyingi ambazo hazina tija huwa zinaanzishwa na watu wazima

Pitia nyuzi za siasa za kina Pascal Mayalla uone .

Swala la kuwa na upeo wa chini halitokani na gari za njano bali mazingira yako na kile ukichoamua kuilisha akili yako.
 
NILISHUHUDIA BASKELI IKIENDESHWA JUU YA BATI..

NILISHUHUDIA MTU ANAGEUZWA MWANAMKE

NILISHUHUDIA MTU ANAPOTEZWA VIUNGO VYA UZAZI

NILISHUHUDIA MTU ANACHOMWA KISU CHA TUMBO

NILISHUHUDIA MTU HAMALIZI VITUMBUA VITANO

NILISHUHUDIA MAKARATASI YANAGEUZWA PESAA

NILI SHUHUDIA PIPI ZINATOKEA FROM NOWHERE GAZETI LINA KUNJWA NA LINATOA PESA.
Ilikuwa burudani sana mkuu, kuna ile ya njiwa au sungura nayo anatolewa kwenye box tupu.
 
Uko sahihi kwa sasa kwa sababu tayari tumeshakuwa na matabaka makubwa matatu ya kijamii(masikini, kipato cha kati na matajiri sana), ila zamani wote walikuwa wanachanganyika katika shule za umma tofauti na sasa, kwa sasa mtoto akisoma shule ya umma uwezekano mkubwa ni kuishia kuwa na circle/network ya masikini na wapiga kura tu.
Ni mtazamo wako.Serikali haina matabaka.Nenda Mzumbe,UDSM kama hutakuta watoto waliotika hizo shule za serikali mfano za kata na wamefaulu vizuri na kuwa admitted kwenye faculties nzuri tu na wakimaliza wanakuwa recruited sehemu mbalimbali.Tunao maofisini na wengine wamejiajiri wanapata kipati kizuri.Hayo mambo ya connection ni tamaa tu na fikra za kimasikini
 
Back
Top Bottom